Paul Makonda ni nani pale WCB?

Nadhani hakuja haja ya kufichaficha na kutokwa povu kubwa, ungesema tu "WEWE KAMA TEAM KIBA IMEKUUMA MAKONDA KUWA MLEZI WA WCB"

muulize mfalme wao alishika fagio siku ya usafiiiiiiiiiiii. Kama hamshirikiani na makonda usitegemee yy kushirikiana na team failure!!

WASAFI WALICONFIRM KUWA NI WAPENDA USAFI SIKU YA WASAFI ACHA NAYE MPENDA USAFI PAUL MAKONDA AWAPE SUPPORT
 
maneno kama "vepeee " au "sio kwa maneno hayo" au xaxa badala ya sasa hutumiwa na wanawake
 
Mlijitokeza?????? Duh wabongo kwa kupenda kujijumuisha noma.
 
Timu kibakuli mapovu ya nin wakati nyinyi kweny mishe za makonda mnajifany wajuaji
 
Kwani hao akina kiba na diamond wametoboaje kwani lazima wajikombe kwa viongozi ndio mambo yao yaende kama hela wanazo kishinda hao viongozi wajikombe kutafuta nini
 
Si alisema wasanii ambao hawajajitokeza kifagia hatowatambua na wala wasijemgingea ofisini kwake.
 
Makonda ataua vijana wengine njaa. .hii haijakaa poa sana! ..ameanza kushare hata na vijana. ..ilikuwa kajala now kuna vitetesi anapumzika kwa kidoti
 
Makonda ataua vijana wengine njaa. .hii haijakaa poa sana! ..ameanza kushare hata na vijana. ..ilikuwa kajala now kuna vitetesi anapumzika kwa kidoti
Hivi kumbe makonda ni Mzee? Kwa sababu ni mkuu wa mkoa kawa Mzee tayari na si size ya kajala wala kidoti? Aiseeeeeee!!!
 
Umeskia znatolewa na KTM ndo akamwagiliwe ataenda na kurud pua chin

Hakuna tabu kwa hilo kwani kila aliyekuwa nominetedi anachukua tuzo bali furaha ni anazidi kutambulika na kujulikana na kupata mashabiki zaidi duniani...so piga tu kura bila kujali matokeo.
 
Hakuna mbaya aki waunga mkono,sio WCB tuu msanii yoyote kwani hatakiwi awe upande wowote akiwa kama kiongozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…