Paul Makonda Asema kuna Watu ni Kama Mbwa Mwitu

Paul Makonda Asema kuna Watu ni Kama Mbwa Mwitu

Unapoamua kupambana na Madawa ya Kulevya haina cha Mtoto Mdogo au Kuhitaji busura vinginevyo utashindwa kutekeleza azma ya kupambana na Madawa ya kulevya lakini hapa kosa kubwa ni Njia aliyoitumia sio Sahihi ya Kuruka vyombo vyenye Mamlaka ya kudeal na haya mambo
Mkuu hivyo vyombo si tunavyo miaka yote avijawai kutusaidia chochote ktk drugs issue na zaidi utakuta ndio vinawalinda drugs Lord. ..ili swala vijana ndio tuna hasira nalo zaid hao wazee wanafiki tu Amina chifupa alipopata nafasi ya kuingia bungeni alitaka kutumbua km hivi alivyofanya makonda...wapi mangwea' langa, chid, daz baba, dogo mfaume, feruzi, chuji, diofu, nguvu kazi inakufa source ni hawa hawa wabunge, makamishina, mapolis, majaji, wazee kujiingiza ktk biashara za madawa
 
watu wanadhani intelligence system inafanya kazi blindly

kuropoka, kutaja taja, kutamka, kusema majina ya watu kuwa ni wahusika katika biashara ya mihadharati bila ushaidi wowote ni wazimu. the so called intelligence system in blind.

kama mkuu wa mkoa anafanya kazi ya waziri wa mambo ya ndani, jeshi la polisi, takukuru, na kitengo cha madawa ya kulevya , then what do we expect? . system failure.
 
Hawa watu wanaopenda kumtaja Mungu kila SAA wana walakini na wanafiki tu wamtumia Mungu ka chaka lakufichia tabia zao. Huyu makonda hupost nyimbo za Mungu lakini anachepuka na masogange
kweli kabisa hata wakina Ngwajima na Lusekelo na Tb Joshua
 
kuropoka, kutaja taja, kutamka, kusema majina ya watu kuwa ni wahusika katika biashara ya mihadharati bila ushaidi wowote ni wazimu. the so called intelligence system in blind.

kama mkuu wa mkoa anafanya kazi ya waziri wa mambo ya ndani, jeshi la polisi, takukuru, na kitengo cha madawa ya kulevya , then what do we expect? . system failure.
aliyekwambia ushahidi hakuna ni nani?
 
Hivi Sugu si keshamwambia na yeye atajwe na Migwangala kwenye media ili akaripoti Polisi kwa tuhuma za uchoko halafu akapimwe na marinda

Jiwe limeshampata

[emoji3] [emoji3] [emoji3]
kwani sugu amesemaje? katajwa kwenye nini? kwani kutajwa au kuhisiwa tu unaripoti kituoni? hahaha mbona mkuki kwa nguruwe?
 
Tatizo lake badala ya kukamata wauza madawa yeye anakamata wavutaji.
 
Kupayuka kila siku mbele ya camera ni zaidi ya mbwa mwitu.
3186fe93f6150f7bdc7278800035edd9.jpg
 
Ninachojiuliza muuza madawa anatakiwa kipewa heshima ipi?? Mnaopiga kelele bora mungoje atoke mmoja aseme anasingiziwa..!

Sijaona ata mmoja aliyejitokeza kusema kasingiziwa kabla ya kwenda baaadhi ya yao walitoa single zao wakirudi pia watoe single siyo kukaa kimya??

Nani amerudi kwa tambo kwamba kasingiziwa??
Gwajima
 
Wadanganyika nao sometimes wanaboa sana kutoa sifa kwa MTU wa kawaida na mpenda sifa matokeo Yake ndio haya anawakojolea anavyotaka " ......

Naomba awashugulikie maana wenyewe hamjui mnachokitaka ,Kukisimamia ,Na kukipenda ...

Mpo mpo tu kama popo Sasa kwa nini asiwageuze anavyotaka wadanganyika?...........
Wewe mkojo hautakuingia?!
 
Hivi Sugu si keshamwambia na yeye atajwe na Migwangala kwenye media ili akaripoti Polisi kwa tuhuma za uchoko halafu akapimwe na marinda

Jiwe limeshampata

[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwa kweli Bunge letu nalo sasa limekosa staha kabisa, yaani na spika yuko mbele anaruhusu kabisa mtu anaongea matusi machafu namna hiyo? na wabunge wenzie wanakenua, wanashangilia kabisa! kwakweli hakuna kitu hapo. Hawa ndiyo walikuwa wanapiga kelele waoneshwe Live! ili watushirikishe lugha chafu kama hizo? Matusi kama hayo inamaana unamtokana na aliyemteua kwamba hayuko makini na teuzi zake halkadhalika wakazi wa Dar es salaam kwamba kiongozi wao ndiyo yuko hivyo na kumtii kiongozi wa hivyo basi nawe kwa njia moja au nyingine ni mshirika wake!
 
Wabunge wenyewe drugs dealers na Ma drugs lord wote wabunge wanawajua na awajawai kujaribu kuwakemea,kuwazuia, kuwataja na Tanzania ajawai kufanyika Approach yoyote nzur ktk swala la drugs..mapolis wote, majaji wote, makamishina wote wanajua ni watu gani wanaingza na kusambaza madawa.

mwananch wa kawaida tu mtaani anajua nani Punda, nani kipunda na nani mswaga Punda..alichofanya makonda ni sawa tu ni bora kuwataja tu maana wauza madawa wanalindwa na wabunge,mapolis , IGP amesimamisha mapolis kazi wakati swala la makomeo,JB, Swai linajulikana toka miaka ya 2000 kuwa wanashirikiana na Mapusha wa unga.

.ni kweli Makonda amekosea sehem ila asingeweza kupatia kama wahusika wa moja kwa moja nao ni sehem ya madawa sasa swala la madawa linakwenda kinafiki ila alivyowataja ni sawa tu iwe kwa faida yake au kwa faida ya vizazi vyetu
yaani natamani wabunge wote walazimishwe kila mmoja amtaje angalau Dealer mmoja maana wakitajiwa wanabisha na kuleta siasa zao za uongo na ukweli. Sasa kwa kuwa hao waliotajiwa wanaona ni longolongo inamaana wanamajina wanayowataka wao yatajwe kwahiyo upitishwe utaratibu wataje wao, maana wao si wanakinga? wakitaja huko kwenye Mjengo wao hakuna wa kuwauliza!
 
Thou shalt not take the name of the LORD thy God in vain; for the LORD will not hold him guiltless that taketh his name in vain.
Exodus:20:7
 
Cha kwanza kabisa, akubali kwenda kwa Mganga Mkuu Wa serikali
 
Back
Top Bottom