Pre GE2025 Paul Makonda: Ukimchukia Rais Samia unamkosea Mungu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acha kuchafua watu kwa kuandaki vitu usivyo na ushahidi navyo.
 
Picha ya watoa machozi iko wapi wewe malaya wa akili?

Huyo zero brain mwenyewe wakati wa maporomoko ya udongo Hanang hakwenda alikua SA huko.
Mheshimiwa Makonda ni akili kubwa na mtu mwenye maono makubwa sana
 


 
Alijisajili kuwa chawa wa Tulia, naona hakifanikiwa kama alivyotarajia.
Mimi ni msema kweli ninayemuunga mtu yeyote anayefanya vyema katika kutimiza majukumu yake. Ninaendelea na Nitaendelea kumuunga mkono pia Mheshimiwa dkt Tulia Acksoni Mwansasu
 
"Mimi ni Mungu mwenye wivu"

Ukuu wa Mungu hauchangamanishwi na yeyote. Huyu ounguani anaitafuta laana ya Mungu. Anachokitafuta atakipata. Mungu huwa hachelewi, wala hakawii, hutenda kwa wakati wake.
Tangia lini umekuwa msemaji wa Mungu juu ya hukumu.
 
Mungu na wahalifu wapi na wapi? Naona amepata jukwaaa la kujisafisha hivyo anamtaja Mungu akidhani tutamuona ni mcha Mungu. Damu za alizozimwaga atalipia hapa hapa duniani.
Damu za nani? Acha kuropoka ujinga usio na ushahidi nao. ukiambiwa ulete ushahidi utaleta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…