johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Labda ana kakesi kadogo!Polisi hukamata akina Chadema tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ana kakesi kadogo!Polisi hukamata akina Chadema tu
Just imaginePolisi hukamata akina Chadema tu
Si aje mahakamani ili ashinde basi !Hii kesi kama hakuna mkono wa juu mtapoteza muda tu...msidhani itakuwa rahisi kama ile ya Bw Saa mbovu.
Yaaan na ni nyumba kwa nyumba [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu huyu aliyesema katika mkoa wake ni lazima wanaume wote wapimwe tezi dume.
😂😂😂😂Yaaan na ni nyumba kwa nyumba [emoji23][emoji23][emoji23]
Jumanne nadhani itakuwa tarehe 8/2Kesi imepanda TR ngapi ili tufuatilie??
HahahahaWanasiasa wanatesa na kuteseka sana!
Hakuna anayetaka kujua maamuzi ya kesi yatakuwaje,Cha muhimu ni yeye kuitikia wito wa kufika mahakamani.Hii kesi kama hakuna mkono wa juu mtapoteza muda tu...msidhani itakuwa rahisi kama ile ya Bw Saa mbovu.
Ok tutakuwa karibu kujua kinacho jili !Jumanne nadhani itakuwa tarehe 8/2
Things are moving very fast indeed.Gosh! Eventually happiest person in the country has become a fugitive
Ndio hawa hawa wanaomtafuta wampeleke na pingu mbele ya Pilato
Baada ya aliyekuwa RC wa Dar, Paul Makonda, leo Alhamisi kutotokea mahakamani katika kesi aliyofunguliwa na Saed Kubenea, kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Wakili Hekima Mwasipu amedai wanampango wa kuiomba mahakama itoe wito mpya baada ya juhudi za kumpata kushindikana.
---
Hii ndio Taarifa iliyopatikana kwenye viunga vya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni , ambako leo ilitarajiwa kusomwa kwa mara ya kwanza kesi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Paulo Makonda .
Kesi hii imefunguliwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo , Saed Kubenea .
Taarifa za Wakili wa Kubenea inasema kwamba Makonda hakupokea wito wa Mahakama kwa vile hapatikani , aweza kuwa kajificha au kakimbia nchi .
Kesi imeahirishwa hadi wiki ijayo ambapo Wito mpya wa Mahakama umetolewa ili atafutwe na kukabidhiwa .
Ndio haji sasa mtamfanya nini.Hakuna anayetaka kujua maamuzi ya kesi yatakuwaje,Cha muhimu ni yeye kuitikia wito wa kufika mahakamani.
Wala habari hana.Si aje mahakamani ili ashinde basi !