Paul Makonda hana sababu ya kumfungulia kesi Tundu Lissu

Sawa kabisa; huyu Lucas inaelekea mjua kusoma na kuandika; hajua mwezie Makonda anajua maana ya Consequences kwenye Ethics; yaani Lisu atamlalua Makonda kama mbuzi; Makonda hawezi Kwenda Mahakamani.

Consequentialism - Ethical theory - Hata vyeti vya Makonda ni fake, jina lake ni fake etc etc
 
Unalizaje swali kama hilo ambalo ukimuuliza hata mwenyekiti wako wa CHADEMA Taifa anaweza kukujibu?
Lucas Mbowe ana MBA, wewe unayo? Na kasoma vizuri sana kiingereza; mlilmsema sana akawa anajisomea; nyie huku na majungu yenu na huyo Mipasho Dr. wa kununua Shahada. Mbowe kaenda Darasani with high standard Professors
 
We ni punguani.
Huyo shoga hukumbuki alimpiga kibao mzee warioba pale ubungo plaza?
Hukumbuki alitukana wachaga wote kipindi cha msiba wa Mengi na akamletea jeuri askofu SHOO pale kkkt Moshi?
Hukumbuki alitaka kukwepa kodi bandarini makontena yake hadi commissioner wakati ule akiwa huyu makamo wa rais wa sasa?
Hukumbuki alikua anamtukana sana lowasa?

Punguani wewe
 
Lucas Mbowe ana MBA, wewe unayo? Na kasoma vizuri sana kiingereza; mlilmsema sana akawa anajisomea; nyie huku na majungu yenu na huyo Mipasho Dr. wa kununua Shahada. Mbowe kaenda Darasani with high standard Professors
Unaifahamu Elimu ya Mbowe wewe? Unayafahamu matokeo yake ya kidato cha sita?
 
Matusi mangapi lissu Alimtukana hayati Edward lowassa? Nini kilitokea 2015?
 
Naona umejijibia tetesi zako mwenyewe. Yaani upo kwenye nyumba ya vioo unapiga watu mawe? Sehemu pekee ya kujisafisha kwa tuhuma hizo ni mahakamani na si kwa maelezo yako na mengine mitandaoni, makanisani na kwenye vyombo vya habari.
 
Shahawa zilizokuzaa heri zingemwagwa chooni tu
 
makonda magumashi hawezi enda mahakamani, kuanzia jina la kufoji, kesi yake ya kutaka kudhulumu nyumba ya gsm kwa mgongo wa magufuli iliishiaga wapi? aliishia kutupigia makelele tu, jizi, zurumati, janja janja nyingi.....halafu kuna clip moja linajaribu kujisafisha ooh....dereva wangu ndio alikuwa anaenda kuomba pesa kwa matajiri kwa niaba yangu bila mimi kujua, ni wewe ndio tabia zako usisingizie dereva.....na kama dereva alifanya kwa ujasiri baada ya kuona unavyofanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…