Paul Makonda kuwa Waziri wa Mambo ya ndani mwaka 2020 - 2025?

Unaota mchana kweupe kisa mvua inanyesha
 
hizo sigara kubwa mnazovutia makaburini mnakuja jukwaani kutupulizia moshi wake! Bashite ni ngoma iliyovuma sana na tayari imepasuka!!
Mkuu, acha kuihusisha sigara kubwa na vitu vya kijinga!
 
Amekosa kura za kuchaguliwa. Hilo halina ubishi. Haya mengine ni mambo ya hapa na pale tu.
 
daaah kwa hyo hapakuwa na police wa kumsindikiza kwa ving'ora

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Masisiemu Sasa ndio yamejua kiasi ambacho magufuli hawaamini.

Yaani kawapa Watoto wake, Na mbuzi za chadema alizonunua mnadani na zile ng'ombe za jalalani udsm pale bila kusahau lakezonelization, watu wa Kanda ya ziwa.

Masisiemu yamepigwa na butwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…