Paul Makonda ni Nani? Ni yule Mchimba mchanga, mkata mkaa

Paul Makonda ni Nani? Ni yule Mchimba mchanga, mkata mkaa

Ata mie naona lilo gazeti lilitaka kumdhalilisha kwani wachimba mchanga siyo watu,yani magazeti mengine ni yakufungia mandazi tu .

Mkuu ukishajua mmiliki wa gazeti hilo ni nani wala uwezi kushangaa madongo anayo tupiwa Makonda! Nani kasema kuuza mkaa, kuwa kondakta na uchimbaji mchanga ni dhambi?
 
Hatuangilii ulikotoka,tunaangalia tuendako,it is the end what matters.
 
Kam alipitia huko ameonyesha njia ya kufanikiwa ukiwa na malengo,,,ameonyesha hakuna kinachoshindikana chini ya jua ukiamua kuwekeza muda,akil,nguvu na mungu akikusimamia
Ameonesha kuwa kujipendekeza wakati mwingine kunalipa.
 
Hiyo inaitwa back to front ....ni spirit ambayo ikikuingia kisawasawa unafika unapopataka
 
From Zero to Hero. Nadhani ni jambo jema.
 
Ni rahisi sana kama ukiwa kada aliyenyweshwa maji ya bandeda ya kwanza kabisa ya ccm.Halafu ukukutanza na wapinzani wakubwa uwachape vibao nirahisi kufika alikokuwa makonda.kile kobao alichomchapa Warioba kimemtoa sana kimaisha. Hata wewe kama ni kada wa ccm.Nenda kamchape vibao kadhaa Lowassa au Mbowe.Hautapita hata mwezi mmoja ushaukwaa DC baadae kidogo unahamishiwa kwenye RC .
 
Kwangu mm Kutoka Mchimba mchanga na mkata mkaa mpaka RC is a very inspirational journey.

Concern yangu ni akumbuke tu alikotoka, dhamana aliyopewa isimfanye asahau alikotoka.

Dhamana aliyopewa na kauwezo alikonako kiuchumi kwa sasa visimfanye ajione kama kashushwa Kutoka mbinguni.
Hizo ndizo sifa za viongozi wa nchi tunazozitaka. Asilimia 99% ya watanzania ni masikini na wanaishi maisha aliyoishi Makonda na Magufuri. Viongozi wa nchi wanatakiwa kutoka kundi hili. Hawa ndiyo watatutoa kwenye umasikini na unyonge wetu.

Usitegemee viongozi wa nchi waliotokea familia za matajiri wakubwa na watoto wa watawala/ marais wanaweza kututoa kwenye matatizo yetu maana hawayajui wala hayawahusu. Sitaki kutoa mifano ya viongozi waliotokana na kundi hili la watoto wa matajiri/ watawala nisije nikapata matatizo bure.

All in all, those are the qualities we need in choosing or selecting our leaders including in our national elections for our political leaders. We need more Makondas.
 
Hizo ndizo sifa za viongozi wa nchi tunazozitaka. Asilimia 99% ya watanzania ni masikini na wanaishi maisha aliyoishi Makonda na Magufuri. Viongozi wa nchi wanatakiwa kutoka kundi hili. Hawa ndiyo watatutoa kwenye umasikini na unyonge wetu.

Usitegemee viongozi wa nchi waliotokea familia za matajiri wakubwa na watoto wa watawala/ marais wanaweza kututoa kwenye matatizo yetu maana hawayajui wala hayawahusu. Sitaki kutoa mifano ya viongozi waliotokana na kundi hili la watoto wa matajiri/ watawala nisije nikapata matatizo bure.

All in all, those are the qualities we need in choosing or selecting our leaders including in our national elections for our political leaders. We need more Makondas.


Mkuu wangu unamsema Magufuli huyu huyu aliyewaambia wankagera kuwa kwenye kampeni zake hakusema ataleta tetemeko na wala tetemeko halijaletwa na serikali au unamuongelea nani mkuu.

Makonda huyu aliyesema eti baada ya Mungu ni yeye au ni Makonda yupi unamuongelea mkuu.
 
Habari wakuu!

Gazeti la RAIA mwema Leo limetoka na habari kuu yenye kichwa cha habari Makonda ni nani? Yule mchimba mchanga, mkata mkaa?

View attachment 470671

Na mimi nauliza ndiye yule au mwingine?

chanzo: gazeti la RAIA mwema
Kama kichwa cha Habari kinasadifu yaliyomo ndani basi tunajanga kubwa la wahariri wengi kutojari maadili ya taaluma zao. Kichwa cha habari kinatia kichefuchefu. Binadamu huzaliwa mtupu. Vitu vyote na vyeo au hadhi tunakutana navyo kwa bahati/by chance
 
Ata mie naona lilo gazeti lilitaka kumdhalilisha kwani wachimba mchanga siyo watu,yani magazeti mengine ni yakufungia mandazi tu .
Mmesoma kilichoandikwa au mnalaani tu hata bila kujua wameandika nini. What kama wanamsifia kua katoka huko hadi alipofika ni mfano wa kuigwa? Don't judge the content from the heading
 
Ata mie naona lilo gazeti lilitaka kumdhalilisha kwani wachimba mchanga siyo watu,yani magazeti mengine ni yakufungia mandazi tu .
Mmesoma kilichoandikwa au mnalaani tu hata bila kujua wameandika nini. What kama wanamsifia kua katoka huko hadi alipofika ni mfano wa kuigwa? Don't judge the content from the heading
 
Kumbe ni mkata mikaa ndo maana hajui maana ya uongoziii nimeelewa sasa viongoz wa juu wajitafakari inamaana wasomi wameisha mbona wapo wengi wenye heshima zao na busara harafu cheo wanachopewa majenerali anapewa mkata mkaa[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Kam alipitia huko ameonyesha njia ya kufanikiwa ukiwa na malengo,,,ameonyesha hakuna kinachoshindikana chini ya jua ukiamua kuwekeza muda,akil,nguvu na mungu akikusimamia

Ukiamua kuwekeza akili na nguvu nyingi katika kulamba wafalme miguu lazima utakumbukwa.
a2f75f6f72e5b90b66d122e324510d69.jpg
 
safi kabisa yupo vzr ukupe wivu n ww pigana pambana mpk ufikie kua juu
 
Back
Top Bottom