Tetesi: Paul Makonda kuwa Makamu wa Rais 2020/2025

Tetesi: Paul Makonda kuwa Makamu wa Rais 2020/2025

Status
Not open for further replies.
Kwa desturi ya siasa usistaajabu huyo Makonda anaeitwa kipenzi cha raisi akaja kuwa mpinzani mkubwa wa raisi huyo huyo ikifika hiyo 2020. Kwenye siasa siku moja tu inatosha kufanya mabadiliko yasiyotarajiwa.
 
Hilo litakua janga la kitaifa/kimataifa
 
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Makonda ni Mzanzibari ?
 
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Dunia duara kuna kitu inaitwa upepo ya kesho ni fumbo,
 
Dah ! Mleta mada umeniangusha sana. Yaani hata ABC za katiba ya nchi yako huzijui ? Story za walevi vijiweni hizi
 
Kuna thread nyingine hazina hadhi ya kujadiliwa . Mods fyeeeeekelea mbali
 
Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwenu
Mtu mwerevu akikwambia jambo la kipumbavu na wewe unajua ni jambo la kipuuzi ila bado ukaendelea kuliamini, atakudharau maradufu -JK Nyerere
 
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Yaani rais awe membe alafu makamu makonda? Huwezi kuwa upo serious bro
 
Mkuu britanicca,

Nikusaidie tu kwamba Mama Samia hawezi kuwa rais wa Zanzibar na hivyo ataendelea kuwa makamu wa Rais kwa mwaka tajwa.

Rais ajae wa Zanzibara ni Dr Hussein Ally Hassan Mwinyi.

Kuhusu Makonda huyu mwaka 2020 anakwenda kugombea ubunge kwao Misungwi na kuja kuteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani iwapo Rais Magufuli atarejea tena Ikulu baada ya uchaguzi ujao.

Inakiri hii comment leo Novemba 2 mwaka 2018 na sitaiedit hadi mwaka 2021.
Mawazo yako yamegongana na yangu ili mwaka 2025 makonda anapewa nchi!
 
My first semester in med school, my prof. told me don’t worry son you don’t have to be a doctor to operate on a cadaver.
 
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Hii tetesi lengo lake ni kutuambia kuwa mama Samia ndio atagombea kile Zanzibar
 
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Gemu utakuwa ile ile Rais Dkt JP, Makamu Mama Samia, Mh.Paul ataendelea na Dar es Salaam, pengine atahamia Dodoma au Mwanza endapo Rais atafanya mabadiliko.
 
Kwa samia kuwa mgombea zenji inawezekana ila kwa Makonda umebugi sana,

Yaan hii tetesi hata Magufuli atakuwa anaishangaa maana ataiona hapa JF haha, itamfanya ayaache mafaili yanayomzonga kitandani kwanza aitafakari
hahhahhahhahhahhahhahhah😀😀😀😀 Asemavyo umejua kunichekesha.
 
Daaah kwahiyo watabadilisha katiba kipengele cha umri ?
Halafu unamaanisha Raisi atatoka Zanzibari mwaka 2020 ?
Makamu wa Raisi atakuwa na miaka 38. Sikupingi kabisa, lolote linawezekana Tanzania.
Nimeshangaa kuona mtu ameshindwa kuona hata mambo madogo kama hayo!! Yaani hata vifungu muhimu vya katiba yetu watu ni kama hawavijui!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom