Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Unajitahid sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni njaa zako sio uzalendo. Ungekuwa umeshiba kama watoto wa kina Kikwete usingeshinda mtandaoni kusifia watu ambao hata hata ukipata tatizo hawawezi kuacha kufanya mambo yao wakupe pole au wakusaidie. Inaonekana umekata tamaa na kufanikiwa kwa njia halali unadhani kusofia sifia kutakufanya wakuone.Mimi ni Mwashambwa Lucas mzalendo wa kweli wa Taifa langu.
Labda wewe ndio umechafuka na ujinga wako.Mwamba Makonda ndio chaguo la wana kigamboni.Watu mlio karibu na Paul Makonda, mwambieni kwamba anapaswa ajiweke mbali Sana na masuala haya ya Siasa ili kusafisha Jina lake ambalo limechafuka sana
Unaumia ukiwa wapi huko? Kwani hili ni jukwaa la kilimo hadi niwe nazungumzia kilimo hapa muda wote? Jukwaa hili wamesema wanataka semina ya kilimo?Hizo ni njaa zako sio uzalendo. Ungekuwa umeshiba kama watoto wa kina Kikwete usingeshinda mtandaoni kusifia watu ambao hata hata ukipata tatizo hawawezi kuacha kufanya mambo yao wakupe pole au wakusaidie. Inaonekana umekata tamaa na kufanikiwa kwa njia halali unadhani kusofia sifia kutakufanya wakuone.
Mtoto wa kiume unasifia sifia wazazi wa watu utadhani huna hauna wako. Hivi uliona watoto wa marais wakishinda mitandaoni kusifia wazazi wao kama sio kihere here chako tu. Mtoto wa kiume unatakiwa ufocus na mambo yako sio kuabudu binadamu wenzako kwa sababu ya umaskini wako.
Wewe kama ni mkulima kweli kwanini usiwe unazungumzia kilimo kwa sababu ndio kazi inayokupa riziki na uweze kubadilishana uzoefu na fursa na wengine. Acha upumbavu wewe.
Ukipiga machapisho 10 una kitu cha laki?10K kila chapisho Mkuu zungumza na Bwana Lucas
Wewe ndio zero kabisa kichwani. Hivi hufahamu kuwa ukipoteza ubunge unakuwa umepoteza na Urais wa IPU? Hivi hufahamu kuwa moja ya vigezo vya kugombea na kuchaguliwa Urais wa IPU ni lazima uwe mbunge katika kipindi chote cha Urais wako?Nafasi hiyo haiathiri kwa namna yoyote ile kazi za ubunge wa Ndungulile. Hivi kumbe Lucas Mwashambwa na wewe ni mweupe kichwani kiasi hiki??
Mbona Tulia kachaguliwa kuwa bosi wa mabunge yote Afrika lkn bado ni spika wa bunge la Tanzania??
YES, Ushindi wa Faustine Ndugulilekama Director wa WHO - Africa Division, analazimika kuachia ngazi nafasi ya Ubunge wa Kigamboni.Ndugu zangu Watanzania,
Ni swali tu nauliza kuwa baada ya Mheshimiwa Faustine Ndugulile kuchaguliwa kuwa mkurungenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika,naamini kuwa itambidi Mheshimiwa mbunge atumie busara ya kuachia nafasi ya Ubunge ili atimize vyema majukumu yake ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika .
kusudi kutoa utumishi uliotukuka na kukidhi matarajio ya wapiga kura wote waliomuamini pamoja na kulinda heshima ya Tanzania kimataifa kiutumishi. Maana naona itakuwa ngumu sana kutumikia nafasi mbili ya ubunge na ukurugenzi wa WHO kwa wakati mmoja..
Sasa ndio nauliza je akijiuzulu ubunge wa kigamboni ,Kuna uwezekano wa Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara na kipenzi cha wana Dar es salaam kwenda kuchukua nafasi hiyo ya kuwatumikia wana kigamboni?
Hamuoni kuwa tunakila Sababu ya kumshawishi Mwamba huyu na jabali la siasa na mtu ambaye amekuwa msikivu kwa watu kwenda kugombea katika jimbo hili? Hamuoni kuwa ni wakati wa Mwamba kuingia Bungeni na kama ikimpendeza Mheshimiwa Rais amteue Uwaziri?
Mnafikiri ni kwa kiasi gani wizara hiyo inaweza kufanya vizuri na kugusa watu mpaka wakabubujikwa na machozi ya furaha endapo Mwamba atakuwa waziri wa wizara yoyote ile? Kwanini tusimuunge mkono Mwamba huyu asiye na makuu ili aingie Bungeni wakati huu ambao tunahitaji miamba aina ya Mheshimiwa Makonda kutua kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima ndani ya Bunge letu?
Ninyi wenyewe si mnafahamu uchapakazi wa huyu Mwamba? Si mnafahamu alivyo mfuatiliaji wa mambo na Masuala mbalimbali katika maeneo yake ya kikazi? Hamuoni sauti hii ya Simba na mamlaka ni wakati sahihi wa kuunguruma na kusikika Bungeni? Si mnakumbuka namna alivyo tikisa wakati wa bunge la katiba mpaka kutoa utabiri kwa Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan?
Soma Pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
basi wewe ni mpenzi munguMimi ni msema kweli na siyo chawa.
Shida ya makond hana elimu. Kinachomeaidi ni mabavu tuNdugu zangu Watanzania,
Ni swali tu nauliza kuwa baada ya Mheshimiwa Faustine Ndugulile kuchaguliwa kuwa mkurungenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika,naamini kuwa itambidi Mheshimiwa mbunge atumie busara ya kuachia nafasi ya Ubunge ili atimize vyema majukumu yake ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika .
kusudi kutoa utumishi uliotukuka na kukidhi matarajio ya wapiga kura wote waliomuamini pamoja na kulinda heshima ya Tanzania kimataifa kiutumishi. Maana naona itakuwa ngumu sana kutumikia nafasi mbili ya ubunge na ukurugenzi wa WHO kwa wakati mmoja..
Sasa ndio nauliza je akijiuzulu ubunge wa kigamboni ,Kuna uwezekano wa Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara na kipenzi cha wana Dar es salaam kwenda kuchukua nafasi hiyo ya kuwatumikia wana kigamboni?
Hamuoni kuwa tunakila Sababu ya kumshawishi Mwamba huyu na jabali la siasa na mtu ambaye amekuwa msikivu kwa watu kwenda kugombea katika jimbo hili? Hamuoni kuwa ni wakati wa Mwamba kuingia Bungeni na kama ikimpendeza Mheshimiwa Rais amteue Uwaziri?
Mnafikiri ni kwa kiasi gani wizara hiyo inaweza kufanya vizuri na kugusa watu mpaka wakabubujikwa na machozi ya furaha endapo Mwamba atakuwa waziri wa wizara yoyote ile? Kwanini tusimuunge mkono Mwamba huyu asiye na makuu ili aingie Bungeni wakati huu ambao tunahitaji miamba aina ya Mheshimiwa Makonda kutua kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima ndani ya Bunge letu?
Ninyi wenyewe si mnafahamu uchapakazi wa huyu Mwamba? Si mnafahamu alivyo mfuatiliaji wa mambo na Masuala mbalimbali katika maeneo yake ya kikazi? Hamuoni sauti hii ya Simba na mamlaka ni wakati sahihi wa kuunguruma na kusikika Bungeni? Si mnakumbuka namna alivyo tikisa wakati wa bunge la katiba mpaka kutoa utabiri kwa Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan?
Soma Pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naona umelewa wewe. Elimu ipi unayoizungumzia wewe? Hata hivyo unafahamu sifa za kuwa mbunge? Unafahamu Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda ameiwahi kiwa kiongozi hata akiwa ngazi ya chuo? Unafahamu ya kuwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda alikuwepo Bunge la katiba?Shida ya makond hana elimu. Kinachomeaidi ni mabavu tu
Aliiba cheti cha form four. Jina lake halisi ni Daudi BashiteNaona umelewa wewe. Elimu ipi unayoizungumzia wewe? Hata hivyo unafahamu sifa za kuwa mbunge? Unafahamu Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda ameiwahi kiwa kiongozi hata akiwa ngazi ya chuo? Unafahamu ya kuwa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda alikuwepo Bunge la katiba?
Hawezi kufanya kosa alilofanya la kutoka kwenye ukuu wa Mkoa tenaUpinzani hawawezi kuchukua jimbo mbele ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara
Hizo ni porojo tu.Aliiba cheti cha form four. Jina lake halisi ni Daudi Bashite
Kigamboni inamhitaji Mwamba Makonda kuliko Mwamba anavyoihitaji kigamboni.Hawezi kufanya kosa alilofanya la kutoka kwenye ukuu wa Mkoa tena
Wewe hata kulima hujui.Unaumia ukiwa wapi huko? Kwani hili ni jukwaa la kilimo hadi niwe nazungumzia kilimo hapa muda wote? Jukwaa hili wamesema wanataka semina ya kilimo?
safari hii tunampeleka bungeni by two tenHawezi kufanya kosa alilofanya la kutoka kwenye ukuu wa Mkoa tena