makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Chawa kwenye ubora wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunyima watu haki ya kuishi au hukusoma? kama ni mashoga rejea kauli ya serikali bungeni wakati alipoanzisha kampeni dhidi ya mshoga 'KWAMBA HUO NI MSIMAMO WA MAKONDA NA SIO MSIMAMO WA SERIKALI, NA SERIKALI ITAENDELEA KUHESHIMU NA KULINDA HAKI ZA WATU WA MAPENZI YA JINSIA MOJA" Serikali iliyopo wakati huo ni ya chama hicho hicho kilichopo wakati huu ambapo yeye leo ni mwenezi wa chama hicho. Wewe angalia usiwe miongoni wa wajingaHilo sio uongo ni kweli,lakini hawasemi sababu ya Makonda kupigwa marufuku hiyo.
Kupitia yeye hivi sasa magoli yote yatakuwa ya vichwa "Mama imara, CCM madhubuti sana"
Uteuzi huu je una baraka za Mzee Kikwete na Comred Kinana?Hii inathibitisha CCM ni zaidi yakuwa na wenyewe... Cc nnp
Kwa vyovyote vile,kabla ya kuteuliwa walishakaa na mahasimu wake wakayamaliza.Tukiwa na kumbukumbu au tuwakutumbushe wadau huyu bashite asidhani yupo mahali pazuri sana kusimama asisahau Aliydhalilisha Mh Kikwete ni yeye Kinana ni yeye Mpango ni yeye Ridhiwani ni yeye Nape ni yeye alidiriki kuwaita wauza madawa na Bado wapo waliopo nje ya mfumo kwake yeye kuwa katikati yao asidhani yupo salama sanaa au wamesahau wapo kimya ili muda uongee na Mh no moja asimwamini sana kisa alimtabiria kuwa alipo ataweza kuangaka nae
Kwa wanawake,mfumo na utamaduni wetu wa siasa,unawafanya wawe hivi,hivi kweli unamshika mke wa mtu hivyo,waziwazi,tena dini hairuhusu?View attachment 2799850
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bashite bin makonda
Mimi sidhani kama mtandao aliowadhalilisha ukiamua anaweza kuuzuia ajitahidi kuwa mnyenyekevu Kinana kamwambia janaaView attachment 2799850
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bashite bin makonda
Naunga mkono hoja 👍👏Mimi sidhani kama mtandao aliowadhalilisha ukiamua anaweza kuuzuia ajitahidi kuwa mnyenyekevu Kinana kamwambia janaa