Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiniuliza hivyo nami nitakuuliza majukumu ya mkuu wa mkoa ambae ni mwakilishi wa Rais na Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa husika.Pengine tofauti na Fitnati wengine yeye anajiweka wazi at least kwa kujua au kutojua.
Nimekuuliza, nitajie jina moja tu la mtu aliyeshtakiwa kwa madawa ya kulevya! kama huna , je hiyo siyo FItna ya uzamivu? Unahitaji tuweke Fitna zake nyingine kuanzia Dar hadi Dodoma!
Ni Samuel Sitta ndiye aliyem mentor Makonda kisiasa kwa kumuingiza kwenye bunge maalum la Katiba. Japo alimvua na ubingwaUkiniuliza hivyo nami nitakuuliza majukumu ya mkuu wa mkoa ambae ni mwakilishi wa Rais na Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa husika.
Siku zote, sheria, protocol na hata history + mazoea vinaonyesha mkuu wa mkoa ni mouth piece na kitendea kazi cha Rais kwenye eneo husika.
Mimi kinachonistaajabisha kutoka kwako ni kumpa Salute ya ubingwa na ubobevu wa Fitna za kisiasa Paul Makonda, Salute ambayo ameishi na kudumu nayo Rais mstaafu Mzee Kikwete!
Tukivuta pumzi kidogo, tukumbushane chanzo/mwanzo wa Paul Makonda katika siasa za Tanzania.
Alitambulishwa na nani rasmi katika mduara wa siasa za Kitaifa?
Ni nani mwalimu/coach/mentor wake wa siasa za Kitaifa na siasa za JMT?
Majibu ya hapo juu yatatupa mwanga halisi.
Mm pia siamini kama kuna mawaziri wanaweza kumtukana raisi wakiwa kwenye nafasi zao labda kama angesema MAWAZIRI walio tenguliwa. Lakini pia maoni yangu naona kama Makonda ndiye anaye sambaza kwa watu wajue kwamba raisi katukanwa. Mfano kama leo, alivyo ongea hivyo ata mimi binafsi nilikuwa sijui kama kuna jambo hilo so baada ya kusikia nikaanza kufuatilia.Hakuna waziri anafanya hicho kitu bali Makonda anatafuta namna ya kuwapaka shombo mawaziri ambao hana mahusiano nao mazuri kama; Nape Nnauye, Januari Makamba, Hussein Bashe, Riz 1 Kikwette.
Kupata uwaziri ndiyo ndoto ya wabunge wengi baada ya uchaguzi. Rais Samia amekupa Uwaziri, unaanzaje kulipa watu wamtukane mtu alikupa Uwaziri ambayo ni privilege adimu?
Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?
Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.
USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.
Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.
Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
Hakuna aliyehoji kwanini aliongea. Hakuna anayehoji aliyoongea kuhusu Mkoa wake.Nitakuuliza majukumu ya mkuu wa mkoa, mwakilishi wa Rais na Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa husika.
Sheria, protocol na hata history + mazoea, mkuu wa mkoa ni mouth piece na kitendea kazi cha Rais kwenye eneo husika.
Hoja ni kwamba Jana wakati wa Msiba wa Sokoine aliyeanzisha sokomoko lisilohusiana na msiba ni DABMimi kinachonistaajabisha kutoka kwako ni kumpa Salute ya ubingwa na ubobevu wa Fitna za kisiasa Paul Makonda, Salute ambayo ameishi na kudumu nayo Rais mstaafu Mzee Kikwete!
UVCCM akiingizwa na Marehemu Sitta na kutumiwa na JK kumhujumu ELNTukivuta pumzi kidogo, tukumbushane chanzo/mwanzo wa Paul Makonda katika siasa za Tanzania.
NimejibuAlitambulishwa na nani rasmi katika mduara wa siasa za Kitaifa?
JPM ndiye aliyemkuza kutoka DC, kumpa u-RC na kisha nguvu za ajabu zisizo katika katiba kuliko VP na PMNi nani mwalimu/coach/mentor wake wa siasa za Kitaifa na siasa za JMT?
Sasa, Samuel Sitta yeye alikua nani kwenye arena ya Siasa za JMT? Yeye Samuel Sitta ni nani alikua Master wake kwenye Siasa za JMT? Wakati wa uhai wake Siasa zake zilikua za mlengo upi ndani na nje ya Chama chake?Ni Samuel Sitta ndiye aliyem mentor Makonda kisiasa kwa kumuingiza kwenye bunge maalum la Katiba. Japo alimvua na ubingwa
Isijekuwa kama kijana Zitto alipotishia kuwataja wauza sembe then ghafla akawa kimya mpaka leo hii,, anajipiga vidole tu na haeleweki.Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ikifika Aprili 15, 2024 atawataja kwa majina Watu wakiwemo Mawaziri wanaotoa fedha za kuwalipa Watu ili wamtukane Rais Samia mitandaoni kama hawataacha.
Akizungumza wakati wa Kumbukumbu ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Edward Sokoine, amesema "Kaka zangu mnaotuma na kulipa watu kumchokoza Mama yangu Samia mnanijua na mimi nawajua, wengine ni Mawaziri leo tarehe 12 iwe mwisho"
Aidha Makonda amemwomba Rais Samia kutoa Fedha za ujenzi wa Kilomita 20 za Lami Jijini humo na kueleza kuwa Wananchi wamemtuma amuombe Mama yake na wanampima kama ni Mama yake kweli
=========
Akitoa salaam za mkoa kwenye kongamano la kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine leo hii 11 April 2024, amesema kuna watu, wakiwemo mawaziri wanawatuma watu kumtukana Rais Samia mitandaoni.
Makonda kasema anawajua na wao wanamjua. Amewataka waache kufanya hivyo leo hii. Ameonya wasipoacha atawataja majina yao siku ya Jumatatu tarehe 14 April 2024.
Unaweza kubashiri ni mawaziri gani wanafanya hujuma hizi dhidi ya bosi wao? Au Makonda anatafuta kiki?
Maana hata jiwe alimdanganya kama hivi, ndiyo maana jiwe akawa karibu sana na Makonda. Jiwe alipokuja kugundua kuwa aliingizwa chaka akamtema.
View attachment 2961639
Source:. Kumbukizi ya Edward Moringe Sokoine
Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
Raisi Samia huyu au mwingine, amtumbue Makonda? Utasubiri sana. Wenzako walishauliza maswali hivi Makonda anajiamini nini kwa Raisi Samia hadi anafikia kufanya yale anayofanya. Usione vinaelea huko ndani vilishaunganishwa siku nyingiAmani imetawala wana jf , popote mlipo
Rais ni nembo ya Taifa , kitendo cha kutukwanwa sihungi mkono ,nchi ni kubwa kuliko mtu mmoja .
Sasa na mimi kama Mtanzania natoa siku 5 Makonda kuwataja Mawaziri wanaoleta ujinga kumudhalilisha Rais pitia mitandao , na kama sio hivyo ikawa Makonda hajawataja na ushahidi juu, afutwe mara moja kwenye utumishi , wenda anajiona yupo na nguvu sana ila Taifa ni kubwa sana kuliko yeye.
Makonda asitualibie nchi ama kwa makudi au kugizwa ,
Nawakilisha
Hahaha! Kuna mwanajeshi mmoja alimpa mimba mtoto wa raisi. Akaitwa Ikulu. Akaambiwa kaa hapa subiri. Raisi alipojitokeza jamaa akasimama halafu akaanguka chini kazimia!Usipende kupewa mualiko wa ikulu, wengi waliopewa mualiko wa kufika hapo walisahau kilichowapeleka hapo wakabaki kushangaa shangaa tu
Makonda anasema wapo mawaziri wanalipa watu kumchafua rais na anawajua ,tunataka wapenda haki awataje na ushahidi ,nchi hii ni kubwa sana kuliko Makonda , na asipo fanya hivyo , moja atumbulie haraka sana , pili namtaka ulingoni tuzichape ,nchi haiwezi ruhusu wa namna hiiKumetokeni nini?
Hivi hicho cheo cha mkuu wa wakuu wa mikoa kipo kweli?..kama hakipo basi wakianzishe haraka sanaMakonda amekuwa "mkuu wa wakuu wa mikoa"..
Kila anapokuwepo lazima alazimishe kujiweka juu ya wengine.
Kwamba amewekewa masharti na mipaka ya wapi azungumze na wapi hasizungumze? Toka lini?Hakuna aliyehoji kwanini aliongea. Hakuna anayehoji aliyoongea kuhusu Mkoa wake.
Watu wanahoji katika Msiba wa Sokoine mbali na ya Mkoa wake, haya ya Mtandaoni yanaingiaje?
Hayakutokea katika mkoa wake… uhakika unao wa asilimia 100 kwamba wahusika anaowasena hawatoki mkoani kwake?Hata kama yanaingia, hiyo si dhamana ya RC kwasababu hayakutoke katika Mkoa wake.
Vipi Kama anayoruhusa maalum ya kumwaga mafuta ya taa shimoni Kama hivi ili wajue kitakachotoka humo shimoni?Fitna ni pale anaposhindwa kumweleza Rais aliyekaa naye anatangazia Umma jambo lisilo na ushahidi.
Kwamba alishindwa kwenye madawa? Kamishna kukabidhiwa file ndiyo kushindwa kwa Makonda?Yes halina ushahidi kwasababu matusi si jambo zito kuliko madawa ya kulevya! alishindwa huko.
Ni sokomoko kwa mujibu wa nani?Hoja ni kwamba Jana wakati wa Msiba wa Sokoine aliyeanzisha sokomoko lisilohusiana na msiba ni DAB
???Hata kama ni sehemu ya Fitnati, hoja ni ile aliyosema na wala hilo halitoi kinga kwa finnati wengine.
Mwizi ni yule aliyekamatwa na ngozi, si aliyeiba.
Samuel Sitta na Jakaya Kikwete.UVCCM akiingizwa na Marehemu Sitta na kutumiwa na JK kumhujumu ELN
Maajabu ni walio hai kushindana na wafu.Nimejibu
JPM ndiye aliyemkuza kutoka DC, kumpa u-RC na kisha nguvu za ajabu zisizo katika katiba kuliko VP na PM
JPM ndiye aliyempa nguvu za Fitna anayeoeneza leo.
Makonda kakuta tayari Lowassa kwenye politics hiyo 2014-2015 amekua loose ball ya kila mwenye msuli kujipigia, wafitini wa Edward wapo hai.Umesahau Fitna zake kwa Lowassa? alitumwa kwasababu ni Bingwa.
Hii naisubiri siku ya uthibitisho wake kwa hamu.Kila Fitna ikiwemo ile maarufu ya Dodoma huyu bwana anahusika.
Kama aliyoyasema kwa hao wote kuhusu madawa ya kulevya ni uwongo na Fitna, wanasubiri nini kumfungulia mashtaka ya udhalilishaji angalau to set records straight?Madawa ya kulevya na akina Freeman Mbowe alitumwa asome na JPM kwasababu ni Bingwa.
Acha utani Nguruvi! Magwiji wa hizo kazi wapo wanakusoma hapa.Ni Bingwa kwasababu yeye ndiye mwenye uwezo wa kutenda au kunena uchafu bila haya au majuto.
Sijasahau.Huyu ndiye alikuwa bega kwa bega na Mwanharakati huru kuleta Fitna kwa wenzake na wengine. umesahau
Kwamba Makonda ndio alishika bastola kichwani kwa Nape?Umesahau bastola kichwani mwa Nape! Fitna ilianza kwa nani.
Nimekuja nimeshuhudiaKweli mambo mchakamchaka 🙆♀️
Leo hii Paul Makonda ni bingwa na mbobevu wa Fitna za kisiasa ndani ya JMT?
I never thought I would live to read this from you, Nguruvi.
Pascal Mayalla naomba uje ushuhudie hii.
JokaKuu msome Nguruvi.
Mpumbavu wewe kaa kimya. Mjini umekuja juzi toka Kolomije unauliza maswali ya kipimbiSasa, Samuel Sitta yeye alikua nani kwenye arena ya Siasa za JMT? Yeye Samuel Sitta ni nani alikua Master wake kwenye Siasa za JMT? Wakati wa uhai wake Siasa zake zilikua za mlengo upi ndani na nje ya Chama chake?
Hapo kwenye bold ulikuwepo wakati hilo jambo linatokea? Wewe ulikua nafasi gani, mshika miguu au mfuta jasho?