Paul Makonda nimekumisi

Paul Makonda nimekumisi

Huyu bwana alichangamsha jiji, Dare salaam siyo ya dezo dezo inahitaji mkuu wa mkoa jeuri mwenye vijembe na masimango kama Makonda.

Huyu wa sasa mwenye shavu kama kameza fundo la castle light na miwani ya kihuni ni tabu tupu mkoa umemshinda

Panya road wanafanya watakavyo pamoja na mikwara yake ya kitoto, hali ni tete wasikie tu panya road kwa jirani ni hatari sana.
Kwa kweli wala HATUJALIKUMBUKA
 
Huyu bwana alichangamsha jiji, Dare salaam siyo ya dezo dezo inahitaji mkuu wa mkoa jeuri mwenye vijembe na masimango kama Makonda.

Huyu wa sasa mwenye shavu kama kameza fundo la castle light na miwani ya kihuni ni tabu tupu mkoa umemshinda

Panya road wanafanya watakavyo pamoja na mikwara yake ya kitoto, hali ni tete wasikie tu panya road kwa jirani ni hatari sana.
Ni aibu kwa mwanaume mtu mzima kumtamkia mwanaume mwenzake eti "nimekumisi"
 
Walimu kupanda daladala na treni bure 😁
Huko ni kiwadharirisha tu, yani mwanafunzi ambaye hana kipato alipe nauli kisha Mwalimu apande bure?

Mimi ningekuwa Mwalimu nisingekubali udhalilishaji huu ningelipa nauli kama kawaida.

Napinga hata mapolisi na wanajeshi kupanda bure madaladala, watowe privilege hizo ATC ili wanajeshi wapande bure ndege tuone.
 
Back
Top Bottom