My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Magufuli hatashinda urais 2020,narudia tena,Magufuli hatashinda urais 2020.Mkuu britanicca,
Nikusaidie tu kwamba Mama Samia hawezi kuwa rais wa Zanzibar na hivyo ataendelea kuwa makamu wa Rais kwa mwaka tajwa.
Rais ajae wa Zanzibara ni Dr Hussein Ally Hassan Mwinyi.
Kuhusu Makonda huyu mwaka 2020 anakwenda kugombea ubunge kwao Misungwi na kuja kuteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani iwapo Rais Magufuli atarejea tena Ikulu baada ya uchaguzi ujao.
Inakiri hii comment leo Novemba 2 mwaka 2018 na sitaiedit hadi mwaka 2021.
Atatumikia nguvu kubwa kurudi ikulu ikiwemo umwagaji damu,ni mtu mwenye connection na Lucifa ndo maana hana roho ya huruma,ni mtu katili sana,mtu mwenye huruma hawezi kufukuza kazi maelfu ya watu na kisha kuwanyima mafao na wana watoto wanaowategemea,huo ni ukatili wa hali ya juu, yao eti walifoji vyeti,yeye ana usafi gani?
Ameanza mapema kuandaa mazingira ya 2020,kwa kuangamiza wapinzani wake.
Alitaka kumuua Lissu Mungu akamdhalilisha Magufuli,Leo Lissu yu hai.
Ameiba 1.5 Trillion maalumu kuzitumia 2020 kuongeza nguvu ya kushinda,anajua hapendwi kabisa kwa matendo yake.
Taarifa za chini ya kapeti zinadai kuwa Mbowe alipewa sumu ya kumuua na watu wa idara ya usalama wa taifa ili asifike 2020.
Bahati mbaya ile sumu haifanyi kazi kama ilivyokusudiwa,ndo maana mnamwona kila mara anaugua sana.
2020 utakuwa uchaguzi wa kumwaga damu hasa, Lucifa atakuwa akipambana kumrudisha mtu wake aliyemvika joho la chaguo la mungu,mtu ambaye kinywa chake humtaja Mungu wa mbinguni aliye mkuu kuliko vyote huku matendo yake yakiwa ya ki shetani.
1.Yuko wapi Mawazo?
2.yuko wapi Ben Saanane?
3.Yuko wapi Kanguye?
4.Yuko wapi Azori Gwanda?
5.Yuko wapi kijana Eric wa sinza?
Wote hao damu zao zimemwagika kwa sababu ya kumkosoa mtu anayejiita mcha Mungu.
Tutaona hukumu ya Mungu juu yake itakavyokuwa