Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Walimu kupanda daladala na treni bure πHuyo Makonda ni jambo gani alilifanya likafanikiwa Dar?
π€£π€£π€£π€£πHuyu wa sasa mwenye shavu kama kameza fundo la castle light
Kwa kweli wala HATUJALIKUMBUKAHuyu bwana alichangamsha jiji, Dare salaam siyo ya dezo dezo inahitaji mkuu wa mkoa jeuri mwenye vijembe na masimango kama Makonda.
Huyu wa sasa mwenye shavu kama kameza fundo la castle light na miwani ya kihuni ni tabu tupu mkoa umemshinda
Panya road wanafanya watakavyo pamoja na mikwara yake ya kitoto, hali ni tete wasikie tu panya road kwa jirani ni hatari sana.
Ni aibu kwa mwanaume mtu mzima kumtamkia mwanaume mwenzake eti "nimekumisi"Huyu bwana alichangamsha jiji, Dare salaam siyo ya dezo dezo inahitaji mkuu wa mkoa jeuri mwenye vijembe na masimango kama Makonda.
Huyu wa sasa mwenye shavu kama kameza fundo la castle light na miwani ya kihuni ni tabu tupu mkoa umemshinda
Panya road wanafanya watakavyo pamoja na mikwara yake ya kitoto, hali ni tete wasikie tu panya road kwa jirani ni hatari sana.
Huko ni kiwadharirisha tu, yani mwanafunzi ambaye hana kipato alipe nauli kisha Mwalimu apande bure?Walimu kupanda daladala na treni bure π