Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hiyo ni Idioms mdogo wangu, kwa waliofoji vyeti hawawezi kuielewa😂Mbwa hajawai kua na siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni Idioms mdogo wangu, kwa waliofoji vyeti hawawezi kuielewa😂Mbwa hajawai kua na siku
Umemsahau Doto na Heri James pia Ali Hapi.Dr. Magufuli
Ndugai
Lukuvi
Polepole
Bashiru
Kalemani
Sabaya
Bashite
Chalamila
Chain ni ndefu ila Mzee amewaaacha pabaya sana vijana wake.
List ni ndefu sanaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Sema ndo hivyo mwamba umedondoka vijana hali mbayaUmemsahau Doto na Heri James pia Ali Hapi.
Katiba Mpya katiba Mpya.Crime does not pay. Wananchi sasa wanahitaji Katiba mpya si kwa sababu itatatua matatizo yote lakini watu wanahitaji uwazi na uwajibikaji ulio na mipaka, worstcase scenario watu wote waliomsaidia kufika alipofika akina Rizione and company ndio wameshika usukani. The guy must be going through halucinations and imagination akiingia Ukonga akamkuta Babu Cho
Na MadeluUmemsahau Doto na Heri James pia Ali Hapi.
Hivi vyo vyote vipo kwa maslahi ya ccm na watawsala tu wala sio kwa taifaWatu wanahitaji uchumi himilivu kwa wote sio wengine wanateuliwa tuu halafu wanaishia kupiga picha kwenye vikao, hakuna sababu ya kuwa na RC, Ded,Dc mkoa mmoja hawa wanamliza pesa tu ambazo zingeelekezwa kulipa madaktari vizuri watoe huduma nzuri kwa wananchi.
ndio mmelijua hilo leo? Kaeni kwa kutuliaMhukumu ni mwenyezi Mungu.
Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.
Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk
Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.
1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.
Mambo mawili najiuliza
1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?
2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?
MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.
Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.
#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”
Nawe tulia, atamalizana na Mungu wake.ndio mmelijua hilo leo? Kaeni kwa kutulia
Keshajitokeza kumbe!!! Maana alikuwa anatafutwa apewe summons ya mahakama. Nadhani kapewa. Chezea serikali wewe!!!!Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.
Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk
Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.
1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.
Mambo mawili najiuliza
1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?
2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?
MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.
Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.
#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”
Unadhani sababu gani ziliwafanya USA wapige ban ya kwenda huko... Kama unasubiri evidence za mahakamani....No evidence about this one
mkuu kwa nini usitafute id nyingine kwa ajili ya kucomment mambo ya siasa..List ni ndefu sanaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Sema ndo hivyo mwamba umedondoka vijana hali mbaya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Inabdi hii ID ibaki na heshima yakee kwa kweli... Nifungue mpyamkuu kwa nini usitafute id nyingine kwa ajili ya kucomment mambo ya siasa..
hiyo ID yako umeshaibrand kule [emoji23][emoji23][emoji23]
yaani kila nikiiona comment yako mahali nacheka sana.
[emoji2][emoji2][emoji2]
Wakikuua nao watauwawa. Hii ni natural justice na wala sio politics!Aliyekuwa RC wa Dar es salaam, Paul Makonda anasema kuna makundi matano yanamuwinda ili kumuua.
Ameandika hayo kupitua ukurasa wake wa Instagram na kusema Makundi hayo ni pamoja na Wauza Madawa ya kulevya, mashoga nk
Ameandika “
Nafahamu kuna mkakati unaoratibiwa na Makundi 5 kuangamiza maisha yangu.
1) WAUZA MADAWA YA KULEVYA
2)WANUFAIKA NA MADAWA YA KULEVYA
3) MASHOGA
4)WANAOKESHA USIKU KUCHA KUTAFUTA KULIPA KISASI KWA WASAIDIZI WA DR MAGUFULI.
5) WALIOWAHI KUWA SEHEMU YA ……. Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida ya familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi.
Mambo mawili najiuliza
1)PAMOJA NA KAZI ZOTE NZURI NILIZOZIFANYA KWA CHAMA CHANGU,SERIKALI YANGU NA WANANCHI WA DAR HAYA NDIYO MALIPO YAKE?
2)Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndiyo malipo yake ?
MTU aliejemga hospital , aliejenga ofc cha CCM, Magari ya police 👮♀️, ofc za Walimu, vituo vya police, shule za secondary mpaka na msingi, kutibu wagonjwa mpaka Meli kuja Tanzania,kuhudumia Makundi mbali mbali mpaka kuiunganisha Serikali na Viongozi wa Dini. leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa.
Pamoja na kwamba lipo kundi kwenye mitandao linalolipwa ili kuwaanda watanzania pale watakapo nikamata ionekane ni sawa. Hakika ipo siku Walemavu, yatima, wajane na waliotamani watoto WAO wasife kwa MADAWA ya KULEVYA SAUTI ZAO ZITASIKIKA.
#Ukiona maji yametulia jua kina nikilefu.”
Wee jamaa rudi kule kwenye uzi wako bana. Daaaa ila we jamaa wewe daa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Inabdi hii ID ibaki na heshima yakee kwa kweli... Nifungue mpya