Paul Makonda - hisia zetu ni kutaka sasa urithi mikoba ya Ndungulile (Ubunge)

Paul Makonda - hisia zetu ni kutaka sasa urithi mikoba ya Ndungulile (Ubunge)

  • Sisi tunakuombea
  • Tutakusapoti
  • Tutakulinda
Makonda alikuwa vizuri kwenye Uenezi na ndipo panapomfaa !
Maana alikuwa akiwakoromea wabadhirifu na wengine huko Serikalini na ndicho kitu walichokuwa wakitaka kukisikia Wananchi !

Sasa akienda kuwa Mbunge atafanya nini zaidi ya kugonga Meza kupitisha muswada na kuiunga mkono Serikali. ??!
Unadhani anaweza akawa kama Mpina ???!
Sidhani !
 
Makonda alikuwa vizuri kwenye Uenezi na ndipo panapomfaa !
Maana alikuwa akiwakoromea wabadhirifu na wengine huko Serikalini na ndicho kitu walichokuwa wakitaka kukisikia Wananchi !

Sasa akienda kuwa Mbunge atafanya nini zaidi ya kugonga Meza kupitisha muswada na kuiunga mkono Serikali. ??!
Unadhani anaweza akawa kama Mpina ???!
Sidhani !
Atakuwa moto mkali - hiyo ni asili yake Mkuu. Na 2025 ataongezewa nguvu toka majimboni
 
Mbona jimbo la Tulia haliko wazi pamoja na kuchaguliwa kua Rais wa Mabunge yote Duniani!!? Kwa nini iwe kwa Dr Ndugulile!?
Kwa title ile ni lazima awe speaker wa bunge na kwa yeye ni speaker wa bunge na ni mbunge, ukitofautisha na ya Ndugu Faustine ambayo haina uhusiano na ubunge,so hapa hauna hoja madhubuti!
 
Kwa Sasa hakuna uchaguzi maana mwaka mmoja wa bunge kuvunjwa umetimia.
 
Kwa title ile ni lazima awe speaker wa bunge na kwa yeye ni speaker wa bunge na ni mbunge, ukitofautisha na ya Ndugu Faustine ambayo haina uhusiano na ubunge,so hapa hauna hoja madhubuti!
Kwani Mbunge hawezi kua na kazi nyingine zaidi ya kazi za Ubunge!!??
 
Bashite alipowachachafya watoto wa mjini wakamlia timing akajaa akaliwa kichwa! Alidanganywa kuwa mzee baba anamtaka agombee kigamboni ili awe mbunge wa jimbo apate sifa ya kuwa PM lakini iwe siri yake, akatoa 600m ili kuweka mambo sawa baadae akatoa 400m akakosa kura mbele ya Ndugulile ndipo mzee baba nae akashangaa mteule wake RC kugombea ubunge bila yeye kujua akampiga chini tena alitamka neno "tamaa". Vijana wa mjini wakagonga cheers wakidai mchunga ng'ombe kupatikana.

Haina tofauti na huyo huyo Bashite alipomdanganya GSM kuwa mzee baba wa ikulu anataka ajengewe nyumba ili awekewe WiFi ya kupiga maokoto GSM faster akanunua nyumba akaipiga chini akapandisha ghorofa na lilipokamilika akamtafuta Magu ili kumkabidhi kwa heshima ndipo akajibiwa kuwa hajawahi agiza hicho kitu, GSM akamyuti sasa mzee baba kafariki bashite akajik niabidhi jengo sasa mwenye jengo anaenda mjengoni anamkuta bashite tena mkali akatoa bastola mwenye nyumba akatoa AK47 ndipo bashite akakubali yaishie ndugu zangu hapa hongo ukizubaa umeachwa feli sasa bashite ajichanganye aliwe kichwa.
 
Makonda alikuwa vizuri kwenye Uenezi na ndipo panapomfaa !
Maana alikuwa akiwakoromea wabadhirifu na wengine huko Serikalini na ndicho kitu walichokuwa wakitaka kukisikia Wananchi !

Sasa akienda kuwa Mbunge atafanya nini zaidi ya kugonga Meza kupitisha muswada na kuiunga mkono Serikali. ??!
Unadhani anaweza akawa kama Mpina ???!
Sidhani !
Urgument nzuri sana, unaweza tu kukemea uhozo ukiwa nje ya mfumo mkubwa, ni ngumu kukemea mfumo ukiwa ndani ya systmenya mfumo ambayo hata ukiona uhozo hutakiwi kukemea kwani wee ni mmoja ya watu wa mfumo huo. Otherwise utakuwa umetangaza vita na mfumo , na kwa sababu ni mfumo itabidi uhondolewe kwenye mfumo, kwani wewe si utakuwa si chochote kwenye mfumo.
 
Back
Top Bottom