Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Ukitafakali sababu za kumteua Poul Makonda nikama zilezile za kumteua kuwa wazili mkwe wake Mohamed O Mchengelwa , yuule mwenye kifua kipana kama alivyo jisemea Mama mkwe wake, waede wakakandamize Democrasia ndo iwe pona yao wamepoteza imani kwa wananchi hawana sela tena imebaki ni mabavu tu alitaka kujalibu kuendesha nchi kidemokrasia ila ameona ilivyo vigumu, ulizoea vyakunyoga !! Ulidhani utaweza vya kuchinja?
 
Makonda ameitwa kutumika kwa shuruti wala siyo kwa hiari yake.

Wakati wengi mnampongeza Makonda , lkn tulio wachache tunaojua mengi tunamsikitikia Makonda.
 
Makonda ameitwa kutumika kwa shuruti wala siyo kwa hiari yake.

Wakati wengi mnampongeza Makonda , tukio wachache tunaojua mengi tunamsikitikia Makonda.
Hata facial expression yake inaonesha hivyo.

Kwamba itabidi urudi tu la sivyo.......
 
Ila chadema sio watu wazuri pale ubungo plaza walimdunda nusura wamuue, alikimbilia mgongoni mwa mzee warioba, akahepa hadi counta chini ya meza, meneja wa bar kutokeza tu makonda anae ndo pona yake
 
Nafasi hii awali ilikua siifuatilii sana,ila nilianza kuifatilia na kuiona ina nguvu kipindi cha polepole.

Uenezi ni ingine ya chama, kama unaweka mahaba pembeni na akili za kushikiwa na kina sehai, unapaswa ujue kuwa katibu wa uenezi ni kwamba unapaswa ukilala kichwa kiume wapi ilani yetu inalega lega. Ukiamka unauliza kwanin mahali fulan mambo hayaend.

Kipind cha papo kwa papo kilikua kinanisisimua sana jinsi muenez anavyofatilia ilan yake.ambayo yeye ndio anapaswa kuijua kiunaga ubaga.
Komredi makonda ni mbunifu .tunaombba aje na ubunifu wa kufatilia ilan tu enjoy na kaz. Nakubal sana mpaka leo ubunifu wa magari ya doria
 
Nafasi hii awali ilikua siifuatilii sana,ila nilianza kuifatilia na kuiona ina nguvu kipindi cha polepole.
Uenezi ni ingine ya chama, kama unaweka mahaba pembeni na akili za kushikiwa na kina sehai, unapaswa ujue kuwa katibu wa uenezi ni kwamba unapaswa ukilala kichwa kiume wapi ilani yetu inalega lega. Ukiamka unauliza kwanin mahali fulan mambo hayaend.
Kipind cha papo kwa papo kilikua kinanisisimua sana jinsi muenez anavyofatilia ilan yake.ambayo yeye ndio anapaswa kuijua kiunaga ubaga.
Komredi makonda ni mbunifu .tunaombba aje na ubunifu wa kufatilia ilan tu enjoy na kaz. Nakubal sana mpaka leo ubunifu wa magari ya doria
Naunga mkono hoja.
P
 
Hadi sasa hakuna mwanaccm aliyeponda Uteuzi wa Makonda kuwa mwenezi wa CCM ila Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu ameponda Uteuzi huo Moja ya sababu ni kuwa Komredi Makonda haruhusiwi kuingia Marekani

Mitandaoni zimejaa salamu za pongezi kutoka kwa Mawaziri wote, Wabunge wote, Wanec wote na Wanachama wa kawaida lukuki

Kwanini CCM wamefurahia sana Uteuzi wa Makonda ambaye ni Sukuma gang pure?!

Ujamaa ni Imani, CCM oyeeee😂😂
 
Hadi sasa hakuna mwanaccm aliyeponda Uteuzi wa Makonda kuwa mwenezi wa CCM ila Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu ameponda Uteuzi huo Moja ya sababu ni kuwa Komredi Makonda haruhusiwi kuingia Marekani

Mitandaoni zimejaa salamu za pongezi kutoka kwa Mawaziri wote, Wabunge wote, Wanec wote na Wanachama wa kawaida lukuki

Kwanini CCM wamefurahia sana Uteuzi wa Makonda ambaye ni Sukuma gang pure?!

Ujamaa ni Imani, CCM oyeeee😂😂
Vipi Mbunge wa Kawe yule walivurugana kisa Shalawandu amemtumia salamu za pongezi kwa Bashite??
 
CHADEMA gani?. Watambadilisha kila mtu ila CHADEMA itawasumbua tu. Pole pole kaondoka, shaka kaondoka, Mjema kaondoka na Makonda ataondoka ataiacha CHADEMA. Mtatafuta kila mbinu ila itabackfire.
 
Hadi sasa hakuna mwanaccm aliyeponda Uteuzi wa Makonda kuwa mwenezi wa CCM ila Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu ameponda Uteuzi huo Moja ya sababu ni kuwa Komredi Makonda haruhusiwi kuingia Marekani

Mitandaoni zimejaa salamu za pongezi kutoka kwa Mawaziri wote, Wabunge wote, Wanec wote na Wanachama wa kawaida lukuki

Kwanini CCM wamefurahia sana Uteuzi wa Makonda ambaye ni Sukuma gang pure?!

Ujamaa ni Imani, CCM oyeeee[emoji23][emoji23]
Ccm walifurahia kuuawa au kupotezwa kwa Ben saa8 na Chadema walichukizwa.
Sababu kubwa ndio hiyo kwani huyu muenezi ndiye aliyekuwa mmiliki wa lile genge la wasiojulikana lililoua mamia ya raia.
 
Hadi sasa hakuna mwanaccm aliyeponda Uteuzi wa Makonda kuwa mwenezi wa CCM ila Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu ameponda Uteuzi huo Moja ya sababu ni kuwa Komredi Makonda haruhusiwi kuingia Marekani

Mitandaoni zimejaa salamu za pongezi kutoka kwa Mawaziri wote, Wabunge wote, Wanec wote na Wanachama wa kawaida lukuki

Kwanini CCM wamefurahia sana Uteuzi wa Makonda ambaye ni Sukuma gang pure?!

Ujamaa ni Imani, CCM oyeeee😂😂
Mzee mgaya unazeeka vibaya, kwa akili yako unazani mwana ccm ambae hajafurahia uteuzi wa makonda anawrza nyanyua kinywa chake kusema? Si atabaki anaugulia ndani kwa ndani tu
 
Hadi sasa hakuna mwanaccm aliyeponda Uteuzi wa Makonda kuwa mwenezi wa CCM ila Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu ameponda Uteuzi huo Moja ya sababu ni kuwa Komredi Makonda haruhusiwi kuingia Marekani

Mitandaoni zimejaa salamu za pongezi kutoka kwa Mawaziri wote, Wabunge wote, Wanec wote na Wanachama wa kawaida lukuki

Kwanini CCM wamefurahia sana Uteuzi wa Makonda ambaye ni Sukuma gang pure?!

Ujamaa ni Imani, CCM oyeeee😂😂
Makonda sio mtu mzuri,muulize Lisu
 
Mi nawaza hapa yule GWAJIMA akiulizwa katibu wa uenezi wa ccm anaitwa nani sijui atataja jina gani
 
Tangu ameteuliwa Paul Christian Makonda, kuwa katibu wa uenezi wa CCM.

Kumekuwa na nguvu kubwa ya upotoshaji ikiwemo kusema!

Makonda alipigwa marufuku na serikali ya Marekani kuingia nchini humo pamoja na mkewe!

Hilo sio uongo ni kweli,lakini hawasemi sababu ya Makonda kupigwa marufuku hiyo.

Sababu ni kitendo cha Makonda akiwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam kuwashughulikia bila aibu Mashoga na wale washiriki mapenzi ya jinsia moja
Yaani LGBT.

Na ndio hao hao wanaomchafua kila uchao mitandaoni.
 
Tangu ameteuliwa Paul Christian Makonda, kuwa katibu wa uenezi wa CCM.

Kumekuwa na nguvu kubwa ya upotoshaji ikiwemo kusema!

Makonda alipigwa marufuku na serikali ya Marekani kuingia nchini humo pamoja na mkewe!

Hilo sio uongo ni kweli,lakini hawasemi sababu ya Makonda kupigwa marufuku hiyo.

Sababu ni kitendo cha Makonda akiwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam kuwashughulikia bila aibu Mashoga na wale washiriki mapenzi ya jinsia moja
Yaani LGBT.

Na ndio hao hao wanaomchafua kila uchao mitandaoni.
Chawa mmefufuka toka mashimoni
 
Back
Top Bottom