Paul Makonda Awabubujisha watu machozi ya furaha utafikiri wamepigwa na mabomu ya machozi

Takataka mzee wa nyashhh au joyce wowowo
 
Lucas nimeona ulipata A kwenye uandishi wa insha!!
Kuandika stori ndefu kwa idea moja tu si mchezo, ni kipaji. Mi nimesoma first paragraph tu nikachoka kabisa!!
Big up mkuu!
 
Mimi sio mwanachama wa chama chochote! Ile nyie ccm mmekua mkitunyonya sana mmetumia chama chenu kama pahala kwa unyonyaji,ukatili,na mambo za ajabu
 
Lucas nimeona ulipata A kwenye uandishi wa insha!!
Kuandika stori ndefu kwa idea moja tu si mchezo, ni kipaji. Mi nimesoma first paragraph tu nikachoka kabisa!!
Big up mkuu!
Ndio maana naandika kwa kuweka aya ili kila mmoja asome mpaka pale uwezo wake unapoishia .maana siyo kila mmoja ana akili na uwezo wa kusoma na kuelewa.ndio maana wengine wakipewa hata mkataba wanajikuta wanasaini tu bila kuusoma na kuelewa kilichoandikwa ndani.
 
Umesoma alichoandika Mange Kimambi kuwa kutoonekana kwake ni staged au unasifu na kuabudu tu? Amekuwa preempted maana imekuwa kama Dada wa Taifa alisema jana
Mange ni nan mpk kila anachoandika ndio iwe kweli ?
Kwanza huyo demu Ana bifu na konda kitambo sishangai chochote atachosema
 
Mange ni nan mpk kila anachoandika ndio iwe kweli ?
Kwanza huyo demu Ana bifu na konda kitambo sishangai chochote atachosema
Mtu mwenye akili Timamu huwezi ukaanza kumuamini Mange Kimambi mpaka unaanza kufanya kama ndio chanzo halisi na rejea yako.
 
Ngumbaru mbumbumbu
 
Nimeona video yake ya Arusha Kisongo Eyapoti, Makonda anaonesha kweli alikua anaumwa na bado hajapata nguvu sawasawa. Amekonda sana na mvuto umefifia.

Mwenyezi Mungu amsalimu salama, aendelee na majukumu yake kwa salama na amani.
Kweli kabisa hayuko sawa, Allah amkinge na hasadi na husdah mbaya za walimwengu, dunia imekuwa uwanja wa vita, baina yetu, pia endapo kama aliwahi wafanyia husdah mbaya wengine amlilie mola wake, pia akumbuke, hasadi hachoki anapodhamiria!
 
Nimeona video yake ya Arusha Kisongo Eyapoti, Makonda anaonesha kweli alikua anaumwa na bado hajapata nguvu sawasawa. Amekonda sana na mvuto umefifia.

Mwenyezi Mungu amsalimu salama, aendelee na majukumu yake kwa salama na amani.
Mipaja ya kike na mitraco imesinyaa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…