Paul Makonda kufikishwa Mahakamani Februari 3, 2022 katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka

Hamna kitu hapo,Clouds walishakataa wasihusishwe kwenye hiyo kesi.
 
Hivi jinai mshtakiwa anaombwa kufika mahakamani tarehe tajwa au anatakiwa atokee mahabusu ndani ya karandinga? Sijaelewa.
Ndo mana nasema hamna kesi hapo, kesi kama hiyo ingekua na maana kama angeshitakiwa na jamhuri sio mtu binafsi
 
We jamaa una kichwa kizito sana. Ulikua unajua uhusiano wa Makonda na Clouds before hizo Propaganda za uvamiz?Nape kama Waziri ana mamlaka gani ya kuunda tume ya kumchunguza RC?RC anawajibika kwa Rais, Waziri ni mamlaka ya uteuzi ya RC?Usinchukulie makonda kama makonda, mchukulie Makonda kama RC.Waziri hana mamlaka ya kunchunguza RC hili weka KICHWANI.
 
Kwa kushitakiwa na kubenea?

Ingekua jamhuri, hapo mtu unaweza kuwaza!

Vipi clouds wakigoma kutoa ushirikiano! mutawalazimisha?

Maana huo ndio ushahidi pekee kila mjinga anashabikia!

Kuhusu mauaji hata USA wameshindwa kutoa ushahidi!

Clouds hawawezi kukwepa kutoa ushahidi wakihitajika kisheria. Wanapigwa subpoena.

US hawakudaiwa ushahidi. Haikuwa kesi bali uamuzi wao wa kidiplomasia na masuala ya uhamiaji.
 
Wanasheria hebu mtusaidie. Kwa mujibu wa habari hii Makonda amefunguliwa makosa ya jinai.

Swali: Mtu anapokuwa na makosa ya jinai, anaitwa mahakamani kutokea nyumbani kwake bila kwanza jambo hilo kuhusisha vyombo vya dola, kwa maana ya mhusika kukamatwa, kuhojiwa na kisha ndipo anafikishwa mahakamani?
 

Mizani? Inapimaje? Kosa moja la kuua na zuri moja la kulipia mtu operesheni ya moyo yana tofauti au mlingano wa kilo ngapi?
 
Ni aibu kwa taifa,viongozi kwa Mihimili kutokujitegea.na kufuata sheria.hii yote ni katiba kuwapa ma DC na na RC ukuu wa usalama kwenye maeneo yao inawafanya waendeshwe na wanasiasa badala ya sheria.ndio zao la usalama wa ccm,policcm na tayari mahakaccm.tz yaitaji maombi
 
Watanzania wengi tunapotea kwa kukoswa maarifa. Mfano taarifa hii ya telegram ina uwalakini ndani yake na katika comments nilizopitia sijaona aliyetaka uthibitisho na usahihi wa habari hii. Ukisoma shauri lenyewe, kama taarifa ya telegram inavyoonesha, limesajiliwa kama ‘criminal application’ sasa mtu hataki hata kujiuliza kwa nini haijasajiliwa kama ‘criminal case.’

Kumbukeni msemo kuwa ‘wajinga ndiyo waliwao.’
 

Mfungwa sabaya naye si alisema hivyo hivyo kwamba anawajibika kwa mamlaka yake ya uteuzi ila akalamba miaka 30.
Sasa kwa taarifa nape karudishwa wizarani ripoti yake ipo huyo matako makonda ni raia tu.
Mwambia ajiande kwa maisha aliyojiandalia kama ya sabaya
 
Taga linalia Lia ka chizih.
 
Taga linalia Lia ka chizih.


Here are the facts about the universe I am sure you don’t know about.
..................................

Jua kumbe alipo still na lenyewe linazunguka galaxy kwa speed ya kilometre 210 kwa sekunde. Galactic year for the sun ni sawa na miaka 230 ya dunia.

Kwa maana hiyo sasa dunia, sayari zote na kila celestial body ndani ya solar system vinalikimbiza jua kwa speed yake 210km/second.

Hapo hizo celestial bodies linaizunguka jua; dunia kwa mfano inatumia siku 365 na kwenye kufanya ivyo inaenda 67000 miles per hour, hapo hapo tena dunia inazunguka katika mhimili wake 1000m/h (wewe unaishi kwenye surface ya dunia wala uoni kitu).

Halafu kuna masela huko NASA kwa kutumia law of physics and applied mathematics modelling wanatengeneza chombo kinaitwa ‘Parker Solar Probe’ jamaa kwa hesabu zao wanakwambia hiko chombo wakitaka kifike karibu na jua haraka wakipeleke kwanza Jupiter na kutumia magnetic fields zake kitakipeleka mapema zaidi kuliko kwenda moja kwa moja through Venus and all that requires timing,

Kifaa kinaruka kinakwenda mpaka Jupiter na kweli kinapelekwa mpaka wanapotaka siku zile zile zilizopangwa. Kinanasa kwenye gravity ya jua kama walivyopanga, wanakifungua wakati wapo million miles apart, kina record; all that just to learn about the outer core of the sun solar flares (not sure ata unajua impact zake kwa dunia ili wachukue tahadhari).
............. ............

What’s the point of all that, there are so many things to amuse the mind with kuliko uthenge mnaojaza kwenye vichwa vyenu yaani binafsi inanisikitisha how is it possible kuna binadamu wapo so shallow minded.

I don’t understand yaani mtu unapata wapi muda wa kuangaika na binadamu mwingine, seriously. Ama kweli akili ni nywele na kila mtu na zake.
 
Kwa hiyo ukiwa RC kwa tanzania unaweza ukawa unabaka kabisa na kuua alafu hakuna mamlaka inaweza kukufanya kitu???[emoji3][emoji3][emoji3][emoji846]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…