Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

“If you don’t stand for something, you’ll fall for anything” Bob Marley.

Hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama kujaribu kufanya maamuzi ya kuwafurahisha watu, siku ukienda kinyume nao ni ugomvi. Hata uwape nini wana sahau mara moja kisa tu umeenda tofauti nao.

Raisi wa Tanzania atishiwi nyau ndani ya CCM wala serikalini ni swala la kuamua tu kuwatia adabu wasumbufu na maisha yataendelea kama kawaida tu.

Binafsi sio shabiki wa huyu mama kabisa Iła for the right reason, inakera zaidi kuona watu aliwaopa kila kitu bado hawaridhiki wanataka kumpangia maamuzi yake afanye kazi na nani.

siyo kila raisi wa tanzagiza ni raisi wa tanzania …
 
“If you don’t stand for something, you’ll fall for anything” Bob Marley.

Hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama kujaribu kufanya maamuzi ya kuwafurahisha watu, siku ukienda kinyume nao ni ugomvi. Hata uwape nini wana sahau mara moja kisa tu umeenda tofauti nao.

Raisi wa Tanzania atishiwi nyau ndani ya CCM wala serikalini ni swala la kuamua tu kuwatia adabu wasumbufu na maisha yataendelea kama kawaida tu.

Binafsi sio shabiki wa huyu mama kabisa Iła for the right reason, inakera zaidi kuona watu aliwaopa kila kitu bado hawaridhiki wanataka kumpangia maamuzi yake afanye kazi na nani.
Hizo ni rumons tuu watu wanajiandaa na 2030 hawana habari na huu uchaguzi msiwachonganishe Mawaziri na Rais ati Makonda kaona
Uongo Una mwisho mbaya
 
Nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria na katiba..Upo utaratibu wa wazi wa kushughurikia tuhuma za kijinai au madai (Tort)

Yapo makosa makubwa na madogo kijinai lakini kuna mfumo na utaratibu sawia wa kutoa taarifa..Kupeleleza,Kushitaki na kuhukumu..

Rais wa nchi ni mkubwa sana,Urais ni taasisi kubwa mno na ni zaidi ya mtu..Kuna makosa ukituhumiwa au akituhumiwa yeyote kutaka kutenda/Kujaribu kutenda yanaweza kuwa uhujumu Serikali;Uasi au uhaini..

Hivyo tuhuma zozote zenye chembechembe za uhujumu,Uasi,Uhaini hazipaswi kuchukuliwa kwa wepesi..Mtoa taarifa,watuhumiwa wote wanapaswa kuchunguzwa kwa kina na kwa haki..Kisha ikiwa kuna mapana ya ushahidi basi taratibu na hatua kali za kisheria zapaswa kuchukua mkondo wake..

Lakini pia zisipothibitika na kuwa uzushi/Fitina/Faraka/Husuda basi mtoa taarifa anapaswa kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu na kisheria ili iwe fundisho.
Naunga mkono hoja, unaongea kwa weredi na hekma
 
Nimeshangaa Sana
Sio kwamba PM au Mawaziri hawawezi fitina na majungu kama ya Makonda ila wameamua kukaa kimya
Rais alitazame hili
Alinza kumsimanga PM alipokuwa Mkuu wa Mkoa Dar
Akaja alipokuwa Mwenezi
Sasa Indirectly Yuko Arusha anaendeleza kwa mawaziri
Huyu mtu ni tatizo kwa usalama wa Taifa
 
Makonda ana ujinga na laana ya watu aliyowateka na kuwaua.

Jumapili utaona clip akilia kanisani.

Akimaliza miezi 6 kwenye uRC nitakunya kwenye daladala
 
Ngoja atumwe, ikinyesha tutajua panapovuja
Hakuna kitu kama hicho

Rais ni taasisi imara Sana
Yaani isione isishughulikie imwachie Makonda
Umesahau kilichomkuta ndugai
Yaani umchezee mama ukitegemea akuache yeye eti amtume Makonda non sense
 
Alipiga naye picha Marekani.Naona Samia hajampa alichokitaka. Chickens are coming home to roost.
Mtangulizi wake ametukanwa sana huyo mwanamke, mitandaoni, wapinzani na wengi ndani ya baraza lake la mawaziri hajawahi kutoa tamko kukemea chochote.

Ndio kwanza alikuwa anachochea moto kwa kauli zake za kimafumbofumbo akionyesha kuwaunga mkono.
 
Hili jambo kama Rais Samia ataliacha ajue kesha tengeneza anguko lake na kufifisha shughuli za taifa.
Maana kuanzia sasa hali ya hewa ndani ya baraza la mawaziri imeshachafuka na kutokuaminiana kutakuwepo hivyo pasipo na kuaminiana hakuna collective responsibility kabisa na hilo ni hasara kwa taifa changa na lenye changamoto nyingi kama letu.
Hivi Makonda kampa nini? Hivi watu wa usalama wanawajibika kweli kumweleza ukweli kuhusu hii teuzi ambayo hata Magu aliishtukia?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom