Paul Makonda Mmoja ameisambaratisha na kuizima CHADEMA mitaani

Paul Makonda Mmoja ameisambaratisha na kuizima CHADEMA mitaani

Nakusamehe bure kabisaa. Mungu aendelee kukujalia maisha marefu yeye heri na amani.uso wake uwe pamoja nawe. Akupiganie , kukutetea na kukulinda dhidi ya maadui zako. Isiwepo silaha yoyote itakayo inuka na kufanikiwa mbele yako.Mungu akufanye kuwa chombo chake kipya cha kueneza upendo na amani hapa Duniani.ukawe mpatanishi kwa watu na faraja kwa watu.
Kwani kulikuwa na mdahalo unaendelea kati ya vyama hivyo viwili??
Ulifanyika lini mpaka lini??
Nani alisimamia ??
 
Wameshajuwa kuwa CHADEMA ni madalali wa siasa.
Huwezi kupata sifa mpaka utaje chadema???
Hatuwezi kutaja maendeleo bila kutaja chadema??
Unasifia chama chenye Raisi,Mkuu wa majeshi, Polisi nk na chama kisicho na chochote!!!!
TUNAHITAJI WANASIASA NA SIO WENYE NJAA KWENYE MAJUKWAA..
 
Kwani kulikuwa na mdahalo unaendelea kati ya vyama hivyo viwili??
Ulifanyika lini mpaka lini??
Nani alisimamia ??
CHADEMA walikimbia mdahalo kwa kumuogopa Mheshimiwa Makonda,ambapo alipowafuata mitaani huko wametimua mbio kali sana kwenda kujificha kama panya.
 
Uchaguzi huru na haki ndiyo utathibitisha hayo, tofauti na hapo ni porojo tu

Paul Makonda Mmoja Ameisambaratisha na kuizima CHADEMA mitaani - na pia kama CCM yote inamtegemea Makonda mmoja.......!​

 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda ni Mwamba na chuma kwelikweli,ni field Marshall ,Ni jemedari hodari,ni mpambanaji mwenye moyo na damu ya kipambanaji. Mpaka inafika hatua unasema kwanini hakuingia mapema uwanjani? Lakini unajipa jibu kuwa kila jambo na wakati wake. Na wakati huu ndio ulikuwa umepangwa na Mungu ili Mheshimiwa Makonda aingie kuonyesha kipawa na Karama kubwa ya uongozi iliyopo ndani yake. Alichelewa kuja kwa kuwa Mungu alikuwa bado akimuandaa na kumuweka tayari kuwasemea wananchi wanyonge.ndio maana ujio wake uliitikisa nchi ,milima na mabonde.

Mheshimiwa Makonda tangia ameingia mitaani na kupiga mchaka mchaka wa kazi ya kusikiliza kero za wananchi na kuwapatia majibu, pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM imeleta kilio kwa vyama vya upinzani kama CHADEMA ambavyo siku zote vimekuwa vikitegemea janja janja ya kudandia matukio na kuyafanya kama mtaji wake wa kisiasa.

CHADEMA imepotezwa na kusambaratishwa kabisa mitaani.imezimwa kama taa,imeyeyuka kama mshumaa,imefutika kama moshi,imetoweka kama ukungu na imepotea kama upepo. Husikii habari za CHADEMA wala matukio ya CHADEMA,haieleweki imekwenda kufungiwa katika kabati la wapi.nchi nzima imetekwa na kutawaliwa na ziara za Mheshimiwa Makonda ambazo zimekuwa kimbilio la watanzania wanyonge wenye shida na kero mbalimbali.

Hii ndio taabu na shida ya kutembelea na kutegemea matukio katika kuendesha siasa.siku zote CHADEMA ilikuwa inafanya usanii na ubabaishaji wa kusubiri matukio ndio ilipuke kama moto wa petrol .sasa Mwamba Paul Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na aliyezaliwa kama kiongozi amekuja na siasa za kugusa maisha ya watu,kuzungumza kero na shida za watu,hisia za watu, changamoto za watu na lugha za watu mambo ambayo ndiyo watanzania wanayohitaji kuyasikia masikioni mwao siku zote.

Mheshimiwa Paul Makonda ameingia Mitaani kuwafuta machozi watu,kuwapa faraja, matumaini,furaha ,majibu ya maswali yao pamoja na kuwarejeshea tabasamu katika mioyo yao.hii ndio sababu Anaendelea kugusa mioyo ya watanzania,kukimbiliwa na wenye shida,kuliliwa na wenye kuhitaji msaada.kwa sababu watu wametambua kifua na moyo wa Mheshimiwa Makonda umebeba huruma na upendo mkubwa sana kwa watanzania wanyonge.wametambua ni mtu wa msaada.ni mtu mwenye moyo wa kusaidia na kugusa maisha ya watu.

Sasa ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuanza kuwaunga mkono CHADEMA? Nani akiunge mkono CHADEMA kinachopendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo? Nani aunge mkono mawazo na mapendekezo hayo ya kilafi,kifisi na yenye kuonyesha uchu na tamaa ya madaraka ya CHADEMA iliyo jaa katika vifua vyao? Nani awaunge mkono CHADEMA ambao siku zote wao wanapigania mambo yatakayowarahisishia wao ukubwa wa mlango wa kuingia bungeni kwenda kula mishahara wasiyoitolea jasho?

Nani awaunge mkono CHADEMA ambao wanasema kazi ya uboda boda ,umama ntilie kuwa ni kazi za laana kama ambavyo alitamka lema? Nani awaunge mkono chama cha namna hii kilichokosa huruma na Upendo kwa watu?

Ndio maana watanzania kwa umoja wao wameamua kuwapuuza CHADEMA na kutofuatilia kabisa habari zao.ndio maana wameamua kuiunga mkono CCM na kuendelea kujiandaa kuipatia kura za ndio katika chaguzi zijazo. Sasa CHADEMA wamebakia wanachungulia ziara za Mheshimiwa Makonda huku mioyo yao ikitokwa machozi bila kukatika wanapoona Mheshimiwa Makonda na CCM wakipata mapokezi ya kishindo yaliyofurika maelefu ya watu wanaohudhuria kwa hiyari yao wenyewe.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.View attachment 2893872View attachment 2893873View attachment 2893875View attachment 2893876View attachment 2893877View attachment 2893879View attachment 2893880


Wale wajinga jinga watakuwepo hata mkiweka mti. Kuna watu ni wazito tu ambao ndiyo wafuasi wake. Watu waelewa hawawezi kupoteza muda na huyu jamaa
 
Huyu anajibana kujaribu kurudisha kitambi ndani, lakini imeshindikana

1707179015545.png
 
Hata Magufuli aliwajk kusema kuwa CHADEMA imekufa imebaki kutikisa mkia tu ,Lakini baadaye aligundua kuwa si kweli mpaka kupeleka babilion ya sh yanatumika kununua wapinzani na kudill na upinzani, pesa za wananchi ambazo zilipaswa kujenga nchi.
 
Hivi huyu jamaa mna hakika ana akili timamu kweli?
Mtu ambaye amepatikana kwenye mkesha wa mwenge atapateje kuwa na akili,bimkubwa alikuwa bwaxi na walengaji walikuwa chicha lazima hiyo product itakuwa na mtindio wa ubongo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda ni Mwamba na chuma kwelikweli,ni field Marshall ,Ni jemedari hodari,ni mpambanaji mwenye moyo na damu ya kipambanaji. Mpaka inafika hatua unasema kwanini hakuingia mapema uwanjani? Lakini unajipa jibu kuwa kila jambo na wakati wake. Na wakati huu ndio ulikuwa umepangwa na Mungu ili Mheshimiwa Makonda aingie kuonyesha kipawa na Karama kubwa ya uongozi iliyopo ndani yake. Alichelewa kuja kwa kuwa Mungu alikuwa bado akimuandaa na kumuweka tayari kuwasemea wananchi wanyonge.ndio maana ujio wake uliitikisa nchi ,milima na mabonde.

Mheshimiwa Makonda tangia ameingia mitaani na kupiga mchaka mchaka wa kazi ya kusikiliza kero za wananchi na kuwapatia majibu, pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM imeleta kilio kwa vyama vya upinzani kama CHADEMA ambavyo siku zote vimekuwa vikitegemea janja janja ya kudandia matukio na kuyafanya kama mtaji wake wa kisiasa.

CHADEMA imepotezwa na kusambaratishwa kabisa mitaani.imezimwa kama taa,imeyeyuka kama mshumaa,imefutika kama moshi,imetoweka kama ukungu na imepotea kama upepo. Husikii habari za CHADEMA wala matukio ya CHADEMA,haieleweki imekwenda kufungiwa katika kabati la wapi.nchi nzima imetekwa na kutawaliwa na ziara za Mheshimiwa Makonda ambazo zimekuwa kimbilio la watanzania wanyonge wenye shida na kero mbalimbali.

Hii ndio taabu na shida ya kutembelea na kutegemea matukio katika kuendesha siasa.siku zote CHADEMA ilikuwa inafanya usanii na ubabaishaji wa kusubiri matukio ndio ilipuke kama moto wa petrol .sasa Mwamba Paul Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na aliyezaliwa kama kiongozi amekuja na siasa za kugusa maisha ya watu,kuzungumza kero na shida za watu,hisia za watu, changamoto za watu na lugha za watu mambo ambayo ndiyo watanzania wanayohitaji kuyasikia masikioni mwao siku zote.

Mheshimiwa Paul Makonda ameingia Mitaani kuwafuta machozi watu,kuwapa faraja, matumaini,furaha ,majibu ya maswali yao pamoja na kuwarejeshea tabasamu katika mioyo yao.hii ndio sababu Anaendelea kugusa mioyo ya watanzania,kukimbiliwa na wenye shida,kuliliwa na wenye kuhitaji msaada.kwa sababu watu wametambua kifua na moyo wa Mheshimiwa Makonda umebeba huruma na upendo mkubwa sana kwa watanzania wanyonge.wametambua ni mtu wa msaada.ni mtu mwenye moyo wa kusaidia na kugusa maisha ya watu.

Sasa ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuanza kuwaunga mkono CHADEMA? Nani akiunge mkono CHADEMA kinachopendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo? Nani aunge mkono mawazo na mapendekezo hayo ya kilafi,kifisi na yenye kuonyesha uchu na tamaa ya madaraka ya CHADEMA iliyo jaa katika vifua vyao? Nani awaunge mkono CHADEMA ambao siku zote wao wanapigania mambo yatakayowarahisishia wao ukubwa wa mlango wa kuingia bungeni kwenda kula mishahara wasiyoitolea jasho?

Nani awaunge mkono CHADEMA ambao wanasema kazi ya uboda boda ,umama ntilie kuwa ni kazi za laana kama ambavyo alitamka lema? Nani awaunge mkono chama cha namna hii kilichokosa huruma na Upendo kwa watu?

Ndio maana watanzania kwa umoja wao wameamua kuwapuuza CHADEMA na kutofuatilia kabisa habari zao.ndio maana wameamua kuiunga mkono CCM na kuendelea kujiandaa kuipatia kura za ndio katika chaguzi zijazo. Sasa CHADEMA wamebakia wanachungulia ziara za Mheshimiwa Makonda huku mioyo yao ikitokwa machozi bila kukatika wanapoona Mheshimiwa Makonda na CCM wakipata mapokezi ya kishindo yaliyofurika maelefu ya watu wanaohudhuria kwa hiyari yao wenyewe.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.View attachment 2893872View attachment 2893873View attachment 2893875View attachment 2893876View attachment 2893877View attachment 2893879View attachment 2893880
Wewe nyau nasikia unaharisha hadi umetoka bawasiri
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda ni Mwamba na chuma kwelikweli,ni field Marshall ,Ni jemedari hodari,ni mpambanaji mwenye moyo na damu ya kipambanaji. Mpaka inafika hatua unasema kwanini hakuingia mapema uwanjani? Lakini unajipa jibu kuwa kila jambo na wakati wake. Na wakati huu ndio ulikuwa umepangwa na Mungu ili Mheshimiwa Makonda aingie kuonyesha kipawa na Karama kubwa ya uongozi iliyopo ndani yake. Alichelewa kuja kwa kuwa Mungu alikuwa bado akimuandaa na kumuweka tayari kuwasemea wananchi wanyonge.ndio maana ujio wake uliitikisa nchi ,milima na mabonde.

Mheshimiwa Makonda tangia ameingia mitaani na kupiga mchaka mchaka wa kazi ya kusikiliza kero za wananchi na kuwapatia majibu, pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM imeleta kilio kwa vyama vya upinzani kama CHADEMA ambavyo siku zote vimekuwa vikitegemea janja janja ya kudandia matukio na kuyafanya kama mtaji wake wa kisiasa.

CHADEMA imepotezwa na kusambaratishwa kabisa mitaani.imezimwa kama taa,imeyeyuka kama mshumaa,imefutika kama moshi,imetoweka kama ukungu na imepotea kama upepo. Husikii habari za CHADEMA wala matukio ya CHADEMA,haieleweki imekwenda kufungiwa katika kabati la wapi.nchi nzima imetekwa na kutawaliwa na ziara za Mheshimiwa Makonda ambazo zimekuwa kimbilio la watanzania wanyonge wenye shida na kero mbalimbali.

Hii ndio taabu na shida ya kutembelea na kutegemea matukio katika kuendesha siasa.siku zote CHADEMA ilikuwa inafanya usanii na ubabaishaji wa kusubiri matukio ndio ilipuke kama moto wa petrol .sasa Mwamba Paul Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na aliyezaliwa kama kiongozi amekuja na siasa za kugusa maisha ya watu,kuzungumza kero na shida za watu,hisia za watu, changamoto za watu na lugha za watu mambo ambayo ndiyo watanzania wanayohitaji kuyasikia masikioni mwao siku zote.

Mheshimiwa Paul Makonda ameingia Mitaani kuwafuta machozi watu,kuwapa faraja, matumaini,furaha ,majibu ya maswali yao pamoja na kuwarejeshea tabasamu katika mioyo yao.hii ndio sababu Anaendelea kugusa mioyo ya watanzania,kukimbiliwa na wenye shida,kuliliwa na wenye kuhitaji msaada.kwa sababu watu wametambua kifua na moyo wa Mheshimiwa Makonda umebeba huruma na upendo mkubwa sana kwa watanzania wanyonge.wametambua ni mtu wa msaada.ni mtu mwenye moyo wa kusaidia na kugusa maisha ya watu.

Sasa ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuanza kuwaunga mkono CHADEMA? Nani akiunge mkono CHADEMA kinachopendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo? Nani aunge mkono mawazo na mapendekezo hayo ya kilafi,kifisi na yenye kuonyesha uchu na tamaa ya madaraka ya CHADEMA iliyo jaa katika vifua vyao? Nani awaunge mkono CHADEMA ambao siku zote wao wanapigania mambo yatakayowarahisishia wao ukubwa wa mlango wa kuingia bungeni kwenda kula mishahara wasiyoitolea jasho?

Nani awaunge mkono CHADEMA ambao wanasema kazi ya uboda boda ,umama ntilie kuwa ni kazi za laana kama ambavyo alitamka lema? Nani awaunge mkono chama cha namna hii kilichokosa huruma na Upendo kwa watu?

Ndio maana watanzania kwa umoja wao wameamua kuwapuuza CHADEMA na kutofuatilia kabisa habari zao.ndio maana wameamua kuiunga mkono CCM na kuendelea kujiandaa kuipatia kura za ndio katika chaguzi zijazo. Sasa CHADEMA wamebakia wanachungulia ziara za Mheshimiwa Makonda huku mioyo yao ikitokwa machozi bila kukatika wanapoona Mheshimiwa Makonda na CCM wakipata mapokezi ya kishindo yaliyofurika maelefu ya watu wanaohudhuria kwa hiyari yao wenyewe.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.View attachment 2893872View attachment 2893873View attachment 2893875View attachment 2893876View attachment 2893877View attachment 2893879View attachment 2893880
Ur fucking full of shit kwenye maendeleo ya watu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda ni Mwamba na chuma kwelikweli,ni field Marshall ,Ni jemedari hodari,ni mpambanaji mwenye moyo na damu ya kipambanaji. Mpaka inafika hatua unasema kwanini hakuingia mapema uwanjani? Lakini unajipa jibu kuwa kila jambo na wakati wake. Na wakati huu ndio ulikuwa umepangwa na Mungu ili Mheshimiwa Makonda aingie kuonyesha kipawa na Karama kubwa ya uongozi iliyopo ndani yake. Alichelewa kuja kwa kuwa Mungu alikuwa bado akimuandaa na kumuweka tayari kuwasemea wananchi wanyonge.ndio maana ujio wake uliitikisa nchi ,milima na mabonde.

Mheshimiwa Makonda tangia ameingia mitaani na kupiga mchaka mchaka wa kazi ya kusikiliza kero za wananchi na kuwapatia majibu, pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM imeleta kilio kwa vyama vya upinzani kama CHADEMA ambavyo siku zote vimekuwa vikitegemea janja janja ya kudandia matukio na kuyafanya kama mtaji wake wa kisiasa.

CHADEMA imepotezwa na kusambaratishwa kabisa mitaani.imezimwa kama taa,imeyeyuka kama mshumaa,imefutika kama moshi,imetoweka kama ukungu na imepotea kama upepo. Husikii habari za CHADEMA wala matukio ya CHADEMA,haieleweki imekwenda kufungiwa katika kabati la wapi.nchi nzima imetekwa na kutawaliwa na ziara za Mheshimiwa Makonda ambazo zimekuwa kimbilio la watanzania wanyonge wenye shida na kero mbalimbali.

Hii ndio taabu na shida ya kutembelea na kutegemea matukio katika kuendesha siasa.siku zote CHADEMA ilikuwa inafanya usanii na ubabaishaji wa kusubiri matukio ndio ilipuke kama moto wa petrol .sasa Mwamba Paul Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na aliyezaliwa kama kiongozi amekuja na siasa za kugusa maisha ya watu,kuzungumza kero na shida za watu,hisia za watu, changamoto za watu na lugha za watu mambo ambayo ndiyo watanzania wanayohitaji kuyasikia masikioni mwao siku zote.

Mheshimiwa Paul Makonda ameingia Mitaani kuwafuta machozi watu,kuwapa faraja, matumaini,furaha ,majibu ya maswali yao pamoja na kuwarejeshea tabasamu katika mioyo yao.hii ndio sababu Anaendelea kugusa mioyo ya watanzania,kukimbiliwa na wenye shida,kuliliwa na wenye kuhitaji msaada.kwa sababu watu wametambua kifua na moyo wa Mheshimiwa Makonda umebeba huruma na upendo mkubwa sana kwa watanzania wanyonge.wametambua ni mtu wa msaada.ni mtu mwenye moyo wa kusaidia na kugusa maisha ya watu.

Sasa ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuanza kuwaunga mkono CHADEMA? Nani akiunge mkono CHADEMA kinachopendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo? Nani aunge mkono mawazo na mapendekezo hayo ya kilafi,kifisi na yenye kuonyesha uchu na tamaa ya madaraka ya CHADEMA iliyo jaa katika vifua vyao? Nani awaunge mkono CHADEMA ambao siku zote wao wanapigania mambo yatakayowarahisishia wao ukubwa wa mlango wa kuingia bungeni kwenda kula mishahara wasiyoitolea jasho?

Nani awaunge mkono CHADEMA ambao wanasema kazi ya uboda boda ,umama ntilie kuwa ni kazi za laana kama ambavyo alitamka lema? Nani awaunge mkono chama cha namna hii kilichokosa huruma na Upendo kwa watu?

Ndio maana watanzania kwa umoja wao wameamua kuwapuuza CHADEMA na kutofuatilia kabisa habari zao.ndio maana wameamua kuiunga mkono CCM na kuendelea kujiandaa kuipatia kura za ndio katika chaguzi zijazo. Sasa CHADEMA wamebakia wanachungulia ziara za Mheshimiwa Makonda huku mioyo yao ikitokwa machozi bila kukatika wanapoona Mheshimiwa Makonda na CCM wakipata mapokezi ya kishindo yaliyofurika maelefu ya watu wanaohudhuria kwa hiyari yao wenyewe.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.View attachment 2893872View attachment 2893873View attachment 2893875View attachment 2893876View attachment 2893877View attachment 2893879View attachment 2893880
Upuuzi mtupu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda ni Mwamba na chuma kwelikweli,ni field Marshall ,Ni jemedari hodari,ni mpambanaji mwenye moyo na damu ya kipambanaji. Mpaka inafika hatua unasema kwanini hakuingia mapema uwanjani? Lakini unajipa jibu kuwa kila jambo na wakati wake. Na wakati huu ndio ulikuwa umepangwa na Mungu ili Mheshimiwa Makonda aingie kuonyesha kipawa na Karama kubwa ya uongozi iliyopo ndani yake. Alichelewa kuja kwa kuwa Mungu alikuwa bado akimuandaa na kumuweka tayari kuwasemea wananchi wanyonge.ndio maana ujio wake uliitikisa nchi ,milima na mabonde.

Mheshimiwa Makonda tangia ameingia mitaani na kupiga mchaka mchaka wa kazi ya kusikiliza kero za wananchi na kuwapatia majibu, pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM imeleta kilio kwa vyama vya upinzani kama CHADEMA ambavyo siku zote vimekuwa vikitegemea janja janja ya kudandia matukio na kuyafanya kama mtaji wake wa kisiasa.

CHADEMA imepotezwa na kusambaratishwa kabisa mitaani.imezimwa kama taa,imeyeyuka kama mshumaa,imefutika kama moshi,imetoweka kama ukungu na imepotea kama upepo. Husikii habari za CHADEMA wala matukio ya CHADEMA,haieleweki imekwenda kufungiwa katika kabati la wapi.nchi nzima imetekwa na kutawaliwa na ziara za Mheshimiwa Makonda ambazo zimekuwa kimbilio la watanzania wanyonge wenye shida na kero mbalimbali.

Hii ndio taabu na shida ya kutembelea na kutegemea matukio katika kuendesha siasa.siku zote CHADEMA ilikuwa inafanya usanii na ubabaishaji wa kusubiri matukio ndio ilipuke kama moto wa petrol .sasa Mwamba Paul Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara na aliyezaliwa kama kiongozi amekuja na siasa za kugusa maisha ya watu,kuzungumza kero na shida za watu,hisia za watu, changamoto za watu na lugha za watu mambo ambayo ndiyo watanzania wanayohitaji kuyasikia masikioni mwao siku zote.

Mheshimiwa Paul Makonda ameingia Mitaani kuwafuta machozi watu,kuwapa faraja, matumaini,furaha ,majibu ya maswali yao pamoja na kuwarejeshea tabasamu katika mioyo yao.hii ndio sababu Anaendelea kugusa mioyo ya watanzania,kukimbiliwa na wenye shida,kuliliwa na wenye kuhitaji msaada.kwa sababu watu wametambua kifua na moyo wa Mheshimiwa Makonda umebeba huruma na upendo mkubwa sana kwa watanzania wanyonge.wametambua ni mtu wa msaada.ni mtu mwenye moyo wa kusaidia na kugusa maisha ya watu.

Sasa ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuanza kuwaunga mkono CHADEMA? Nani akiunge mkono CHADEMA kinachopendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo? Nani aunge mkono mawazo na mapendekezo hayo ya kilafi,kifisi na yenye kuonyesha uchu na tamaa ya madaraka ya CHADEMA iliyo jaa katika vifua vyao? Nani awaunge mkono CHADEMA ambao siku zote wao wanapigania mambo yatakayowarahisishia wao ukubwa wa mlango wa kuingia bungeni kwenda kula mishahara wasiyoitolea jasho?

Nani awaunge mkono CHADEMA ambao wanasema kazi ya uboda boda ,umama ntilie kuwa ni kazi za laana kama ambavyo alitamka lema? Nani awaunge mkono chama cha namna hii kilichokosa huruma na Upendo kwa watu?

Ndio maana watanzania kwa umoja wao wameamua kuwapuuza CHADEMA na kutofuatilia kabisa habari zao.ndio maana wameamua kuiunga mkono CCM na kuendelea kujiandaa kuipatia kura za ndio katika chaguzi zijazo. Sasa CHADEMA wamebakia wanachungulia ziara za Mheshimiwa Makonda huku mioyo yao ikitokwa machozi bila kukatika wanapoona Mheshimiwa Makonda na CCM wakipata mapokezi ya kishindo yaliyofurika maelefu ya watu wanaohudhuria kwa hiyari yao wenyewe.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.View attachment 2893872View attachment 2893873View attachment 2893875View attachment 2893876View attachment 2893877View attachment 2893879View attachment 2893880
Bado tu huamini kilichotokea mlimani city ? Duuh ama kweli sikio la kufa.
 
Back
Top Bottom