Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Msikilizeni hapa ,Rais Ajaaye !!.


Wale wa Gesi za Bure, Wizi wa mabando, imeisha hiyo !!.

Anzeni kuwekeza Nje Mdogo Mdogo , ili Muda ukifika, aahhh mnatuachia Nchi yetu.



Makonda akabidhiwa Fimbo ya HAYATI, BABA WA TAIFA, MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE !!
Ukisikia kuwa Tanzania ina wajinga wengi ni kwa mawazo kama ya huyu Carlos The Jackal
 
Wakuu kwema?

Nafurahishwa sana na utendaji kazi wa huyu mkuu wangu wa mkoa. Kwakweli mama anaupiga mwingi.

Nilikuwa naomba mwenye CV yake atuwekee ili tujue na kama itawezekana na watoto wetu wafuate nanyo zake.

Asalaam.
 
Cv ya makonda
1).Tarehe- mwaka,- : alimpiga jaji warioba vibao na kuvuruga mkutano wa katiba
2). Mwaka- : alivamia studio za clouds na kulazimisha awekewe kipindi Cha udaku cha

3).
4)-:
 
Back
Top Bottom