Paul Makonda hapigi kazi yoyote. Anafanya usanii tu

Paul Makonda hapigi kazi yoyote. Anafanya usanii tu

Huyu jamaa juzi kapita hapa hometown kwangu, BRD.

Ana bahati nilikuwa nimeenda shambani mida aliyoingia na punda wake la sivyo ningemfurusha.



Pulling up in donkey drawn carriages, dump trucks, bodabodas, and whatnots, is not work. It’s perfomative.

CCM is tired and out of ideas and that’s why they’ve resorted to stunts.

And who better to do that than the stuntman himself?

For no self-respecting sane person would do what this Bashite dude is doing.

Going around everywhere and making fake calls to officials doesn’t equal to getting things done.

Those are just publicity stunts aimed at fooling the foolish among us!

Nazidi kuidharau CCM.

Wana bahati sana wanaongoza umma ulio na wapumbavu wengi.

Kazi ya makonda ni Porojo tu hawezi hata kujenga kisima cha maji
 
Makonda kawashitua viongozi Wanafiki, walidhani atakuja na vibwagizo vyao vya kitapeli eti,"Mama anaupiga mwingi" na "nani kama Mama'.
Kumbe kwa Ground mambo ni upigaji tu!
Mpaka sasa makonda amefanya kitu gani tangible
 
Kwa wale CCM wachache wenye akili waliobaki, this has got to be so embarrassing.
Nitashangaa sana mtu kama Mzee Kinana akibaki katika uongozi wa CCM kwa miezi 3 ijayo!
Nafikiria kama Mzee Warioba, Msuya, Salim n.k. wanaweza kuvaa kijani tena wakatoka hadharani
 
Huyu jamaa juzi kapita hapa hometown kwangu, BRD.

Ana bahati nilikuwa nimeenda shambani mida aliyoingia na punda wake la sivyo ningemfurusha.



Pulling up in donkey drawn carriages, dump trucks, bodabodas, and whatnots, is not work. It’s perfomative.

CCM is tired and out of ideas and that’s why they’ve resorted to stunts.

And who better to do that than the stuntman himself?

For no self-respecting sane person would do what this Bashite dude is doing.

Going around everywhere and making fake calls to officials doesn’t equal to getting things done.

Those are just publicity stunts aimed at fooling the foolish among us!

Nazidi kuidharau CCM.

Wana bahati sana wanaongoza umma ulio na wapumbavu wengi.
hao madingii wamemstukia
1700010214108.jpg
 
Huyu jamaa juzi kapita hapa hometown kwangu, BRD.

Ana bahati nilikuwa nimeenda shambani mida aliyoingia na punda wake la sivyo ningemfurusha.



Pulling up in donkey drawn carriages, dump trucks, bodabodas, and whatnots, is not work. It’s perfomative.

CCM is tired and out of ideas and that’s why they’ve resorted to stunts.

And who better to do that than the stuntman himself?

For no self-respecting sane person would do what this Bashite dude is doing.

Going around everywhere and making fake calls to officials doesn’t equal to getting things done.

Those are just publicity stunts aimed at fooling the foolish among us!

Nazidi kuidharau CCM.

Wana bahati sana wanaongoza umma ulio na wapumbavu wengi.

Sukari imepanda ,Bado kipanda uso ,Makonda anawavuruga
 
Ana bahati nilikuwa nimeenda shambani mida aliyoingia na punda wake la sivyo ningemfurusha.
Na wewe pia kutuambia ungekuwepo ungemfurusha Makonda ni usanii kama wa Makonda mwenyewe.

Makonda hebu chukua nchi urudishe disiplini na umwondoe Mwarabu for heavens sake.

Kanda ya Ziwa yenyewe ukiizoa yote hiyo unapata kama 40% of the vote, unatafuta the other 10% huko Tanganyika kwingine. Watu wote wanaufyata kutamka Magufuli hadharani, keep using that shyt! Utaweka rekodi ya dunia, halafu kule no-entry unaingia na Vienna Convention service visa... watakoma kuringa!
 
Kazi ya makonda ni kueneza sera za chama chake, sasa ni kivipi jamii aikusanye ili kupenyeza jenda zake, ni pamoja na hivi vitu vya kijinga mbele zenu wasomi mnaotaka kila mmoja awe msomi kama nyinyi!

Nyie komaeni na nyenzo zilizochokwa!

Na kwa tarifa yako, Makonda hata afanye vizuri namna gani, kwako ni kama tope, hii ni kulingana ulivyojiweka weka!

Makonda hayupo hapo ili akupendeze wewe!
Bashite is only that...Bashite, I mean jitu flan lijinga, liuaji
 
Huyu ni the comedy wa CCM, kwanza anafuja pesa za umma - katibu mwenezi wa chama cha siasa kuwa na msafara wa magari zaidi ya 60 ni matumizi mabaya ya raslimali za nchi.

Watu wapo hoi bin taabani kimaisha afu wewe unakwenda na V8 zaidi ya 40 ili IWEJE ?
 
Nakuunga mkono. Siasa ndiyo inavyotakiwa. Kwa sasa anaongelewa yeye pekee. Hata wapinanzani wamesahaulika.
Na huku kwenye Bara letu inaaminika kwamba siasa ni uongo uongo unaofanana na ukweli ! 😅🙏
 
Huyu jamaa juzi kapita hapa hometown kwangu, BRD.

Ana bahati nilikuwa nimeenda shambani mida aliyoingia na punda wake la sivyo ningemfurusha.



Pulling up in donkey drawn carriages, dump trucks, bodabodas, and whatnots, is not work. It’s perfomative.

CCM is tired and out of ideas and that’s why they’ve resorted to stunts.

And who better to do that than the stuntman himself?

For no self-respecting sane person would do what this Bashite dude is doing.

Going around everywhere and making fake calls to officials doesn’t equal to getting things done.

Those are just publicity stunts aimed at fooling the foolish among us!

Nazidi kuidharau CCM.

Wana bahati sana wanaongoza umma ulio na wapumbavu wengi.

Drama anazofanya Makonda zimegawanyika kwenye makundi mawili ya uelewa wa watu kwenye nchi hii

Kundi la kwanza ni wale watu wenye uelewa na weledi wa mambo (Wasomi) hawa wapo ndani ya CCM na nje ya chama hicho wanaona ni usani mtupu anaofanya Makonda na kwamba anazidi kukichafua na kukivuruga chama

Kundi la pili ni wananchi wa kawaida hasa wale wenye elimu duni na dhoofu khari kimaisha wakiwamo bodaboda, wamachinga na wakulima hawa wanamuona Makonda kama mkombozi wao mpya aliyerejea toka jalalani na kuja kuwaonyesha njia ya kwenda Kanani nchi ya ahadi ya asali na maziwa

Na watu hawa kwenye nchi yetu ndio wako wengi kwa hiyo hapo CCM ni faida kwao ujio wa Makonda
 
Back
Top Bottom