Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Hutu
 
Hiyo inauhusiano gani na umkuu wa mkoa Arusha.
Hajakubali Ukuu wa Mkoa, hata mimi ningekataa. Wamemtoa uraiani kwenda kuwa mwenezi kuiokoa a failing Samia administrion, ghafla wanamrusha Arusha makusudi akatulize Wamasai wanaohamishwa kupisha vitalu vya Waarab, na akajibizane na Godbless Lema, hell no.... kasema kwenye inaugural speech yake he ain't doing all that dumb crap.

Paul Makonda ni mkubwa kuliko Ukuu wa Mkoa, way bigger than kujibizana na mpinzani Arusha. And when the whole nation is watching Makonda hawezi kusimama kuongelea matundu ya vyoo vya wasichana Monduli...

He was the right hand man of Magufuli administration, he harbors state secrets, he knows where the bodies are burried. He has information the president doesn't. CDF Mabeyo alimwambia rais mpya msiba ukiisha nitafute nianze kukupa state secrets. She had been kept in the dark all along, clueless. Na juzi CDF Mabeyo karudia tena, kasema Vice President Samia did not have the faintest clue the president was dying... Walimwita Askofu Pengo kabla ya Vice President. Likewise, kama Mkuu wa Kamati ya Uinzi na Usalama D'Salaam, Paul Makonda had better access and security clearance to state secrets than the former Vice President, and he still knows more!

Na wakimfirigisa ndani ya CCM anaingia mtaani yeye kama yeye! Edward Lowassa 2 point O. It won't be the same this time around, yule Mzee alikuwa slowed down by Alzheimer's, kutembea mpaka ashikiliwe anasumbuliwa na Rheumatoid Arthritis, couldn't read a speech to save his life, sijui Parkison's Desease, Multiple Sclerosis and all the rest of it. Paul Makonda has fresh legs and a chip on his shoulder, you don't wanna go down that road with him!
 
Aisee hatari sana,hela za kutengeneza barabara anaombwa Rais au zinatoka serikalini?Kodi?
 
Reactions: G4N
Mkuu kuwa na maneno ya Akiba. Pili kuwa mwangalifu maana nyumba uliyomo ni kioo, usirushe mawe!
 


Mambo ya madawa ya kulevya yamerudiπŸ˜‚
 
Kama anabisha kuna kwenye mtandao wa X kuna kundi ambalo linaongozwa wa Waziri fulani na kuwalipa watu wamtukane Rais lengo lao kubwa Mama achafuke ili asigombee 2025 ili team yao iingie!
Mkuu si ulitaje hilo kundi tulijue hapa, bila hivyo ni uongo tu kama uongo mwingine mpaka uutibhitishe.
 
Sidhani kama hii ndio mojawapo ya kazi ya Ukuu wa mkoa.
Tanzania kila mtu anataka kujipendekeza kwa rais yani kila mtu anajifanya ana mapenzi makubwa kwa rais badala ya kufanya kazi zake.
 
umeeleza vizur mkuu.

Naomba nikusahihishe kidogo. wakati JPM anafariki huyu jamaa hakuwa RC wa DSM. Si unakumbuka 2020 baada ya kushindwa kura za maoni za ubunge wa Kigamboni alitemwa.

Wakati JPM anatangulia mbele za haki, mtu aliyekuwa RC wa DSM ni Kunenge.
 
Huyu mbona anaongea kama Waziri Nepi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…