Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naanza kwa kuwambumbusha jinsi Mh. Makonda alivyofanikiwa kuhakikisha Dar ni shwari na Salama.
Mh. Makonda kwa wasiomjua ni memba wa TISS na amefanikiwa kuwa karibu na viongozi waandamizi wa vyombo vya ulizi na usalama kwa miaka hii mitano.
Wote tunajua juhudi zake ndizo zilimpa promotion aliyekuwa RPC wa Dar kipindi hicho Afande Sirro hata kuwa IGP.
Mh. Makonda huyu ndiye aliyeanzisha operation kadhaa ambazo vingozi wengi wakubwa walishindwa kama vile madawa ya kulevya na akawatia mbaroni vigogo hadi leo wanajuta.
Wote tunajua Mh. Makonda akiamua jambo hashindwi na hakuna wa kumzuia, yeye ni one man army.
Ni ukweli kuwa wizara ya mambo ya ndani imechezewa sana kwa awamu karibu tatu sasa za uongozi. Mfano mdogo tu ni awamu hii ya JPM tangu Mwigulu, Kangi na hata Simhachawene hakuna utendahi makini ji brabrabraaa tuu.
Mh. Makonda ameandaliwa kwa ajili ya wizara hii, tujiandae na tumtakie kila la kheri.
Huu sio utabiri ni hakika.
Asanteni
Asubiri viti maalum
Atakuwa Mkuu wa mkoa wa Tabora baada ya uchaguzi
Mkuu, acha kuihusisha sigara kubwa na vitu vya kijinga!hizo sigara kubwa mnazovutia makaburini mnakuja jukwaani kutupulizia moshi wake! Bashite ni ngoma iliyovuma sana na tayari imepasuka!!
Amekosa kura za kuchaguliwa. Hilo halina ubishi. Haya mengine ni mambo ya hapa na pale tu.Naanza kwa kuwambumbusha jinsi Mh. Makonda alivyofanikiwa kuhakikisha Dar ni shwari na Salama.
Mh. Makonda kwa wasiomjua ni memba wa TISS na amefanikiwa kuwa karibu na viongozi waandamizi wa vyombo vya ulizi na usalama kwa miaka hii mitano.
Wote tunajua juhudi zake ndizo zilimpa promotion aliyekuwa RPC wa Dar kipindi hicho Afande Sirro hata kuwa IGP.
Mh. Makonda huyu ndiye aliyeanzisha operation kadhaa ambazo vingozi wengi wakubwa walishindwa kama vile madawa ya kulevya na akawatia mbaroni vigogo hadi leo wanajuta.
Wote tunajua Mh. Makonda akiamua jambo hashindwi na hakuna wa kumzuia, yeye ni one man army.
Ni ukweli kuwa wizara ya mambo ya ndani imechezewa sana kwa awamu karibu tatu sasa za uongozi. Mfano mdogo tu ni awamu hii ya JPM tangu Mwigulu, Kangi na hata Simhachawene hakuna utendahi makini ji brabrabraaa tuu.
Mh. Makonda ameandaliwa kwa ajili ya wizara hii, tujiandae na tumtakie kila la kheri.
Huu sio utabiri ni hakika.
Asanteni
daaah kwa hyo hapakuwa na police wa kumsindikiza kwa ving'orasawa Bashite tumekusikia.
leo asubuhi nimekuchomekea pale karibu na mataa ya Stanbic... uliniona lakini? nilikuwa nakukaribisha tu huku mtaani!
Ugomvi huu😅😅ndio lazma awe😁😁😁
Ugomvi huu😅😅
Masisiemu Sasa ndio yamejua kiasi ambacho magufuli hawaamini.daaah kwa hyo hapakuwa na police wa kumsindikiza kwa ving'ora
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app