Tetesi: Paul Makonda kuwa Makamu wa Rais 2020/2025

Tetesi: Paul Makonda kuwa Makamu wa Rais 2020/2025

Status
Not open for further replies.
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa

Mkuu britanicca,

Nikusaidie tu kwamba Mama Samia hawezi kuwa rais wa Zanzibar na hivyo ataendelea kuwa makamu wa Rais kwa mwaka tajwa.

Rais ajae wa Zanzibara ni Dr Hussein Ally Hassan Mwinyi.

Kuhusu Makonda huyu mwaka 2020 anakwenda kugombea ubunge kwao Misungwi na kuja kuteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani iwapo Rais Magufuli atarejea tena Ikulu baada ya uchaguzi ujao.

Inakiri hii comment leo Novemba 2 mwaka 2018 na sitaiedit hadi mwaka 2021.
 
Hivi hujui hata katiba inasemaje kuhusu rais na makamu wake wanatakiwa kutoka wapi ndani ya muungano???
IMG_20181031_013820.jpg
 
Mkuu britanicca,

Nikusaidie tu kwamba Mama Samia hawezi kuwa rais wa Zanzibar na hivyo ataendelea kuwa makamu wa Rais kwa mwaka tajwa.

Rais ajae wa Zanzibara ni Dr Hussein Ally Hassan Mwinyi.

Kuhusu Makonda huyu mwaka 2020 anakwenda kugombea ubunge kwao Misungwi na kuja kuteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani iwapo Rais Magufuli atarejea tena Ikulu baada ya uchaguzi ujao.

Inakiri hii comment leo Novemba 2 mwaka 2018 na sitaiedit hadi mwaka 2021.

Au waziri mkuu, ili atoe maamuzi mengi magumu yanayogusa kona zote za nchi hii.

Pia kuwa mtekelezaji wa papo kwa papo na kuisimamia serikali kwa uzuri kule Bungeni.

Kuna uwezekano ya ndani ya Bunge kutokea mafataki na humo ndani kukachimbika.
 
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,
Acha kuweweseka wewe kilaza hujui katiba.
Rais akitoka bara lazima makamu atoke visiwani hivyo ikiwa kinyume chake
 
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Wewe mtoto una umri gani?
 
Ndugu yangu, mpaka leo hujajiunza kwamba lolote lawezekana Tanzania ?
Leo hii teja la unga linaweza kuwa Askofu Mkuu na bado watu wakaenda ibadani kama kawaida.
Kuna msemo moja wa busara unasema hivi "Never underestimate the power of stupid people in large groups" akimaanisha wajinga wakiamua kufanya kitu kwa pamoja hakuna kinachoweza kuwazuia hata siku moja.
Ahahahahh eti teja la unga kuwa askofu. Ngoja waje utakoma; maana kama umesema ngwasuma vile!
 
Hahahh...kweli tetesi za watesi hizi....hahahah...👺👺vice president 😂😂😂😂😂🙉🙉
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom