Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Mkuu watoto wa mjini wamemfanya vibaya sana! Ana maumivu makubwa mno!

Hajaelewa kuwa hata Samia mwenyewe hawawezi na hadhubutu kwenda kwenda kinyume nao!

Makonda alijua atawafanya kitu mbaya kwenye mchucho wa ubunge uchaguzi ujao ndani ya chama, kumbe wenzie walikuwa mbele ya mahesabu yake kwa miaka miwili mbele!

Hizo ni kelele za chura tu, the last kicks of a dying horse! Ajiandae kupotea kwenye siasa! Haamini, Mlango wa kutokea uko dhahiri.

Haaminiki kamwe!
 
Akipigwa bench ndiyo itakuwa furaha kuu kwa watanzania
 
The statement of the gentleman was right and ofcoz , he is doing a very great job to the country πŸ’

The man is the sokoine of modern Times πŸ’
Eti sokoine haha πŸ˜„
Makonda fisadi kama mafisadi
Wengine tatizo mnapelekeshwa
Na siasa za umbea,udaku,maneno msneno

Ova
 
Eti sokoine haha πŸ˜„
Makonda fisadi kama mafisadi
Wengine tatizo mnapelekeshwa
Na siasa za umbea,udaku,maneno msneno

Ova
you are free to express your opinions and emotions, its your right

but the truth is that,
the gentleman is among very strong and committed young politician we ever had in TZ AFTER SOKOINE
 
Huyo roporopo anataka Ubunge wa Arusha mjini mana anadhani atakuja kuwa PM baada ya uchaguzi wa 2025.Kuwa RC wa Arusha ni mpango Mkakati kupita njia za Gambo.
Sasa ndugu kweli unaamini Makonda akigombea Arusha kuna wakumshinda?
 
Yeye anawawajua na wao wanaju hivo kwa hiyo wanajuana sasa inakuwaje au imetokeaje?
 
Akipigwa bench ndiyo itakuwa furaha kuu kwa watanzania
Kwako wewe sio Watanzania wote! Hivi wewe unadhani watu wote wanafana?
Hata hao Mawaziri wanaosemwa mnaona kama wanaonewa ila ndo washezi wakubwa sana!
 
Kila muwamba ngoma huvutia kwake ngozi.

Kwamba Makonda hafai maneno yake kwa Rais naye ni mkuu wa mkoa na Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama ya mkoa ila wewe Kiluilui Mwananchi wa JF usikilizwe?!

Rais Samia kazi anayo!
 
You sound more like a blackmail and not a statement.
 
Kwamba leo hii Makonda ni bingwa wa Fitna kumzidi Rais mstaafu Kikwete kwa mujibu wa wana JF?

Hapa Makonda alipogusa kuna kitu, hasiachie.
 

Kwamba Muosha naye huoshwa?

Tatizo meza imepinduliwa ghafla sana watu wamepeperushwa na kimbunga chake!
 
Kwamba leo hii Makonda ni bingwa wa Fitna kumzidi Rais mstaafu Kikwete kwa mujibu wa wana JF?
Hapa Makonda alipogusa kuna kitu, hasiachie.
Kila mtu ana lake na linajadiliwa kwa lake. Mimi nilishasema wazi kuhusu JK lakini hapa si mahali pake
Mada ni Makonda. Ni bingwa wa Fitna! tueleze kesi ya madawa nani alishtakiwa? Kesi ya Wanaume na watoto nani alishtakiwa? Kesi ya kupima Wanaume tezi dume kwa lazima, nani alipima?
Roma alikuwa wapi na alirejeshwa vipi na makonda si aliyosema?

Orodha ya Fitna ina kurasa 999, inatosha kusema ni Bingwa mbobevu katika Fitna.
Kifo cha Sokoine kinahusiana vipi na matusi ya mitandaoni? Sokoine alifariki hata internet haijagunduliwa, wapi na wapi!
 
Kweli mambo mchakamchaka πŸ™†β€β™€οΈ

Leo hii Paul Makonda ni bingwa na mbobevu wa Fitna za kisiasa ndani ya JMT?

I never thought I would live to read this from you, Nguruvi.

Pascal Mayalla naomba uje ushuhudie hii.
JokaKuu msome Nguruvi.
 
Pengine tofauti na Fitnati wengine yeye anajiweka wazi at least kwa kujua au kutojua.

Nimekuuliza, nitajie jina moja tu la mtu aliyeshtakiwa kwa madawa ya kulevya! kama huna , je hiyo siyo FItna ya uzamivu? Unahitaji tuweke Fitna zake nyingine kuanzia Dar hadi Dodoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…