Pre GE2025 Paul Makonda asimikwa kuwa Chifu Nsumbantale, yaani Msaidizi wa Chifu Mkuu Hangaya ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hakika ni Rais Samia Mpaka 2030 na Fomu ni moja tu ndani ya chama kwa ajili yake hapo mwakani
Zinafyatuliwa tano,na hapo tutaziona sana namba za simu za Lucas🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️
 
Mheshimiwa Makonda ni Rais kuanzia 2030,kwa hiyo hilo kila mtu akae akijua hivyo
Kila la kheri 😅😅🙏
Ila ukumbuke ipo KARMA !!
KARMA huwa haikosei anuani !
Kama aliwafanyia watu ubaya ujue ipo siku atalipiziwa na hiyo KARMA !
Na mema pia ni vivyo hivyo !!
KARMA huwa haikosei haisahau na haimuonei mtu 😅🙏🙏🙏 !
 
Siyo roho ngumu, ni roho ya shetani yaani ni kama ile roho ya Jiwe
Aliwataja mpaka waliomsaidia kumpandisha 😅😱
Ngoja Tusubiri tuone huu mziki utaishaje !!
Jamaa ana Roho ngumu na instincts zake zimeshamnusisha harufu nzuri za Magogoni 😅😂🔥
 
L drama on the beat😊😊😊
 
Ni kawaida ya Binadamu wenye roho mbaya kuwachukia wale watu wanaoipigania haki japo kwa kuisemea tu hiyo Haki !
Kwahiyo hata yeye Makonda atachukiwa na wenye roho mbaya wasiopenda kuiona Haki ikipiganiwa kama anavyoonekana kuipigania !
Lakini pia hata yeye Makonda amekuwa na ataendelea kuwachukia watu wowote wale ambao wamekuwa au wanaendelea kuipigania Haki wakiwa nje ya Chama Chake !!
Na pia atawachukia wale waliomo Chamani ambao wanaitetea Haki itendeke ambayo hiyo haki inaweza kumkwaza kwenye mbio zake za matamanio yake !!😅😅 🙏🙏🙏
 
Huwa naj
huwa najiuliza wale wanaoenda kwenye mikutano ya makonda na kudanganywa kiasi kile ni watanzania wa wapii?
 
Makonda Ana vituko kweli kweli
Makonda anapenda amshaamsha
[emoji1]

Ova
 
Watanzania tulivyo wajinga na tusiotumia akili na tusio na upeo wa kuona hata dakika chache mbele!
Hao machifu uchwara waliokuwa wanampa uchifu wa kila kabila sijui wanajisikiaje huko walipo muda huu!

Kila ufanyalo jaribu kufikiri kesho pia.
 
Watanzania tulivyo wajinga na tusiotumia akili na tusio na upeo wa kuona hata dakika chache mbele!
Hao machifu uchwara waliokuwa wanampa uchifu wa kila kabila sijui wanajisikiaje huko walipo muda huu!

Kila ufanyalo jaribu kufikiri kesho pia.
Kwani walikosea nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…