Paul Makonda na vijana wenzake ndio kizazi kilicho bora zaidi kitakacholeta mageuzi makubwa

Paul Makonda na vijana wenzake ndio kizazi kilicho bora zaidi kitakacholeta mageuzi makubwa

Wewe una roho ya mungu kurungu wewe? Kwa makonda watu kama wewe muwe 40 ndio mtafikia robo ya makonda
Tutolee upumbavu wako hapa. Hao vijanan wadogo wenye roho za kishetani hawafai hata kuwa uraiani. Huyo Hapi asiye na nidhamu kiasi cha kutukana wastaafu hafai. Lengai ninaweza kumtaja kama laana ya taifa. Lengai ni kijana mshenzi zaidi kuwahi kutokea kwenye uongozi wa CCM na serikali.
Wewe
 
Wewe una roho ya mungu kurungu wewe? Kwa makonda watu kama wewe muwe 40 ndio mtafikia robo ya makonda

Wewe
Uko sahihi kabisa. Tukiwa 40 ndo tutaweza kumfikia kwq roho mbaya aliyo nayo. Kati ya wewe na Makonda nani anamkaza mwenzake?
 
Paul makonda ni kizazi kipya cha dhahabu yeye na vijana wenzake wengi.

Kama unamchukia kwa Leo utakuwa unafanya makosa makubwa sana ! Makonda ni kitabu kikubwa kilichobeba hatima ijayo. Hawa unaowaona Leo 2030 watakuwa wamekata pumzi kabisa. Wengi watakuwa wamezeeka na wengine wamestaafu siasa.

Kizazi kipya Kitakacho kuja kuleta mageuzi makubwa ni hiki cha akina Paulo Makonda, Ally Happy na akina Lengai Ole Sabaya bila kujalisha matokeo ya sasa. Tusimchukie makonda tumuombee.
Kwa maadili gani? Kumpiga Mzee Warioba? Kumdhalilisha Mzee lowassa kuwa katelekeza mtoto?kuvamia clouds? Kumteka Ben saa 8 na kumpoteza? Kumteka Roma Mkatoliki?
 
Paul makonda ni kizazi kipya cha dhahabu yeye na vijana wenzake wengi.

Kama unamchukia kwa Leo utakuwa unafanya makosa makubwa sana ! Makonda ni kitabu kikubwa kilichobeba hatima ijayo. Hawa unaowaona Leo 2030 watakuwa wamekata pumzi kabisa. Wengi watakuwa wamezeeka na wengine wamestaafu siasa.

Kizazi kipya Kitakacho kuja kuleta mageuzi makubwa ni hiki cha akina Paulo Makonda, Ally Happy na akina Lengai Ole Sabaya bila kujalisha matokeo ya sasa. Tusimchukie makonda tumuombee.
Siyo bure utakuwa unapasuliwa wewe

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Paul makonda ni kizazi kipya cha dhahabu yeye na vijana wenzake wengi.

Kama unamchukia kwa Leo utakuwa unafanya makosa makubwa sana ! Makonda ni kitabu kikubwa kilichobeba hatima ijayo. Hawa unaowaona Leo 2030 watakuwa wamekata pumzi kabisa. Wengi watakuwa wamezeeka na wengine wamestaafu siasa.

Kizazi kipya Kitakacho kuja kuleta mageuzi makubwa ni hiki cha akina Paulo Makonda, Ally Happy na akina Lengai Ole Sabaya bila kujalisha matokeo ya sasa. Tusimchukie makonda tumuombee.
Punguani.
nchi ikabidhiwe majambazi[emoji846][emoji846]
 
Paul makonda ni kizazi kipya cha dhahabu yeye na vijana wenzake wengi.

Kama unamchukia kwa Leo utakuwa unafanya makosa makubwa sana ! Makonda ni kitabu kikubwa kilichobeba hatima ijayo. Hawa unaowaona Leo 2030 watakuwa wamekata pumzi kabisa. Wengi watakuwa wamezeeka na wengine wamestaafu siasa.

Kizazi kipya Kitakacho kuja kuleta mageuzi makubwa ni hiki cha akina Paulo Makonda, Ally Happy na akina Lengai Ole Sabaya bila kujalisha matokeo ya sasa. Tusimchukie makonda tumuombee.
Upuuzi mwingine huu.
 
Back
Top Bottom