Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?

Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?

Mimi ni Mwashambwa Lucas mzalendo wa kweli wa Taifa langu.
Hizo ni njaa zako sio uzalendo. Ungekuwa umeshiba kama watoto wa kina Kikwete usingeshinda mtandaoni kusifia watu ambao hata hata ukipata tatizo hawawezi kuacha kufanya mambo yao wakupe pole au wakusaidie. Inaonekana umekata tamaa na kufanikiwa kwa njia halali unadhani kusofia sifia kutakufanya wakuone.

Mtoto wa kiume unasifia sifia wazazi wa watu utadhani huna hauna wako. Hivi uliona watoto wa marais wakishinda mitandaoni kusifia wazazi wao kama sio kihere here chako tu. Mtoto wa kiume unatakiwa ufocus na mambo yako sio kuabudu binadamu wenzako kwa sababu ya umaskini wako.

Wewe kama ni mkulima kweli kwanini usiwe unazungumzia kilimo kwa sababu ndio kazi inayokupa riziki na uweze kubadilishana uzoefu na fursa na wengine. Acha upumbavu wewe.
 
Hizo ni njaa zako sio uzalendo. Ungekuwa umeshiba kama watoto wa kina Kikwete usingeshinda mtandaoni kusifia watu ambao hata hata ukipata tatizo hawawezi kuacha kufanya mambo yao wakupe pole au wakusaidie. Inaonekana umekata tamaa na kufanikiwa kwa njia halali unadhani kusofia sifia kutakufanya wakuone.

Mtoto wa kiume unasifia sifia wazazi wa watu utadhani huna hauna wako. Hivi uliona watoto wa marais wakishinda mitandaoni kusifia wazazi wao kama sio kihere here chako tu. Mtoto wa kiume unatakiwa ufocus na mambo yako sio kuabudu binadamu wenzako kwa sababu ya umaskini wako.

Wewe kama ni mkulima kweli kwanini usiwe unazungumzia kilimo kwa sababu ndio kazi inayokupa riziki na uweze kubadilishana uzoefu na fursa na wengine. Acha upumbavu wewe.
Unaumia ukiwa wapi huko? Kwani hili ni jukwaa la kilimo hadi niwe nazungumzia kilimo hapa muda wote? Jukwaa hili wamesema wanataka semina ya kilimo?
 
Nafasi hiyo haiathiri kwa namna yoyote ile kazi za ubunge wa Ndungulile. Hivi kumbe Lucas Mwashambwa na wewe ni mweupe kichwani kiasi hiki??

Mbona Tulia kachaguliwa kuwa bosi wa mabunge yote duniani lkn bado ni spika wa bunge la Tanzania??
 
Nafasi hiyo haiathiri kwa namna yoyote ile kazi za ubunge wa Ndungulile. Hivi kumbe Lucas Mwashambwa na wewe ni mweupe kichwani kiasi hiki??

Mbona Tulia kachaguliwa kuwa bosi wa mabunge yote Afrika lkn bado ni spika wa bunge la Tanzania??
Wewe ndio zero kabisa kichwani. Hivi hufahamu kuwa ukipoteza ubunge unakuwa umepoteza na Urais wa IPU? Hivi hufahamu kuwa moja ya vigezo vya kugombea na kuchaguliwa Urais wa IPU ni lazima uwe mbunge katika kipindi chote cha Urais wako?

Sasa huoni Kuwa hapo kuna utofauti mkubwa sana na suala hilo la Mheshimiwa dkt Ndugulile?

Ndio maana huwa nasema wewe akili yako ni ndogo sana na una uelewa mdogo sana kichwani mwako.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni swali tu nauliza kuwa baada ya Mheshimiwa Faustine Ndugulile kuchaguliwa kuwa mkurungenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika,naamini kuwa itambidi Mheshimiwa mbunge atumie busara ya kuachia nafasi ya Ubunge ili atimize vyema majukumu yake ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika .

kusudi kutoa utumishi uliotukuka na kukidhi matarajio ya wapiga kura wote waliomuamini pamoja na kulinda heshima ya Tanzania kimataifa kiutumishi. Maana naona itakuwa ngumu sana kutumikia nafasi mbili ya ubunge na ukurugenzi wa WHO kwa wakati mmoja..

Sasa ndio nauliza je akijiuzulu ubunge wa kigamboni ,Kuna uwezekano wa Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara na kipenzi cha wana Dar es salaam kwenda kuchukua nafasi hiyo ya kuwatumikia wana kigamboni?

Hamuoni kuwa tunakila Sababu ya kumshawishi Mwamba huyu na jabali la siasa na mtu ambaye amekuwa msikivu kwa watu kwenda kugombea katika jimbo hili? Hamuoni kuwa ni wakati wa Mwamba kuingia Bungeni na kama ikimpendeza Mheshimiwa Rais amteue Uwaziri?

Mnafikiri ni kwa kiasi gani wizara hiyo inaweza kufanya vizuri na kugusa watu mpaka wakabubujikwa na machozi ya furaha endapo Mwamba atakuwa waziri wa wizara yoyote ile? Kwanini tusimuunge mkono Mwamba huyu asiye na makuu ili aingie Bungeni wakati huu ambao tunahitaji miamba aina ya Mheshimiwa Makonda kutua kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima ndani ya Bunge letu?

Ninyi wenyewe si mnafahamu uchapakazi wa huyu Mwamba? Si mnafahamu alivyo mfuatiliaji wa mambo na Masuala mbalimbali katika maeneo yake ya kikazi? Hamuoni sauti hii ya Simba na mamlaka ni wakati sahihi wa kuunguruma na kusikika Bungeni? Si mnakumbuka namna alivyo tikisa wakati wa bunge la katiba mpaka kutoa utabiri kwa Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan?

Soma Pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
YES, Ushindi wa Faustine Ndugulilekama Director wa WHO - Africa Division, analazimika kuachia ngazi nafasi ya Ubunge wa Kigamboni.
Kulingana na kanuni na polcies za UN na mashirika yake yote bna hata zikiwemo taasisi nyingine za Kimataifa kama vile World Bank IMF etc Unapochaguliwa au kuteliuwa inabidi ujiuzulu kwenye taasisi zote za kisiasa (any political affiliations) nchi ulikotoko kwa ajili kuzuia migongano ya kimaslahi.

Hivyo kwa kifupi iko hivi- jimbo ya Kigamboni kwa sasa liko wazi.
 
niko kigamboni kimbiji nasikia kelele za honi za bodaboda, na kuna genge linaimba makondamakonda, kaazi kwelikweli
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni swali tu nauliza kuwa baada ya Mheshimiwa Faustine Ndugulile kuchaguliwa kuwa mkurungenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika,naamini kuwa itambidi Mheshimiwa mbunge atumie busara ya kuachia nafasi ya Ubunge ili atimize vyema majukumu yake ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika .

kusudi kutoa utumishi uliotukuka na kukidhi matarajio ya wapiga kura wote waliomuamini pamoja na kulinda heshima ya Tanzania kimataifa kiutumishi. Maana naona itakuwa ngumu sana kutumikia nafasi mbili ya ubunge na ukurugenzi wa WHO kwa wakati mmoja..

Sasa ndio nauliza je akijiuzulu ubunge wa kigamboni ,Kuna uwezekano wa Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara na kipenzi cha wana Dar es salaam kwenda kuchukua nafasi hiyo ya kuwatumikia wana kigamboni?

Hamuoni kuwa tunakila Sababu ya kumshawishi Mwamba huyu na jabali la siasa na mtu ambaye amekuwa msikivu kwa watu kwenda kugombea katika jimbo hili? Hamuoni kuwa ni wakati wa Mwamba kuingia Bungeni na kama ikimpendeza Mheshimiwa Rais amteue Uwaziri?

Mnafikiri ni kwa kiasi gani wizara hiyo inaweza kufanya vizuri na kugusa watu mpaka wakabubujikwa na machozi ya furaha endapo Mwamba atakuwa waziri wa wizara yoyote ile? Kwanini tusimuunge mkono Mwamba huyu asiye na makuu ili aingie Bungeni wakati huu ambao tunahitaji miamba aina ya Mheshimiwa Makonda kutua kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima ndani ya Bunge letu?

Ninyi wenyewe si mnafahamu uchapakazi wa huyu Mwamba? Si mnafahamu alivyo mfuatiliaji wa mambo na Masuala mbalimbali katika maeneo yake ya kikazi? Hamuoni sauti hii ya Simba na mamlaka ni wakati sahihi wa kuunguruma na kusikika Bungeni? Si mnakumbuka namna alivyo tikisa wakati wa bunge la katiba mpaka kutoa utabiri kwa Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan?

Soma Pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Shida ya makond hana elimu. Kinachomeaidi ni mabavu tu
 
Shida ya makond hana elimu. Kinachomeaidi ni mabavu tu
Naona umelewa wewe. Elimu ipi unayoizungumzia wewe? Hata hivyo unafahamu sifa za kuwa mbunge? Unafahamu Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda ameiwahi kiwa kiongozi hata akiwa ngazi ya chuo? Unafahamu ya kuwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda alikuwepo Bunge la katiba?
 
Naona umelewa wewe. Elimu ipi unayoizungumzia wewe? Hata hivyo unafahamu sifa za kuwa mbunge? Unafahamu Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda ameiwahi kiwa kiongozi hata akiwa ngazi ya chuo? Unafahamu ya kuwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda alikuwepo Bunge la katiba?
Aliiba cheti cha form four. Jina lake halisi ni Daudi Bashite
 
Wewe ni kulamba kalio la yule unahamia kwa huyo ilimradi tu mkono uende kinywani.
 
Back
Top Bottom