Paul Makonda ni Nani? Ni yule Mchimba mchanga, mkata mkaa

Paul Makonda ni Nani? Ni yule Mchimba mchanga, mkata mkaa

Hawa ndio aina ya waandishi wa habari tulio nao Tanzania.
 
SWALI LA MSINGI NI KUMUULIZA MAKONDA...PALE KOLOMIJE SHULE YA MSINGI ALIKUWA ANAITWA NANI !!!! FORM FOUR ALIMALIZA SHULE GANI NA ALIKUWA ANATUMIA JINA GANI!!! NA JE ALIPOENDA KUCHUKUA CERTIFICATE PALE CHUO CHA UVUVI NYEGEZI ALIINGIA KWA JINA GANI!!!
 
Talent haichagui mtu ...unaweza kuwa una sura mbaya na ukawa na kipaji, siyo dhambi.

Hata Biblia imesema kuna vitu vingi walinyimwa wakubwa lakini wakaja kupewa watu wa kawaida sana. Hongera Makonda kwa kupewa kipaji chako, wengi wanafikiri kupitia ukonda basi hukuwa na talent lakini wanasahau kwamba hata wao wanajiona wana akili si kwasababu walizaliwa hivyo bali ni kwasababu walizaliwa katika familia bora na zenye vipato. Wewe umezaliwa kimaskini, umehangaika na umesota sana lakini leo unaitwa RC.

Hii si kwa uwezo wako bali ni kwa uweza wake aliye juu, ndiye mpaji wa kila jambo ijapo sie wanadamu tuko busy tunaulizana kwa nini, imewwzekana vipi?

Mungu ni mkubwa sana.
 
jina la Paul Makonda limekuwa maarufu kuliko la mkuu wa mkoa mwingine yeyote nchini.
Sijui umetumia vigezo gani lakini bado naamini hamfikii kwa vituko, kupiga dili za kisiasa na kilimwengu kuliko MKUU WA Mkoa mstaafu. Mzee Yussuf Makamba.
 
Mungu mzidishie sana Mh Mbowe kwa moyo wake wa kusaidia watu wenye mahitaji .
 
Ndio safari ya binadamu ilivo hata mm nilikuwa mlinzi,machinga,kibarua na sasa nazidi kusonga mbele ipo siku takuwa RC
 
Hivi huyu makonda ni nani zaidi ya Kuwa mkuu wa mkoa, maana kuna matukio maovu ambayo anahusishwa nayo lakini hatuoni jitihada zozote zinazofanyika juu yake, kwa mfano kuna shutuma ya kuvamia ofisi za clouds media, pamoja na shutuma zilizotolewa na taifa la marekani, hizo Ni baadhi tu lakini ufuatiliaji wake kutoka kwenye vyombo au mamlaka husika hauonyeshi jitihada
 
Hivi huyu makonda ni nani zaidi ya Kuwa mkuu wa mkoa, maana kuna matukio maovu ambayo anahusishwa nayo lakini hatuoni jitihada zozote zinazofanyika juu yake, kwa mfano kuna shutuma ya kuvamia ofisi za clouds media, pamoja na shutuma zilizotolewa na taifa la marekani, hizo Ni baadhi tu lakini ufuatiliaji wake kutoka kwenye vyombo au mamlaka husika hauonyeshi jitihada
Ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Dsm!
 
Kuna siri kubwa kati ya Makonda na Jiwe!
 
Back
Top Bottom