Makonda kawashitua viongozi Wanafiki, walidhani atakuja na vibwagizo vyao vya kitapeli eti,"Mama anaupiga mwingi" na "nani kama Mama'.Mnyonge mnyongeni, haki yake Mpeni! Kiukweli Konda Boy anapiga kazi! Ni mtu wa kaz kaz, kitu muhimu ni asizidishe mbwembwe na kuvuka mipaka!, Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!
P
Kazi ya makonda ni Porojo tu hawezi hata kujenga kisima cha majiHuyu jamaa juzi kapita hapa hometown kwangu, BRD.
Ana bahati nilikuwa nimeenda shambani mida aliyoingia na punda wake la sivyo ningemfurusha.
Pulling up in donkey drawn carriages, dump trucks, bodabodas, and whatnots, is not work. It’s perfomative.
CCM is tired and out of ideas and that’s why they’ve resorted to stunts.
And who better to do that than the stuntman himself?
For no self-respecting sane person would do what this Bashite dude is doing.
Going around everywhere and making fake calls to officials doesn’t equal to getting things done.
Those are just publicity stunts aimed at fooling the foolish among us!
Nazidi kuidharau CCM.
Wana bahati sana wanaongoza umma ulio na wapumbavu wengi.
Mpaka sasa makonda amefanya kitu gani tangibleMakonda kawashitua viongozi Wanafiki, walidhani atakuja na vibwagizo vyao vya kitapeli eti,"Mama anaupiga mwingi" na "nani kama Mama'.
Kumbe kwa Ground mambo ni upigaji tu!
Wanalengwa wapiga kura,ambao stunts za helkopta,magwanda na kupanda punda zinawakonga nyoyoAnapiga kazi doing publicity stunts.
I’ll give him that.
Mwenezi wa CCM kazi yake si kujenga visima vya majiKazi ya makonda ni Porojo tu hawezi hata kujenga kisima cha maji
Nazidi kuidharau CCM.
Wana bahati sana wanaongoza umma ulio na wapumbavu wengi.
Na anavyopiga piga simu hovyo bila break??Mwenezi wa CCM kazi yake si kujenga visima vya maji
Simu yake,vocha yake,domo lakeNa anavyopiga piga simu hovyo bila break??
HahahahaaSimu yake,vocha yake,domo lake
Nitashangaa sana mtu kama Mzee Kinana akibaki katika uongozi wa CCM kwa miezi 3 ijayo!Kwa wale CCM wachache wenye akili waliobaki, this has got to be so embarrassing.
hao madingii wamemstukiaHuyu jamaa juzi kapita hapa hometown kwangu, BRD.
Ana bahati nilikuwa nimeenda shambani mida aliyoingia na punda wake la sivyo ningemfurusha.
Pulling up in donkey drawn carriages, dump trucks, bodabodas, and whatnots, is not work. It’s perfomative.
CCM is tired and out of ideas and that’s why they’ve resorted to stunts.
And who better to do that than the stuntman himself?
For no self-respecting sane person would do what this Bashite dude is doing.
Going around everywhere and making fake calls to officials doesn’t equal to getting things done.
Those are just publicity stunts aimed at fooling the foolish among us!
Nazidi kuidharau CCM.
Wana bahati sana wanaongoza umma ulio na wapumbavu wengi.
Sukari imepanda ,Bado kipanda uso ,Makonda anawavurugaHuyu jamaa juzi kapita hapa hometown kwangu, BRD.
Ana bahati nilikuwa nimeenda shambani mida aliyoingia na punda wake la sivyo ningemfurusha.
Pulling up in donkey drawn carriages, dump trucks, bodabodas, and whatnots, is not work. It’s perfomative.
CCM is tired and out of ideas and that’s why they’ve resorted to stunts.
And who better to do that than the stuntman himself?
For no self-respecting sane person would do what this Bashite dude is doing.
Going around everywhere and making fake calls to officials doesn’t equal to getting things done.
Those are just publicity stunts aimed at fooling the foolish among us!
Nazidi kuidharau CCM.
Wana bahati sana wanaongoza umma ulio na wapumbavu wengi.
Lissu aangalie asijeakaangukiamoKati ya mpiga kazi na mbabaishaji utawaona kupitia hapa.
View attachment 2813345View attachment 2813346
Na wewe pia kutuambia ungekuwepo ungemfurusha Makonda ni usanii kama wa Makonda mwenyewe.Ana bahati nilikuwa nimeenda shambani mida aliyoingia na punda wake la sivyo ningemfurusha.
AaaahaaaaUzuri wanaoumia ni Machadema 😂😂
Bashite is only that...Bashite, I mean jitu flan lijinga, liuajiKazi ya makonda ni kueneza sera za chama chake, sasa ni kivipi jamii aikusanye ili kupenyeza jenda zake, ni pamoja na hivi vitu vya kijinga mbele zenu wasomi mnaotaka kila mmoja awe msomi kama nyinyi!
Nyie komaeni na nyenzo zilizochokwa!
Na kwa tarifa yako, Makonda hata afanye vizuri namna gani, kwako ni kama tope, hii ni kulingana ulivyojiweka weka!
Makonda hayupo hapo ili akupendeze wewe!
Na huku kwenye Bara letu inaaminika kwamba siasa ni uongo uongo unaofanana na ukweli ! 😅🙏Nakuunga mkono. Siasa ndiyo inavyotakiwa. Kwa sasa anaongelewa yeye pekee. Hata wapinanzani wamesahaulika.
Drama anazofanya Makonda zimegawanyika kwenye makundi mawili ya uelewa wa watu kwenye nchi hiiHuyu jamaa juzi kapita hapa hometown kwangu, BRD.
Ana bahati nilikuwa nimeenda shambani mida aliyoingia na punda wake la sivyo ningemfurusha.
Pulling up in donkey drawn carriages, dump trucks, bodabodas, and whatnots, is not work. It’s perfomative.
CCM is tired and out of ideas and that’s why they’ve resorted to stunts.
And who better to do that than the stuntman himself?
For no self-respecting sane person would do what this Bashite dude is doing.
Going around everywhere and making fake calls to officials doesn’t equal to getting things done.
Those are just publicity stunts aimed at fooling the foolish among us!
Nazidi kuidharau CCM.
Wana bahati sana wanaongoza umma ulio na wapumbavu wengi.