Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
“If you don’t stand for something, you’ll fall for anything” Bob Marley.
Hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama kujaribu kufanya maamuzi ya kuwafurahisha watu, siku ukienda kinyume nao ni ugomvi. Hata uwape nini wana sahau mara moja kisa tu umeenda tofauti nao.
Raisi wa Tanzania atishiwi nyau ndani ya CCM wala serikalini ni swala la kuamua tu kuwatia adabu wasumbufu na maisha yataendelea kama kawaida tu.
Binafsi sio shabiki wa huyu mama kabisa Iła for the right reason, inakera zaidi kuona watu aliwaopa kila kitu bado hawaridhiki wanataka kumpangia maamuzi yake afanye kazi na nani.
siyo kila raisi wa tanzagiza ni raisi wa tanzania …