Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Makonda alitaka kurudi kwenye ukuu wa mkoa, akamwomva Hayati, lakini alimkatalia kwa sababu moja kubwa kwamba alikuwa anaongea uwongo kwa viongozi mbalimbali wa chama eti Hayati Rais Magufuli alikuwa amemtuma akagombee ubunge ili amteue kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Hayati Magufuli mpaka akalazimika kutamka hadhari mbele ya vyombo vya habari kuwa wajumbe wasidanganyike, hakuna mtu ambaye yeye Hayati Magufuli alikuwa amemtuma kwenda kugombea ubunge. Aliyasema hayo akimlenga Makonda.

Uwongo, Makonda hajaanza leo, ni hulka yake. Hakuna mtu mwadilifu kabisa wa nafsi anayeweza kufanya kazi na Makonda.
Makonda ni mjinga sana sana. Hana akili na ataishia sehemu mbaya sana.
 
Bashite, mamlaka ya uteuzi itengue uteuzi wake haraka sana, kwenye kiapo wanakiri na kuahidi kutotoa Siri zozote wanazozijua HADHARANI Kwa maslahi ya TAIFA,au labda Kwa idhini ya Rais,Sasa either ana ruhusa ya Rais katika KUTAMKA huo upuuzi wake au kama Hana basi hiyo nafasi haimstahiki kuendelea nayo.
Hata Chalamila alisema kuna Mawaziri wanatafura hela huko nje kwa ajili ya Urais! Lisemwalo lipo japo uwasirishwaji wake ndo tatizo!
Ila kuna Mawaziri hawataki kabisa Mama 2025 aendelee na hiyo ndo hali halisi ndani ya chama! Sema Makonda kwa kuwa wanajua haogopi wamempa jukumu la kuwasema hao wanahusika na mamabo hayo!
Kuna kundi hawataki kabisa Samia aendelee kutawala baada ya 2025 na hilo jambo litatikisa sana ndani ya chama cha mapinduzi kadri mda unavyoenda kueleke uchhaguzi wa mwakani!
 
Makonda hawezi kuropoka,hapo kapangwa na wahusika,huyu jamaa Kuna kitu anacho ndani ambapo viongozi wa juu Wana kiona,ila sisi huku chini na chuki zetu kutwa kumtukana hapo Kuna wakati anaropoka mambo ya hovyo! Awamu zote tatu anapata uteuzi,akianzia kikwete,Jiwe na sasa mama. Makonda ataendelea kuwepo navyoona.
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ikifika Aprili 15, 2024 atawataja kwa majina Watu wakiwemo Mawaziri wanaotoa fedha za kuwalipa Watu ili wamtukane Rais Samia mitandaoni kama hawataacha.

Akizungumza wakati wa Kumbukumbu ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Edward Sokoine, amesema "Kaka zangu mnaotuma na kulipa watu kumchokoza Mama yangu Samia mnanijua na mimi nawajua, wengine ni Mawaziri leo tarehe 12 iwe mwisho"

Aidha Makonda amemwomba Rais Samia kutoa Fedha za ujenzi wa Kilomita za 20 za Lami Jijini humo na kueleza kuwa Wananchi wamemtuma amuombe Mama yake na wanampima kama ni Mama yake kweli
=========

Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.

Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.

Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?

Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.

View attachment 2961639

Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine

Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
well done RC, comrade Makonda 🐒
 
Makonda ni mjinga sana sana. Hana akili na ataishia sehemu mbaya sana.
Makonda hafanyi hayo kwa bahati mbaya! Wewe kwa akili yako unaamini kabisa Makonda kayasema hayo kutoka kwenye akili yake japo mnamsema zero brain!
Kama unatembelea mitandao ya kijamii hilo jambo la baadhi ya Mawaziri kutafuta kila mbinu ya kumchafua mitandaoni Rais Samia lipo ili kufankisha ajenda ya kundi fulani ili Mama asigombee 2025!
 
Pumbavu zako Makonda! Kwani hufahamu mahali pa kutoa taarifa au na wewe unatafuta umaarufu wa mitandaoni!

Kutwa kucha kuchongea na kuwabamnikizia makosa wenzako!
we itakua umelipwa na mtendaji wa Kijiji kwa mihemko hiyo 🐒
 
Huyu ni mwehu wallah.
Yeye kila wakati anataka kutengeneza njia yake kwa kutia majani njia za wenzake.
Hatowataja maana hawapo sema tu amewaharibia wenzake. Samia atakaa kwa kuhisi hisi kitu kisichokuwepo.
Ni kama mchezo wa Nabii feki na waumini wake huwa hauishi. Kila siku anakujengea mazingira kuwa una maadui wengi na yeye ndiye msaada pekee
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ikifika Aprili 15, 2024 atawataja kwa majina Watu wakiwemo Mawaziri wanaotoa fedha za kuwalipa Watu ili wamtukane Rais Samia mitandaoni kama hawataacha.

Akizungumza wakati wa Kumbukumbu ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Edward Sokoine, amesema "Kaka zangu mnaotuma na kulipa watu kumchokoza Mama yangu Samia mnanijua na mimi nawajua, wengine ni Mawaziri leo tarehe 12 iwe mwisho"

Aidha Makonda amemwomba Rais Samia kutoa Fedha za ujenzi wa Kilomita za 20 za Lami Jijini humo na kueleza kuwa Wananchi wamemtuma amuombe Mama yake na wanampima kama ni Mama yake kweli
=========

Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.

Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.

Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?

Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.

View attachment 2961639

Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine

Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
Na hawezi kuwataha kamwe kwani wameishaacha matusi yao. Lakini kama anawafahamu tangu mwanzo kuwa walikuwa wakimtukana Rais kwanini aliacha kuwashughulikia mapema?
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ikifika Aprili 15, 2024 atawataja kwa majina Watu wakiwemo Mawaziri wanaotoa fedha za kuwalipa Watu ili wamtukane Rais Samia mitandaoni kama hawataacha.

Akizungumza wakati wa Kumbukumbu ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Edward Sokoine, amesema "Kaka zangu mnaotuma na kulipa watu kumchokoza Mama yangu Samia mnanijua na mimi nawajua, wengine ni Mawaziri leo tarehe 12 iwe mwisho"

Aidha Makonda amemwomba Rais Samia kutoa Fedha za ujenzi wa Kilomita za 20 za Lami Jijini humo na kueleza kuwa Wananchi wamemtuma amuombe Mama yake na wanampima kama ni Mama yake kweli
=========

Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.

Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.

Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?

Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.

View attachment 2961639

Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine

Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine


 
Back
Top Bottom