Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,358
- 4,263
Huyu kwetu ni mwepesi kuliko pambaErythrocyte njoo umuone usiyempenda๐
Kazi ipo
Chongola mtu mzito sana!Joseph Gwajima na Chongolo wataficha wapi nyuso zao?
Mkuu mujadili tu. Kazi iendeleeKwahiyo wakashauriana watuletee Makonda leo ili tusijadili mauzo ya bandari!
Naambiwa kabanwa na maumivu ya tumbo la ghafla.Erythrocyte njoo umuone usiyempenda๐
Umeona eeeh ili watupotezeHahaa! Duh! Watu wana mikakati, DPWorld imeunganishiwa juu kwa juu na Makonda. Political strategies, safi sana.
Makonda hakuwahi kufanya kazi ccm , huyu amezoea mabavu ya kutumia dola kwenye vyeo serikalini .Hatimae yametimia.
Ukisikia upele umepata mkunaji ndio hapa sasa. Tunamfahamu makonda kama mpiga chapuo mkuu, akiamua kusifia mtu anasifia kweli kweli.