Pre GE2025 Paul Makonda ni Karata ya muhimu kwa Rais Samia kuelekea uchaguzi wa 2025

Pre GE2025 Paul Makonda ni Karata ya muhimu kwa Rais Samia kuelekea uchaguzi wa 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa namna fulani uko sawa. Ingawa kwa upande mwingine unaweza kuona kuwa wananchi wameshaona jinsi serikali ilivyoandaa majeshi yetu kutesa, kujeruhi na hata kuua wale wote wanaopinga yake. Matukio ya 2001 kwenye uchaguzi mkuu kule Pemba; mauaji ya Mwangosi, Akwilina, risasi za Lissu, n.k. Na mengi mengine dhidi ya wapinzani hasa CHADEMA. A really murderous-ready regime when it comes to combatting dissent.

Halafu ukijumlisha na propaganda za kuwanasibisha wakosoaji/wapinzani na wasaliti. Na pia kuwalinganisha wanasiasa wote kama wasaka madaraka, pesa na waroho; kwamba wote ovyo tu: CCM=upinzani (CHADEMA) - hivyo afadhali CCM mnayoijua (Kazı wewe unayofanya hapa.), Watanzania wanaingia mashaka makubwa na kukosa guts za kujitoa muhanga kupigania haki zao.

Uoga+mashaka sio kukubali status quo. Certainly, the brink point will soon be reached. Natarajia sitakuwepo. Tutaanza kushuhudia civil wars kama za Ethiopia, Sudan, Somalia. Sasa hivi CCM wana-enjoy kipindi cha bliss ya ubabe (dominance). Hawajali kufanya siasa za brinkmanship. Ila waajue kuwa vizazi vinabadilika. Hizo kauli za kuwasemea wananchi kuwa wanalikubali zimwi walijualo ipo siku zitafika mwisho na moto utawaka.
Duh 🙄 !
😱 Japo mimi sidhani kama nitakuwa hai wakati huo lakini ninaomba Mungu awaongoze watakao kuwepo Taifa lisifike huko !! 🙏🙏🙏
 
Maoni yako yapo sahihi, ila kuna shida mahala.

Makonda kafanya kazi yake nzuri ya kafumua uozo uliopo dhahiri serikalini kwa sasa, lakini hana 'mandate' ya kuwajibisha!

Tatizo linalofuata na litalokuja kwa Samia ni misimamo yake ya kukumbatia wahalifu.

Tangu aingie madarakani ushamuona kuchukua hatua yoyote ya maana kuwawajibisha viongozi mabaradhuli hata siku moja?

Makonda atamaliza ziara zake na kufumua uozo na kuuweka hadharani lakini hakuna hatua zozote za maana atazoweza kuzichukua Rais Samia zaidi ya panga pangua kwa uhamisho.

Kutokuchukua kwake hatua kwa uozo uliodhihirika wazi kutawafanya waTz wasimwamini tena kwa slogan yoyote mpya atayokuja nayo siku za mbeleni na hataweza kuuzika kwa mbinu yoyote kwa waTz walalahoi.

Na kwa hatua hiyo ya Rais kufumbia macho wahalifu wa wazi na wa kiuwajibikaji, Makonda atakuwa katengenezewa zengwe kubwa sana na maadui wa kutosha.
Kuhusu Makonda kuwa na maadui wengi kwa anacho kufanya ni kweli kabisa, Na pengine Samia kafanya hivyo makusudi ili wake maadui zake wapate kazi ya kushughulika na adui mpya ambaye ni Makonda, Yaani kitaalamu ni kuwa unamtengenezea adui wako maadui wengi ili kumpunguzia nguvu.
 
Kuhusu Makonda kuwa na maadui wengi kwa anacho kufanya ni kweli kabisa, Na pengine Samia kafanya hivyo makusudi ili wake maadui zake wapate kazi ya kushughulika na adui mpya ambaye ni Makonda, Yaani kitaalamu ni kuwa unamtengenezea adui wako maadui wengi ili kumpunguzia nguvu.
Sahihi kabisa. !
 
Uchaguzi wa 2025, hakuna mchuano wowote kwa Rais Samia kwasababu kwa utaratibu wa CCM, 2025 Samia anapita kwa mserereko, inatolewa fomu moja tuu ya Samia!. Ila inaweza kutokea Samia asigombee kwasababu HII them bado Samia atachukua fomu yake na kumpa mtu atakaye mtaka!.
P
Natamani sana Mwinyi Jr ndio apewe
 
Back
Top Bottom