Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?

Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?

Mmh jamaa anashangaza kweli, si kwa kumsifia mtu namna ile kama yeye ndiye Mungu wake.
Hahahahaha...ujue hizo huwa ni id za mkakati , baadae anaicha...km uko humu toka zamani, kulikua na mtu humu anaitwa @lizabon ,huyu lucas anasubiri
 
Huyo anadhani umaskini wake utaisha kwa kulamba miguu ya watawala. Watoto wa akina Kikwete na watawala wanaoishi kwa kodi za wananchi ndio walitakiwa wawe wasifiaji wakubwa sababu ni wanufaika lakini ni tofauti, hukuti hata kwenye kurasa zao za mitandao wakisifia chama wala serikali. Huyo mshamba njaa inamsumbua na anatafuta kula kwa njia ya mkato.
Hahahahaha, huyo kama hafaidiki na Ccm basi namshauri aachane na kitu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni swali tu nauliza kuwa baada ya Mheshimiwa Faustine Ndugulile kuchaguliwa kuwa mkurungenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika,naamini kuwa itambidi Mheshimiwa mbunge atumie busara ya kuachia nafasi ya Ubunge ili atimize vyema majukumu yake ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika .

kusudi kutoa utumishi uliotukuka na kukidhi matarajio ya wapiga kura wote waliomuamini pamoja na kulinda heshima ya Tanzania kimataifa kiutumishi. Maana naona itakuwa ngumu sana kutumikia nafasi mbili ya ubunge na ukurugenzi wa WHO kwa wakati mmoja..

Sasa ndio nauliza je akijiuzulu ubunge wa kigamboni ,Kuna uwezekano wa Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara na kipenzi cha wana Dar es salaam kwenda kuchukua nafasi hiyo ya kuwatumikia wana kigamboni?

Hamuoni kuwa tunakila Sababu ya kumshawishi Mwamba huyu na jabali la siasa na mtu ambaye amekuwa msikivu kwa watu kwenda kugombea katika jimbo hili? Hamuoni kuwa ni wakati wa Mwamba kuingia Bungeni na kama ikimpendeza Mheshimiwa Rais amteue Uwaziri?

Mnafikiri ni kwa kiasi gani wizara hiyo inaweza kufanya vizuri na kugusa watu mpaka wakabubujikwa na machozi ya furaha endapo Mwamba atakuwa waziri wa wizara yoyote ile? Kwanini tusimuunge mkono Mwamba huyu asiye na makuu ili aingie Bungeni wakati huu ambao tunahitaji miamba aina ya Mheshimiwa Makonda kutua kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima ndani ya Bunge letu?

Ninyi wenyewe si mnafahamu uchapakazi wa huyu Mwamba? Si mnafahamu alivyo mfuatiliaji wa mambo na Masuala mbalimbali katika maeneo yake ya kikazi? Hamuoni sauti hii ya Simba na mamlaka ni wakati sahihi wa kuunguruma na kusikika Bungeni? Si mnakumbuka namna alivyo tikisa wakati wa bunge la katiba mpaka kutoa utabiri kwa Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan?

Soma Pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
kama ni mwanaume agombee jimbo asisubiri kiti maalum kama akina.....
 
Uwe unasoma katiba wewe shetani, kwa muda uliobaki hakuna uchaguzi utafanyika sababu ni mwaka mmoja kabla ya bunge kuvunjwa
 
Kanuni za uchaguzi zinasemaje ? Kwani hawezi kuwa MD huko WHO na pia kuwa mbunge ?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni swali tu nauliza kuwa baada ya Mheshimiwa Faustine Ndugulile kuchaguliwa kuwa mkurungenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika,naamini kuwa itambidi Mheshimiwa mbunge atumie busara ya kuachia nafasi ya Ubunge ili atimize vyema majukumu yake ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika .

kusudi kutoa utumishi uliotukuka na kukidhi matarajio ya wapiga kura wote waliomuamini pamoja na kulinda heshima ya Tanzania kimataifa kiutumishi. Maana naona itakuwa ngumu sana kutumikia nafasi mbili ya ubunge na ukurugenzi wa WHO kwa wakati mmoja..

Sasa ndio nauliza je akijiuzulu ubunge wa kigamboni ,Kuna uwezekano wa Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara na kipenzi cha wana Dar es salaam kwenda kuchukua nafasi hiyo ya kuwatumikia wana kigamboni?

Hamuoni kuwa tunakila Sababu ya kumshawishi Mwamba huyu na jabali la siasa na mtu ambaye amekuwa msikivu kwa watu kwenda kugombea katika jimbo hili? Hamuoni kuwa ni wakati wa Mwamba kuingia Bungeni na kama ikimpendeza Mheshimiwa Rais amteue Uwaziri?

Mnafikiri ni kwa kiasi gani wizara hiyo inaweza kufanya vizuri na kugusa watu mpaka wakabubujikwa na machozi ya furaha endapo Mwamba atakuwa waziri wa wizara yoyote ile? Kwanini tusimuunge mkono Mwamba huyu asiye na makuu ili aingie Bungeni wakati huu ambao tunahitaji miamba aina ya Mheshimiwa Makonda kutua kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima ndani ya Bunge letu?

Ninyi wenyewe si mnafahamu uchapakazi wa huyu Mwamba? Si mnafahamu alivyo mfuatiliaji wa mambo na Masuala mbalimbali katika maeneo yake ya kikazi? Hamuoni sauti hii ya Simba na mamlaka ni wakati sahihi wa kuunguruma na kusikika Bungeni? Si mnakumbuka namna alivyo tikisa wakati wa bunge la katiba mpaka kutoa utabiri kwa Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan?

Soma Pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Yaan watanzania tunabunbujikwa na machozi ya furaha mama anatosha mitano Tena kwa mama
Msalimie nduguyo
Frank hebel mwashambwa
 
Huyo anadhani umaskini wake utaisha kwa kulamba miguu ya watawala. Watoto wa akina Kikwete na watawala wanaoishi kwa kodi za wananchi ndio walitakiwa wawe wasifiaji wakubwa sababu ni wanufaika lakini ni tofauti, hukuti hata kwenye kurasa zao za mitandao wakisifia chama wala serikali. Huyo mshamba njaa inamsumbua na anatafuta kula kwa njia ya mkato.
Mimi sina njaa ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni swali tu nauliza kuwa baada ya Mheshimiwa Faustine Ndugulile kuchaguliwa kuwa mkurungenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika,naamini kuwa itambidi Mheshimiwa mbunge atumie busara ya kuachia nafasi ya Ubunge ili atimize vyema majukumu yake ya ukurugenzi wa WHO kanda ya Afrika .

kusudi kutoa utumishi uliotukuka na kukidhi matarajio ya wapiga kura wote waliomuamini pamoja na kulinda heshima ya Tanzania kimataifa kiutumishi. Maana naona itakuwa ngumu sana kutumikia nafasi mbili ya ubunge na ukurugenzi wa WHO kwa wakati mmoja..

Sasa ndio nauliza je akijiuzulu ubunge wa kigamboni ,Kuna uwezekano wa Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara na kipenzi cha wana Dar es salaam kwenda kuchukua nafasi hiyo ya kuwatumikia wana kigamboni?

Hamuoni kuwa tunakila Sababu ya kumshawishi Mwamba huyu na jabali la siasa na mtu ambaye amekuwa msikivu kwa watu kwenda kugombea katika jimbo hili? Hamuoni kuwa ni wakati wa Mwamba kuingia Bungeni na kama ikimpendeza Mheshimiwa Rais amteue Uwaziri?

Mnafikiri ni kwa kiasi gani wizara hiyo inaweza kufanya vizuri na kugusa watu mpaka wakabubujikwa na machozi ya furaha endapo Mwamba atakuwa waziri wa wizara yoyote ile? Kwanini tusimuunge mkono Mwamba huyu asiye na makuu ili aingie Bungeni wakati huu ambao tunahitaji miamba aina ya Mheshimiwa Makonda kutua kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima ndani ya Bunge letu?

Ninyi wenyewe si mnafahamu uchapakazi wa huyu Mwamba? Si mnafahamu alivyo mfuatiliaji wa mambo na Masuala mbalimbali katika maeneo yake ya kikazi? Hamuoni sauti hii ya Simba na mamlaka ni wakati sahihi wa kuunguruma na kusikika Bungeni? Si mnakumbuka namna alivyo tikisa wakati wa bunge la katiba mpaka kutoa utabiri kwa Mama yetu Mpendwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan?

Soma Pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa kweli na mimi wazo la aina hii limeniijia.Wampatie Wizara ya TAMISEMI au awe Waziri Mkuu kabisa
 
Back
Top Bottom