Pre GE2025 Paul Makonda asimikwa kuwa Chifu Nsumbantale, yaani Msaidizi wa Chifu Mkuu Hangaya ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia

Pre GE2025 Paul Makonda asimikwa kuwa Chifu Nsumbantale, yaani Msaidizi wa Chifu Mkuu Hangaya ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Mwenyekiti wa machifu mkoa wa Shinyanga Kidola njange amesema ya kuwa umoja wa machifu na watemi mkoa wa Shinyanga kwa pamoja na umoja wao wamekubaliana kumsimika katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa Mheshimiwa Paul Makonda kuwa Chifu Nsumbantale,yenye maana ya Msaidizi wa Chifu mkuu Hangaya ambaye ni mwenyekiti wa CCM Taifa. Ambapo sasa baada ya usimikwaji huo atakuwa msaidizi wake katika masuala ya siasa.

Ambapo katika usimikwaji huo Mheshimiwa Makonda amevishwa shuka jeusi lenye maana au lenye kuashiria wingu zito la mvua ambalo ni neema kwa watu ,kwa kuwa linashusha mvua ambapo mvua siku zote ni baraka na neema,kwa kuwa ni katika mvua tupatapo mazao ya aina mbalimbali ikiwepo ya chakula na biashara.

Mheshimiwa Makonda alivishwa pia shuka jekundu lenye maana au kuashiria utayari wa kulinda chama na serikali ya chama cha Mapinduzi.

Lakini pia Mheshimiwa Makonda alikabidhiwa mkuki wenye maana ya kumkumbusha juu ya ulinzi wa chama na serikali ya chama cha Mapinduzi

Pia alivalishwa mkufu wenye kuashiria kuwa watu wa Shinyanga wapo pamoja naye wakati wote na yeye ndiye anayetegemewa sana.

Kwa hiyo sasa Mheshimiwa Paul Makonda ukienda kule Shinyanga anatambulika na kufahamika kama Chifu Nsumbantale yaani msaidizi wa chifu Hangaya ambaye ni mwenyekiti wa CCM Taifa.

Bila shaka hii yote ni kutokana na kuguswa na uchapa kazi wa Mheshimiwa Makonda nakuona namna anavyofanya kazi kubwa ya kumsemea Rais Samia na mwenyekiti wa CCM Taifa kila anakopita na kukanyaga lazima alitajwa jina la Rais Samia kwa heshima kubwa sana na kueleza mambo makubwa aliyoyafanya katika kila sehemu.

Kwa hakika Paul Makonda siyo mtu wa kawaida ndugu zangu. Ni mtu mwenye ushawishi na nguvu kubwa sana isiyopimika . Angalieni anakopita huko namna wananchi wanavyofurika na kumiminika kama mafuriko ya maji.anavuta maelfu ya watu kama sumaku ikutanapo na chuma. Kwa hakika Rais Samia alicheza karata ya karne kwa kumleta Paul Makonda wakati huu.angalia namna anavyompigania na kumsemea kwa nguvu zote kwote apitapo huko mikoani.

Mungu aendelee kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kupambana kuhakikisha kuwa anawafikia wananchi wengi sana na kuwasikiliza kero zao ili kuziwasilisha kwa viongozi wa serikali kwa utatuzi zaidi.

Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Ameshampiku Nchimbi !
Hasikiki tena Nchimbi !
Nchimbi akae akule tu mema ya LiChama letu !
Ameshakuwa Overshadowed !!
Jamaa ni Kiboko yao ndani ya Chama !!
Naona kama ameshaanza kujadiliwa jadiliwa na wanaomuogopa Chamani hasa vigogo !!
Ngoja Tusubiri tuone hii movie !
Jamaa nyota imewaka ameshakuwa Chief msaidizi wa Hangaya !!
Kazi kweli kweli 😅😅🙏🙏
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwenyekiti wa machifu mkoa wa Shinyanga Kidola njange amesema ya kuwa umoja wa machifu na watemi mkoa wa Shinyanga kwa pamoja na umoja wao wamekubaliana kumsimika katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa Mheshimiwa Paul Makonda kuwa Chifu Nsumbantale,yenye maana ya Msaidizi wa Chifu mkuu Hangaya ambaye ni mwenyekiti wa CCM Taifa. Ambapo sasa baada ya usimikwaji huo atakuwa msaidizi wake katika masuala ya siasa.

Ambapo katika usimikwaji huo Mheshimiwa Makonda amevishwa shuka jeusi lenye maana au lenye kuashiria wingu zito la mvua ambalo ni neema kwa watu ,kwa kuwa linashusha mvua ambapo mvua siku zote ni baraka na neema,kwa kuwa ni katika mvua tupatapo mazao ya aina mbalimbali ikiwepo ya chakula na biashara.

Mheshimiwa Makonda alivishwa pia shuka jekundu lenye maana au kuashiria utayari wa kulinda chama na serikali ya chama cha Mapinduzi.

Lakini pia Mheshimiwa Makonda alikabidhiwa mkuki wenye maana ya kumkumbusha juu ya ulinzi wa chama na serikali ya chama cha Mapinduzi

Pia alivalishwa mkufu wenye kuashiria kuwa watu wa Shinyanga wapo pamoja naye wakati wote na yeye ndiye anayetegemewa sana.

Kwa hiyo sasa Mheshimiwa Paul Makonda ukienda kule Shinyanga anatambulika na kufahamika kama Chifu Nsumbantale yaani msaidizi wa chifu Hangaya ambaye ni mwenyekiti wa CCM Taifa.

Bila shaka hii yote ni kutokana na kuguswa na uchapa kazi wa Mheshimiwa Makonda nakuona namna anavyofanya kazi kubwa ya kumsemea Rais Samia na mwenyekiti wa CCM Taifa kila anakopita na kukanyaga lazima alitajwa jina la Rais Samia kwa heshima kubwa sana na kueleza mambo makubwa aliyoyafanya katika kila sehemu.

Kwa hakika Paul Makonda siyo mtu wa kawaida ndugu zangu. Ni mtu mwenye ushawishi na nguvu kubwa sana isiyopimika . Angalieni anakopita huko namna wananchi wanavyofurika na kumiminika kama mafuriko ya maji.anavuta maelfu ya watu kama sumaku ikutanapo na chuma. Kwa hakika Rais Samia alicheza karata ya karne kwa kumleta Paul Makonda wakati huu.angalia namna anavyompigania na kumsemea kwa nguvu zote kwote apitapo huko mikoani.

Mungu aendelee kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kupambana kuhakikisha kuwa anawafikia wananchi wengi sana na kuwasikiliza kero zao ili kuziwasilisha kwa viongozi wa serikali kwa utatuzi zaidi.

Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Hatumtambui Takataka hiyo

Kwa hisani ya Mutu ya MAGANZO
 
Kama Taifa tuna taratibu zetu za kuongoza kama katiba mahakama na Bunge. hayo mengine ni mazingaombwe.
 
Ameshampiku Nchimbi !
Hasikiki tena Nchimbi !
Nchimbi akae akule tu mema ya LiChama letu !
Ameshakuwa Overshadowed !!
Jamaa ni Kiboko yao ndani ya Chama !!
Naona kama ameshaanza kujadiliwa jadiliwa na wanaomuogopa Chamani hasa vigogo !!
Ngoja Tusubiri tuone hii movie !
Jamaa nyota imewaka ameshakuwa Chief msaidizi wa Hangaya !!
Kazi kweli kweli 😅😅🙏🙏
Mheshimiwa Dr Nchimbi yeye ni mtendaji mkuu wa chama ,kwa hiyo kazi yake ni kuratibu kuhakikisha kuwa kila kitu kinakwenda sawa, ikiwepo kuhakikisha kuwa katibu wetu mwenezi Anaendelea na ziara zake bila kukwama wala kupata shida kwa kukosa mafuta ya gari kama CHADEMA waliokosa mafuta ya helikopta yake.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwenyekiti wa machifu mkoa wa Shinyanga Kidola njange amesema ya kuwa umoja wa machifu na watemi mkoa wa Shinyanga kwa pamoja na umoja wao wamekubaliana kumsimika katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa Mheshimiwa Paul Makonda kuwa Chifu Nsumbantale,yenye maana ya Msaidizi wa Chifu mkuu Hangaya ambaye ni mwenyekiti wa CCM Taifa. Ambapo sasa baada ya usimikwaji huo atakuwa msaidizi wake katika masuala ya siasa.

Ambapo katika usimikwaji huo Mheshimiwa Makonda amevishwa shuka jeusi lenye maana au lenye kuashiria wingu zito la mvua ambalo ni neema kwa watu ,kwa kuwa linashusha mvua ambapo mvua siku zote ni baraka na neema,kwa kuwa ni katika mvua tupatapo mazao ya aina mbalimbali ikiwepo ya chakula na biashara.

Mheshimiwa Makonda alivishwa pia shuka jekundu lenye maana au kuashiria utayari wa kulinda chama na serikali ya chama cha Mapinduzi.

Lakini pia Mheshimiwa Makonda alikabidhiwa mkuki wenye maana ya kumkumbusha juu ya ulinzi wa chama na serikali ya chama cha Mapinduzi

Pia alivalishwa mkufu wenye kuashiria kuwa watu wa Shinyanga wapo pamoja naye wakati wote na yeye ndiye anayetegemewa sana.

Kwa hiyo sasa Mheshimiwa Paul Makonda ukienda kule Shinyanga anatambulika na kufahamika kama Chifu Nsumbantale yaani msaidizi wa chifu Hangaya ambaye ni mwenyekiti wa CCM Taifa.

Bila shaka hii yote ni kutokana na kuguswa na uchapa kazi wa Mheshimiwa Makonda nakuona namna anavyofanya kazi kubwa ya kumsemea Rais Samia na mwenyekiti wa CCM Taifa kila anakopita na kukanyaga lazima alitajwa jina la Rais Samia kwa heshima kubwa sana na kueleza mambo makubwa aliyoyafanya katika kila sehemu.

Kwa hakika Paul Makonda siyo mtu wa kawaida ndugu zangu. Ni mtu mwenye ushawishi na nguvu kubwa sana isiyopimika . Angalieni anakopita huko namna wananchi wanavyofurika na kumiminika kama mafuriko ya maji.anavuta maelfu ya watu kama sumaku ikutanapo na chuma. Kwa hakika Rais Samia alicheza karata ya karne kwa kumleta Paul Makonda wakati huu.angalia namna anavyompigania na kumsemea kwa nguvu zote kwote apitapo huko mikoani.

Mungu aendelee kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kupambana kuhakikisha kuwa anawafikia wananchi wengi sana na kuwasikiliza kero zao ili kuziwasilisha kwa viongozi wa serikali kwa utatuzi zaidi.

Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Kazi unayo!!. Vipi ni lini watamsimika kuwa mganga mkuu wa kienyeji au hili hawajakwambia?
 
Ipo hivi bosi Allency , waliokuwa wanamchukia Dkt Magufuli kwa sababu ya kuwapa sauti ya usawa hata kwa wale ambao hawana sauti ndiyo hao hao wanaomchukia Makonda. Makonda tangu akiwa Mkuu wa Mkoa au akiwa Vijana ni kiongozi wa kusemea wasiokuwa na sauti. Ila bahati mbaya baadhi yetu sisi huwa tuna tabia ya ubinafsi, yaani tunatamani masikini aendelee kuwa masikini yaani wachache wapate neema. Hivyo hatumpendi Makonfa kabisa ila tunapenda kile ambacho Mungu kakiweka kwake, tunapenda Dkt Magufuli ideology, yaani yeyote hata kama Mbowe leo hii akianza kutembea na ideology ya Dkt Magufuli atapendwa balaa
Umenena. !!
 
Hivi hawa machifu njaa huwa wanalipwa mshahara au ndiyo maana wana njaa kiasi hiki
Watafuta fursa hao na wanatumika na wanasiasa waliokosa hoja na mvuto. Ninachofahamu ni utawala wa machifu ulifutiliwa mbali kwenye nchi yetu na tangu hapo hatuna machifu tena.

Sasa wanasiasa waliokosa hoja na mvuto naona wanashirikiana na machifu njaa wakidhani watapata mvuto.
 
Mungu ambariki sana Makonda, watanzania tunampenda mno mno tena sana. Dkt Samia ndiyo chaguo letu 2025

..Brazillian Butt Lift.

..akatengeneze na kifuani pia.

..hawa watu husubiri mpaka wawe na madaraka makubwa halafu wanajitangaza.

..Ni kama yule Askofu. Akiwa padri alikula nyuti. Alipokuwa Askofu akajitangaza.
 
Back
Top Bottom