Paul Makonda ni Nani? Ni yule Mchimba mchanga, mkata mkaa

Paul Makonda ni Nani? Ni yule Mchimba mchanga, mkata mkaa

Anayway, hatushangai. Kuwa RC sio lazima uwe msomi. Hicho ni cheo cha kisiasa hata darasa la saba unaweza kuwa RC. Sia kubwa ni kuwa mkereketwa, kujipendekeza kwa wakuu na kufanya mambo yanayokifurahisha chama tawala, hata kama hayana logiki na yanapingana na mashauri ya wataalamu.

Ila tungependa kuona CV yake

hapo ndo nimepawaza... labda muandishi kwa njia nyingine alikua anatuambia hana elimu ya kutosha... au ndo vile tena elimu haijalishi unapokuja kiongozi.. yananichanganya hata cjui kipi ni kpi???
 
Ni rahisi sana kama ukiwa kada aliyenyweshwa maji ya bandeda ya kwanza kabisa ya ccm.Halafu ukukutanza na wapinzani wakubwa uwachape vibao nirahisi kufika alikokuwa makonda.kile kobao alichomchapa Warioba kimemtoa sana kimaisha. Hata wewe kama ni kada wa ccm.Nenda kamchape vibao kadhaa Lowassa au Mbowe.Hautapita hata mwezi mmoja ushaukwaa DC baadae kidogo unahamishiwa kwenye RC .

umeona eeeeee
 
Mmesoma kilichoandikwa au mnalaani tu hata bila kujua wameandika nini. What kama wanamsifia kua katoka huko hadi alipofika ni mfano wa kuigwa? Don't judge the content from the heading

hakuna MTU aliyekataa asisifiwe. asifiwe tu
 
Hili ni swali zuri sana.
Kikulacho kinguoni mwako.
Tunaendelea kutadhmini kwa karibu sana.

Hatukioni Chama Cha Mapinduzi kikiongoza nchi yetu.

Kuna harufu za Kizayuni "ubaguzi na chuki binafsi" katika Taifa letu. Kuna unafiki wa hali ya juu unaendelea ambao unaweza kuleta mfarakano.

Hatumuoni Mwalim Nyerere kwenye twasira ya nchi yetu. Mwalim Nyerere aliyejenga na kudumisha Umoja wetu.

Ewe Mungu utulinde na kutuokoa na kudumisha Umoja wetu.
 
Hili ni swali zuri sana.
Kikulacho kinguoni mwako.
Tunaendelea kutadhmini kwa karibu sana.

Hatukioni Chama Cha Mapinduzi kikiongoza nchi yetu.

Kuna harufu za Kizayuni "ubaguzi na chuki binafsi" katika Taifa letu. Kuna unafiki wa hali ya juu unaendelea ambao unaweza kuleta mfarakano.

Hatumuoni Mwalim Nyerere kwenye twasira ya nchi yetu. Mwalim Nyerere aliyejenga na kudumisha Umoja wetu.

Ewe Mungu utulinde na kutuokoa na kudumisha Umoja wetu.

umenena vyema mkuu
 
Kama kweli basi unabii umetimia
"From zero to hero"
Ana kila sababu ya kusimamia haki
Amepitia anajua ameishi mateso anayajua
Namuombea sana

"HAKI" ? Kuna haki zaidi ya kumuachia G Lema na wengi waliokuwa kwenye magereza yetu bila hatia? Haki? Haki mbele ya binaadamu au Haki mbele ya Mwenyezi Mungu? Sio mbali tulikuwa tunajivunia Utaifa wetu, leo hii tunaangalia chini na kusikitika kwa hali inavyoendeshwa na watu wachache wenye madaraka. Do we preach and promote love or hatred? Where is love and trust among ourselves? We ask as a Nation, so do we seek blessings or curse?

Harufu za chuki binafsi za kidini na kikabila zinanukia kwa mbali. Dalili za Udikiteta zinaonekana. Uhuru wetu tuliobarikiwa unaanza kukanyagwa pole pole. Cronyism, Nepotism and Tribalism.

Tunachekwa.
 
kwani kukata mkaa sio kazi halali? au kuchimba mchanga??

ulitaka awe mwizi au muuza madawa??
Mkuu,mimi naamini gazeti lilikuwa linamaanisha kuwa huyu RC alikuwa "humble" huko nyuma kutokana na kazi alizowahi kufanya,sasa iweje leo asiendelee kuwa "humble"? Kwa mtu aliyepitia maisha hayo mimi binafsi naamini lazima atakuwa/anapaswa kuwa "humble",sasa ikiwa vinginevyo ndio maswali yanakuja,kwa nini na imekuwaje.
 
Watu wanaokuwa kwenye maisha magumu wakipata nafuu huwa na jeuri sana na wanasahau kabisa maisha yao ya nyuma hii ndio shida yakuchagua kiongozi fukara enzi zake
 
Kwangu mm Kutoka Mchimba mchanga na mkata mkaa mpaka RC is a very inspirational journey.

Concern yangu ni akumbuke tu alikotoka, dhamana aliyopewa isimfanye asahau alikotoka.

Dhamana aliyopewa na kauwezo alikonako kiuchumi kwa sasa visimfanye ajione kama kashushwa Kutoka mbinguni.
Well said
 
Kweli wahenga nyoko hawajawai kukosea "Masikini akipata makalio hulia sijui nini "
 
Habari hii haiwezi kuwa ya kipumbavu, upumbavu unaweza kuwa ni tafsiri ya mtu kadri atakavyojipa tafsiri yake kuhusu habari yenyewe. Gazeti limefanya kazi yake, na ni miongoni mwa kazi zinazopaswa kufanywa na chombo cha habari!
Sabotage sabotage sabotage,Hata kama ni habari ya kweli lakini hata Kichwa cha Habari tu ni Negatively kihabari,Kinaonesha kutoandikwa vizuri ndani ya habari.
Sabotage sabotage sabotage
 
Kwangu mm Kutoka Mchimba mchanga na mkata mkaa mpaka RC is a very inspirational journey.

Concern yangu ni akumbuke tu alikotoka, dhamana aliyopewa isimfanye asahau alikotoka.

Dhamana aliyopewa na kauwezo alikonako kiuchumi kwa sasa visimfanye ajione kama kashushwa Kutoka mbinguni.
Unazo akili wewe, watu wanafikiri wanamdhalilisha kumbe wanamkweza
 
Sabotage sabotage sabotage,Hata kama ni habari ya kweli lakini hata Kichwa cha Habari tu ni Negatively kihabari,Kinaonesha kutoandikwa vizuri ndani ya habari.
Sabotage sabotage sabotage
Anyway, I cant comment more-sijaisoma habari yenyewe. Nilijua ni coverage ya profile ya huyo jamaa kuonyesha tu wapi alikotoka na mambo kama hayo! Jambo ambalo ni la kawaida na linapaswa kufanywa na media! sasa kama kuna sabotage sijui!
 
Kam alipitia huko ameonyesha njia ya kufanikiwa ukiwa na malengo,,,ameonyesha hakuna kinachoshindikana chini ya jua ukiamua kuwekeza muda,akil,nguvu na mungu akikusimamia
Heee!! Kufanikiwa ukiwa na malengo kwa vyeo hivi vya kuteuliwa???!! Hayo huwa tunayasema iwapo mtu atatoka ktk maisha hayo kwa kupiga shule hasa au kujishughulisha na biashara au shughuri yoyote kwa bidii yake akaja pata mafanikio, ila hivi vyeo vya leo umekuwa dc, kesho Rc kesho kutwa balozi navyo una msifia mtu eti ameonyesha njia!!?? Huyo aliyemteua kesho akiamua vingine inkuwaje?! Hayo tunasema mtu anapokuwa amefika pale alipo. Kwa ajili ya shule,,. Au jitihada binafsi sio hivi vya kuteuliwa teuliwa. Shame on u!!
 
Anyway, I cant comment more-sijaisoma habari yenyewe. Nilijua ni coverage ya profile ya huyo jamaa kuonyesha tu wapi alikotoka na mambo kama hayo! Jambo ambalo ni la kawaida na linapaswa kufanywa na media! sasa kama kuna sabotage sijui!
Tunajua kuwa kuna habari za kuelezea ulikotokea mpaka ulipo sasa in a positive way lakini hii ni in a negative ukianzia na title yake tu hapo inakupa mwelekeo wa habari yenyewe.

Ni habari ya kumkatisha MTU tamaa.
 
Tunajua kuwa kuna habari za kuelezea ulikotokea mpaka ulipo sasa in a positive way lakini hii ni in a negative ukianzia na title yake tu hapo inakupa mwelekeo wa habari yenyewe.

Ni habari ya kumkatisha MTU tamaa.
Kwani wamefanya naye interview au wameokoteza?
 
Back
Top Bottom