Huyu ni debe tu haliachi kutika ...Hakuna waziri anafanya hicho kitu bali Makonda anatafuta namna ya kuwapaka shombo mawaziri ambao hana mahusiano nao mazuri kama; Nape Nnauye, Januari Makamba, Hussein Bashe, Riz 1 Kikwette...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni debe tu haliachi kutika ...Hakuna waziri anafanya hicho kitu bali Makonda anatafuta namna ya kuwapaka shombo mawaziri ambao hana mahusiano nao mazuri kama; Nape Nnauye, Januari Makamba, Hussein Bashe, Riz 1 Kikwette...
Jamaa ni fundi wa drama TanzaniaDrama King
Tatizo hujatuliza kichwa! Kweli ameropoka ila kuna kitu ndani yake! Tuendelee kuvywa mtori nyama ziko chini!Hivi Rais Samia alikosa kabisa mtu mwenye nidhamu ili asimame kama Mkuu wa mkoa Arusha? anaropokwa TU alimradi ameropoka.
Tatizo hujatuliza kichwa! Kweli ameropoka ila kuna kitu ndani yake! Tuendelee kuvywa mtori nyama ziko chini!Jamaa ni fundi wa drama Tanzania
Jamaa ni tapeli kubwa sana kwenye siasa na uongozi wa Tanzania.Makonda anataka kumtapeli Samia.
Yaani nchi kama Tanzania inaongozwa na viongozi aina ya makonda? Alishindwa kujipa hata assignment ya kumfahamu huyo sokoine japo kidogo tu? Badala yake anaanza kuwapiga watu mikwara ati wanaomtukana mama atawataja sasa hii haitokuwa kama ile ya MADAWA YA KULEVYA KWELI ??Kwenye kumbukumbu ya Sokoine Sokoine mwenyewe kusahaulika!🤣
Hatari sana
Hamna mbinu apo, kujipendekeza wka kuchoma wengine ni ujinga. Na yeye si wakwanza kutumia. Viongoz kibao ccm wanafanya hivyoBaada ya kauli ya Leo ya Mkuu wa Mkoa ARUSHA Wananchi wengi kisiwani wanasema kuwa Ile mbinu Makonda anaitumia ili kumteka Mh Rais ili iwe kama alivyokuwa wakat wa Hayati Magufuli. Hii mbinu imekaa kijanja sana sana. Mama Samia awe makini.
Wewe unamini kabisa Makonda katoka kwenye Uenezi kwa mapenzi ya Mama? Makonda ana taarifa za watu kibao ndani ya serkali na kuna uwezekano mkubwa sana zikawa ni taarifa sahihi sana kwa Mama!Hivi Rais Samia alikosa kabisa mtu mwenye nidhamu ili asimame kama Mkuu wa mkoa Arusha? anaropokwa TU alimradi ameropoka.
Duh ok ni jambo jema, ila sidhani kama hadhira ilikuwa sahihi
Tuko pamoja mkuu.Huyo Bashite kila siku ni maigizo.Pumbavu zako Makonda! Kwani hufahamu mahali pa kutoa taarifa au na wewe unatafuta umaarufu wa mitandaoni!
Kutwa kucha kuchongea na kuwabamnikizia makosa wenzako!
Yani huyu jamaa akili ndogo sanaaaa.Halafu ni mtu anayependa kusukumana na watu akidhani uongozi ni kusukumana na kuwa na magomvi na watu.Ule wazimu wake haujapona. Wewe mwache azidi kukivuruga chama sisi tumekaa pale[emoji117][emoji117]
Serikali haina Pesa za kuchezea.Apewe ulinzi Mtu huyu