JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 409
Moja mojaYANGA NA MTIBWA walitoka ngapi ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja mojaYANGA NA MTIBWA walitoka ngapi ngapi?
hazijanistua hata kdg, bashite kapata kura kiduchu sana (achilia mbali ile kushindwa uchaguzi) kwa nafasi yake kama RC wa eneo ambalo uchaguzi umefanyika alikuwa akipiga kampeni sana tu kuliko hata hao wenzie kuelekea uchaguzi wenyewe we fuatilia utapata taarifa vizuri.Mkuu 'goodluck5'. Kura alizopata wewe hazikukustua?
Kwa hiyo unataka kusema kama asingetoa rushwa angekura 00 au sio. Maana kama katoa rushwa kapata 122 je asingetoa???? Shikamoo wajumbe kwa maamzi ya nguvu.hazijanistua hata kdg, bashite kapata kura kiduchu sana (achilia mbali ile kushindwa uchaguzi) kwa nafasi yake kama RC wa eneo ambalo uchaguzi umefanyika alikuwa akipiga kampeni sana tu kuliko hata hao wenzie kuelekea uchaguzi wenyewe we fuatilia utapata taarifa vizuri.
pia matumizi makubwa ya kuwapa rushwa wajumbe...sababu hz mbili zinanifanya kuamini kuwa amepata kura chache mno kwa nguvu kubwa aliyotumia, angepata kura 180+ hapo ningestuka.
Nimekusoma vizuri kabisa na kukuelewa mkuu wangu 'goodluck5'.hazijanistua hata kdg, bashite kapata kura kiduchu sana (achilia mbali ile kushindwa uchaguzi) kwa nafasi yake kama RC wa eneo ambalo uchaguzi umefanyika alikuwa akipiga kampeni sana tu kuliko hata hao wenzie kuelekea uchaguzi wenyewe we fuatilia utapata taarifa vizuri.
pia matumizi makubwa ya kuwapa rushwa wajumbe...sababu hz mbili zinanifanya kuamini kuwa amepata kura chache mno kwa nguvu kubwa aliyotumia, angepata kura 180+ hapo ningestuka.