Ombea mzazi wako sio hawa wafhulumati. Huyo mpiga filimbi ni mcheza ngoma yeye vigelegele yeye mkata mananiliii yeye.Makonda ni kijana mzuri sana
Namwombea kwa Mungu amtumie huyu kijana kwa ajili ya Tanzania
Msamehe tu huyo aliyesema ni mzuri. Tatizo wabongo anayepiga porojo ndio anaonekana mtenda kazi zaidi.Kipi kizuri kimoja tu alichokifanya ambacho unaeza sema ona ile,huyo mjanjamjanja tu,ndo maana magu alimshtukia akampiga chini,anatumia njia ya kijuana na viongozi
Mungu ambariki Makonda, sisi watanzania we are proud of you! Wewe ndiye unayeielewa Tanzania ya sasa. Bravo! Mungu akulinde e MakondaMsikilize hapa Makonda Mkuu wa Mkoa wa arusha alipokuwa akiwaasa watendaji katika mkoa wake.
hakika nakubaliana naye kwa 100% kuwa vikundi vya watu wanafiki, wambeya, wafitini na wabadhirifu katika sehemu za kazi vina nguvu sana kuliko watu wachache waadilifu na watenda haki.
inahitaji kiongozi mwenye hekima na busara lakini makundi hayo maovu katika watumishi huwa yanaangamiza watendaji wazuri na weledi.
Ye mwenyewe amesahau nguvu zake.,?Msikilize hapa Makonda Mkuu wa Mkoa wa arusha alipokuwa akiwaasa watendaji katika mkoa wake.
hakika nakubaliana naye kwa 100% kuwa vikundi vya watu wanafiki, wambeya, wafitini na wabadhirifu katika sehemu za kazi vina nguvu sana kuliko watu wachache waadilifu na watenda haki.
inahitaji kiongozi mwenye hekima na busara lakini makundi hayo maovu katika watumishi huwa yanaangamiza watendaji wazuri na weledi.
Are you for real bro?Sijui na sidhan kama kwa sasa kuna Kiongozi tena Mkuu wa Mkoa tu ambaye anaweza kuwa na Backup ya Viongozi wa Dini kama alivyokua Mh Paul Makonda.
Hakuna na hakuna hakika!!.
Kwakua ukikubalika na Dini ,umekubalika Mbinguni .
Aliyesema Makonda, ndiye yule Ajaye, hakulopoka, alisema haya kwa sababu aliona anafaa na kustahili.
😅😅You deserve this mr punk ass
Sijui na sidhan kama kwa sasa kuna Kiongozi tena Mkuu wa Mkoa tu ambaye anaweza kuwa na Backup ya Viongozi wa Dini kama alivyokua Mh Paul Makonda.
Hakuna na hakuna hakika!!.
Kwakua ukikubalika na Dini ,umekubalika Mbinguni .
Aliyesema Makonda, ndiye yule Ajaye, hakulopoka, alisema haya kwa sababu aliona anafaa na kustahili.
Bangi tu hizo wana uwezo gani wa kuujaza uwanja hao wahuni?Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani
Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni
Nawatakieni Dominica njema
Wala siyo bangi, wanaelewa vizuri wanaongea na zero brain.Bangi tu hizo wana uwezo gani wa kuujaza uwanja hao wahuni?
Hakupenda kuwa hivyo hata wewe watu wanaweza kukuona kitu Dylan siku za mbeleniHivi wale ni wasanii wa nini hata siwaelewagi naonaga kuna kajitu kafupi kama fimbo yenye 30cm