Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Mwamba wa matacle yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu zangu watanzania,
Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda,Kijana Jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara, Field Marshal,jabali la Siasa. Mwamba Mwamba Mwamba Mwenyewe Makonda Hatimaye kwa mara nyingine tena atikisa ,atetemesha,Awabubujisha watu Machozi utafikiri watu waliopigwa bomu la machozi katika chumba walichokuwa wamejificha.
Mwamba Mwenyewe Paul Makonda kwa hakika huyu Mtu Siyo wa Kawaida ,Ni Mtu na Nusu,Ni mtu anayependwa na watanzania kwelikweli. Anaongoza mkoa wa Arusha lakini wananchi na watanzania wanamfuatilia habari zake kila uchao. Nimeshuhudia watu wakiwa na furaha kubwa na kushangilia utafikiri wana ndoa waliopata mtoto baada ya kukaa miaka kumi bila kupata Mtoto.
Unaweza ukawa na chuki binafsi na Mwamba Mwenyewe Mheshimiwa Makonda lakini utakubali ukweli kuwa huyu Mwamba anakubalika na kupendwa sana sana na watanzania. Hiyo ni kutokana na uchapakazi kazi wake,ujasiri wake katika kufanya maamuzi, kupambana na mtu yeyote yule awaye na cheo chochote kile na utajiri wa aina yoyote ile katika kutetea wanyonge,kusaidia watu wenye uhitaji na usikivu wake mkubwa kwa wanyonge na watu wa aina zote.
Mwamba Mwenyewe Makonda Ni mtu ambaye anapenda sana kuona wanyonge na watanzania maskini wanapata haki zao bila kuonewa.ndio sababu watu humiminika na kufurika katika mikutano yake utafikiri mchanga wa baharini.
Kama kuna mtu anamchukia Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda,basi afahamu kuwa hataweza kuzuia upendo mkubwa walionao watanzania wa maeneo mbalimbali kwa Mwamba huyu anayeendelea kuteka mioyo ya mamilioni ya watanzania.
Jiulize kwanini anakubalika sana na watanzania? Kwanini anafuatiliwa sana habari zake? Kwanini anaushawishi mkubwa sana kwa watanzania?kwanini anatabiriwi makubwa sana kiuongozi?
Jibu ni kuwa ni lazima tukubali wote kama Taifa kuwa Mwamba Mwenyewe Makonda ni kiongozi mchapa kazi,jasiri na mbunifu sana katika uongozi.Ni kiongozi ambaye akipewa nafasi hata kwa siku moja tu au majukumu ya siku moja tu anayafanya katika namna ambayo alama zake huwezi kuzifuta hata kwa kukwangua na jembe la mkono.
Niambie ni wapi Ambako Mwamba hajaacha Alama za kiuongozi mpaka alipofika hapo? Ni wapi ambako Mwamba hakumbukwi kuwa mahali hapa na katika nafasi hii alipita Mwanaume wa kazi Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda?
Mwisho niseme wazi kuwa kama kuna mtu anamuombea Mabaya Mwamba Mwenyewe Paul Makonda,basi anajisumbua tu kwa sababu huyu Mwamba yupo na amefika hapo kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tu. Vita ambayo Mungu amempigania ni kubwa sana na ambayo kama siyo ulinzi wa Mungu na uwepo wa Mungu katika Maisha yake basi angekuwa amebaki historia tu hapa Duniani.lakini yupo hivyo alivyo kwa sababu Mungu ana makusudi maalumu na huyu Mwamba juu ya Ardhi ya Tanzania.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Makonda arejea, akagua uwanja wa ndege Kisongo
Paul Makonda maadui wengi alionao kawatafuta yeye mwenyewe, Tena amewatafuta kwa tochi.Kweli kabisa hayuko sawa, Allah amkinge na hasadi na husdah mbaya za walimwengu, dunia imekuwa uwanja wa vita, baina yetu, pia endapo kama aliwahi wafanyia husdah mbaya wengine amlilie mola wake, pia akumbuke, hasadi hachoki anapodhamiria!
Maadui wa Mwamba ni wale mafisadi, wala rushwa,wazembe kazini na wanaoonea wanyonge. Hao ndio ambao Mwamba Mwenyewe Paul Makonda anapambana nao na kuwakabili kikomandoo.Paul Makonda maadui wengi alionao kawatafuta yeye mwenyewe, Tena amewatafuta kwa tochi.
Kama una hasira kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ileMwamba wa matacle yako
Nafuu mimi nitakuga na ujinga wangu, ila Makonda atakufa na madhambi yake ya kuua na wewe Mnyiha mshamba utakufa na uchawa wa kijinga.Utakufa wewe na ujinga wako.
Wanyonge ndio watu gani? Wametokea wapi na wako wapi?Maadui wa Mwamba ni wale mafisadi, wala rushwa,wazembe kazini na wanaoonea wanyonge. Hao ndio ambao Mwamba Mwenyewe Paul Makonda anapambana nao na kuwakabili kikomandoo.
Lucas amevuka hata kwenye uchawa huyu ni kunguni kabisa, hana aibu kusifia ujinga. Makonda au kwa jina lake halisi Daudi Albert Bashite ni mtu mwovu ambaye ameshiriki matendo maovu ya utekaji,utesaji na hata kuua, yule pale alipo mikono yake imejaa damu. Maadui anaodai wanataka kumuua amewatengeneza mwenyewe na ajue hawatamuacha mpaka walipize visasi. Huyu altumika katika kazi chafu za yule dhalim aliyeko jehanam .Wanyonge ndio watu gani? Wametokea wapi na wako wapi?
Nimefuatilia comments zako nyingi sana humu mtandaoni na nimegundua ya kwamba wewe Lucas Mashamba ni miongoni mwa chawa wanafiki ambao 'kichwani hamnazo,' kazi yako kubwa ni kujikomba kwa Watu waovu na wasiofaa ili upate mkate wako wa kila siku.
Napenda kukujulisha kwamba, endapo kama kweli kabisa unamtakia mema huyo Paul Makonda Basi uwe unamweleza ukweli ili aweze kujirekebisha na abadilike katikà tabia zake. Usimsifie kwa Unafiki kwani kufanya hivyo utakuwa unampoteza zaidi na kumuangamiza kabisa kwenye maisha yake kijamii na kisiasa. Paul Makonda anapaswa ajirekebishe tabia zake pamoja na hulka zake ili aweze kukubalika kwa dhati kabisa kwenye jamii, asiwe na kiburi kilichopitiliza na majivuno, ajishushe ili apunguze idadi ya maadui zake aliowatengeneza. Ajirekebishe na jamii ione kwa macho yao kwamba kweli huyu Paul Makonda wa Sasa SIYO yule tuliyekuwa tunamfahamu siku za nyuma. Kwamba Paul Makonda wa sasa hivi amebadilika na kuwa mtu mwema na mfano wa kuigwa katikà jamii.
Nyinyi chawa wewe Lucas Mshamba ukiwa kiongozi wao acheni Sasa kumsifia kinafiki Bw. Paul Makonda, Kama kweli kabisa mnamtakia mema Basi acheni kujikomba kwake na badala yake mwambieni ukweli ili aweze kujirekebisha. Cheo Cha Ukuu wa Mkoa alichonacho Bw. Paul Makonda ameteuliwa kwa kubebwa na kupendelewa, siyo kwamba anazo sifa nzuri au Qualifications za kutosha za kumfanya aweze kuteuliwa kwenye cheo hicho. Paul Makonda hana Qualifications za kuteuliwa ktk nafasi hiyo ya RC isipokuwa Rais ameamua tu kwamba acha ambebe hivyo hivyo ili siku ziende.
Acha ujinga wako hapa weweLucas amevuka hata kwenye uchawa huyu ni kunguni kabisa, hana aibu kusifia ujinga. Makonda au kwa jina lake halisi Daudi Albert Bashite ni mtu mwovu ambaye ameshiriki matendo maovu ya utekaji,utesaji na hata kuua, yule pale alipo mikono yake imejaa damu. Maadui anaodai wanataka kumuua amewatengeneza mwenyewe na ajue hawatamuacha mpaka walipize visasi. Huyu altumika katika kazi chafu za yule dhalim aliyeko jehanam .
Unasemaje wewe mpumbavu wa kujitegemea?Acha ujinga wako hapa wewe
Nasema jitahidi upate matibabu ya haraka sanaUnasemaje wewe mpumbavu wa kujitegemea?
Hakuna chuki yoyote ile tuliyonayo dhidi ya mtu huyo, isipokuwa tunataka kumweleza ukweli ili aweze kujirekebisha pale ambapo sisi tunaona kwamba Paul Makonda ameteleza.Uzi mzuri ulioshiba ila uliojaa chuki kwa "mafisadi " karibu Makonda, jisikie upo nyumbani.
Mimi sina ujinga kama ulionao weweWewe mbona ni mpumbavu lakini hujafa?
Aliyekuambia nahitaji matibabu mwambie akapimwe akiliNasema jitahidi upate matibabu ya haraka sana
Nimeacha nafasi ili uweke namba yakoChawa kazini.
Umesahau kuweka namba ya simu.
Au tayari wanazo wenye mamlaka ya uteuzi?
Hao walitokwa na machozi ya furaha ni wewe na familia yako + wanufaika naye.