Pre GE2025 Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti

Pre GE2025 Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti, nasikia wanaangaika na mitandao.

---
Akiwa wilayani Monduli RC Makonda amesema yeye hajali kelele za wanamitandao bali ataendelea Kuchapa Kazi kwa kuwatumikia Wananchi.

Makonda amesema yeye siyo mtu wa kubembeleza.watu bali anasimamia Uwajibikaji.

"Wale wanaopiga kelele waendelee tu kwangu ni sawa na ule Muziki wakati wa kufanyiwa masaji" amesema Makonda huku akishangiliwa na Makamanda hapo Monduli.

PIA SOMA:
- LHRC yamuonya Makonda kwa kumdhalilisha Mtumishi wa Kike mbele ya Umati wa Wananchi

- Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

- Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa walaani matamshi ya Paul Makonda
 
Akiwa wilayani Monduli RC Makonda amesema yeye hajali kelele.za wanamitandao bali ataendelea Kuchapa Kazi kwa kuwatumikia Wananchi

Makonda amesema yeye siyo mtu wa kubembeleza.watu bali anasimamia Uwajibikaji

"Wale wanaopiga kelele waendelee tu kwangu ni sawa na ule Muziki wakati wa kufanyiwa masaji" amesema Makonda huku akishangiliwa na Makamanda hapo Monduli

 
Akiwa wilayani Monduli RC Makonda amesema yeye hajali kelele.za wanamitandao bali ataendelea Kuchapa Kazi kwa kuwatumikia Wananchi

Makonda amesema yeye siyo mtu wa kubembeleza.watu bali anasimamia Uwajibikaji

"Wale wanaopiga kelele waendelee tu kwangu ni sawa na ule Muziki wakati wa kufanyiwa masaji" amesema Makonda huku akishangiliwa na Makamanda hapo Monduli

Source: Clouds media
Huyo ndio mwanaume sasa katika nchi hii
 
Akiwa wilayani Monduli RC Makonda amesema yeye hajali kelele.za wanamitandao bali ataendelea Kuchapa Kazi kwa kuwatumikia Wananchi

Makonda amesema yeye siyo mtu wa kubembeleza.watu bali anasimamia Uwajibikaji

"Wale wanaopiga kelele waendelee tu kwangu ni sawa na ule Muziki wakati wa kufanyiwa masaji" amesema Makonda huku akishangiliwa na Makamanda hapo Monduli

Source: Clouds media
Duuuuuuh
 
Kabla ya kutoa tamka wakati mwingine unatakiwa ufanye cross examination.siyo kila kitu cha kutolea kauli.Makonda ni mkuu wa mkoa ,mwenyekiti wa usalama wa mkoa,anaongoza zaidi ya milioni 2 za watu ,yule dada ni injinia tu ambapo hata mimi ningemtimua kwa sababu fulani.
leo hii tumewaruhusu mabinti wabebe mimba ,wazae ,warudi shuleni .na kushangaza kuna mkoa fulani wametiwa mimba wasichana zaidi ya 198 kwa mwezi mmoja tu.

wakati mwingine unagalia impact ya kiongozi kama taasisi kwenye jamii na siyo personality ya mtu
 
Back
Top Bottom