Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
KabisaKwa wanawake,mfumo na utamaduni wetu wa siasa,unawafanya wawe hivi,hivi kweli unamshika mke wa mtu hivyo,waziwazi,tena dini hairuhusu?
Siasa ni chafu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaKwa wanawake,mfumo na utamaduni wetu wa siasa,unawafanya wawe hivi,hivi kweli unamshika mke wa mtu hivyo,waziwazi,tena dini hairuhusu?
Siasa ni chafu sana.
mwakani mjitokeze kwa wingi kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mtaa, msijisahau sana...Anataka kusikika yeye, kuandikwa yeye na kusema yeye. Watu wasahau changamoto zao wamuone yeye ndio changamoto na ndio fursa. Tukilala tukiamka uchaguzi huu hapa tumesahau hoja zote mahsusi tumebaki na swala la Makonda
Hawezi kufanikiwa someni kuhusu Ostracism, human herding, autocratic leadership in politics. self-absorbed groups and social inference. Hivi vyote tunavijuaAnataka kusikika yeye, kuandikwa yeye na kusema yeye. Watu wasahau changamoto zao wamuone yeye ndio changamoto na ndio fursa. Tukilala tukiamka uchaguzi huu hapa tumesahau hoja zote mahsusi tumebaki na swala la Makonda
Rekebisha, si kuuvuruga uma bali ni kuwavuruga zaidi CCM.Anataka kusikika yeye, kuandikwa yeye na kusema yeye. Watu wasahau changamoto zao wamuone yeye ndio changamoto na ndio fursa. Tukilala tukiamka uchaguzi huu hapa tumesahau hoja zote mahsusi tumebaki na swala la Makonda
Hawezi kuuvuruga umma badalayake ataivuruga CCMAnataka kusikika yeye, kuandikwa yeye na kusema yeye. Watu wasahau changamoto zao wamuone yeye ndio changamoto na ndio fursa. Tukilala tukiamka uchaguzi huu hapa tumesahau hoja zote mahsusi tumebaki na swala la Makonda
Anakivuruga chama chakeAnataka kusikika yeye, kuandikwa yeye na kusema yeye. Watu wasahau changamoto zao wamuone yeye ndio changamoto na ndio fursa. Tukilala tukiamka uchaguzi huu hapa tumesahau hoja zote mahsusi tumebaki na swala la Makonda
Unamshauri samaki aache kabisa kuishi kwenye maji, au nyani aache kupanda juu ya mitiNikushauri acha kabisa siasa