Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Hao siku hizi alimradi mtu aende na kitita kizuri cha pesa, atafanyiwa uchawi wote na kitangazwa kuwa chifu.Raha ya hawa wasimika machifu wa mchongo, kesho Katibu mkuu wa CCM akifika hilo eneo na yeye atasimikwa kuwa Chifu nsumbantale pia. Au hata Mnyika akifika hapo na yeye atasimikwa kuwa Chifu nsumbantale.
Ni kama vile taifa la watu waliochanganyikiwa.