Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Sio watanzania, sema nyie sukuma gang wa ccm.
 
Hasara nyingine iliyosababishwa na premature ejaculation.
Condoms are free for a lot of reasons
 
Mbona unawaza kijinga kiasi hicho? Kwa hiyo ni wenye dhambi pekee ndio wanatakiwa kuombewa? Au kila mwenye kuombewa anakuwa na dhambi?
Mathayo 9:12 "Lakini Yesu aliposikia hayo, akawaambia, “Watu wenye afya hawahitaji tabibu, lakini wale walio wagonjwa ndio wanaohitaji tabibu"."

Uwe unasoma Bible kidogo basi, sio unabubujikwa na mchozi muda wote ukiwa church.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…