BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Nadhani hakuja haja ya kufichaficha na kutokwa povu kubwa, ungesema tu "WEWE KAMA TEAM KIBA IMEKUUMA MAKONDA KUWA MLEZI WA WCB"
muulize mfalme wao alishika fagio siku ya usafiiiiiiiiiiii. Kama hamshirikiani na makonda usitegemee yy kushirikiana na team failure!!
WASAFI WALICONFIRM KUWA NI WAPENDA USAFI SIKU YA WASAFI ACHA NAYE MPENDA USAFI PAUL MAKONDA AWAPE SUPPORT