Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

😀 😀wanatseee wanatseeee wanatseeetsseemeka......... ......
 
Kuna kila dalili za uhaba wa viongozi ndani ya CCM. Cheo hiki huwa kinastahili mtu mwenye uzoefu wa kutosha, hekima, ushawishi na mjuzi wa kuongea bila kuzua taharuki. Makonda vipaji hivyo hana, zaidi sana anauwezo wa kutawala. Lkn siyo mbaya kikubwa watulindie amani yetu na rasilimali zetu.
 
Tutakoma ubishi.
 
Hakuna uhaba wa viongozi ndani ya CCM, vyeo katika nchi hii vinapatikana kwa kujuana. Unamjua nani?

CCM na nchi hii kwa ujumla ina watu makini sana, tatizo wanaogopwa kwa misimamo yao na uadilifu wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…