Paul Makonda kufikishwa Mahakamani Februari 3, 2022 katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka

makonda ulimbujuju,,,
ni sauti ya mlevi mmoja akiwa anakunywa supu ya usipa Matema.
 
Wewe me.nde unashida gani? Hicho kitendo alichokifanya huyo bw.ana wako cha UVAMIZI ni sawa sawa? Acha Mahakama ikaamue, kama hana hatia atarudi tu nyumbani kwenu. Sawa sawa?





Naanza kupata wasiwasi vijana inaonekana mnaaribiwa sana vipira kwa tamaa.

Yaani mtoto wa kiume umekadhania kuongelea mabwana tu. Mungu awanusuru vijana na njaa.

Badala ya kubishana kwa hoja we unawaza kupakatwa tu, jifunze kutafuta hela dogo shauri zako utapelekwa guest na mwanaume wakati nyumbani una mke na watoto.
 
Ingeanza kufutwa ya mbowe.
 
Ahahahahahahahah! Mamaangu hajifichi kama Makonda ambavyo hajifichi. Shika hili, mwambie babaako awe makini maana Makonda ni mtu huru na anaweza kumtembelea mtu yeyote akiwemo mamaako! Ahahahahahahah
Na babaako anatembelewa na nani?
 
We pu.uunga mtu akiua mtoto wako utasubiri hadi serikali ianzishe mashitaka?
 
We pu.uunga mtu akiua mtoto wako utasubiri hadi serikali ianzishe mashitaka?
Nakuweka kwenye ignore list sina muda wa kujibizana na mchezea mpera.

Ila pambana dogo sasa Makonda alimuua mtoto wa Kubenea au hata hujui kesi aliyofungua inahusu.

Kama jinai aishi mbona huyo Kubenea asiende wafungulia case waliomtoboa jicho.

Mjomba kama huna godfather huko CCM usivamie uadui wa watu wanabadalika hao ukigusa maslahi yao kama hawakujui vile.

Umeshupaa na Makonda mwenzako Kubenea analipwa kufanya hiyo kazi. We ukitaka hela utatumika kwenye chumba cha guest.

You’re officially ignored
 
Si wataalam wa mambo wanasema bashite ndo alimpigia pande maza kua ile nafasi 2015. Au ni walugaluga tu ??
 
Ingependekeza kama members wangelijikita kwenye fact (kuibua mazuri na mabaya) ili analysis ianzie hapa JF.
 
Mwanaye na lengai
 

Mahakamani unaitwa unahojiwa chini ya kiapo, ukiidanganya mahakama na ikathibitika umedanganya inakula kwako
 
Unaogopa una mimba yake? Tuache Mahakama ifanye kazi zake we ma.ttako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…