Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani MO alikwambia nani alimteka.Hivi Sakata la MO kutekwa ndio lilipotezewa mazima?
Amani imerejea bila wahalifu kupatikana? 🤔
Sheria za kimataifa zinataka kesi za aina hizi kumalizwa ndani, na hata ukienda kwenye mahakama za nje kama za Africa mashariki na Africa, ni ngumu hukumu kutekelezwa na nchi husika, na mifano hai ipo.Nenda popote pale kafungue kesi unaapoona una imani napo
Kwa hiyo unatakaje sasa?Sheria za kimataifa zinataka kesi za aina hizi kumalizwa ndani, na hata ukienda kwenye mahakama za nje kama za Africa mashariki na Africa, ni ngumu hukumu kutekelezwa na nchi husika, na mifano hai ipo.
Nataka kusema huyo muhalifu anajisafisha kwakuwa tuna mifumo inayolinda wahalifu. Kwenye nchi zenye mifumo mizuri ya kisheria, huyo muhalifu angekuwa jela.Kwa hiyo unatakaje sasa?
Mheshimiwa wetu siyo mhalifu.uwe na adabu wewe.Nataka kusema huyo muhalifu anajisafisha kwakuwa tuna mifumo inayolinda wahalifu. Kwenye nchi zenye mifumo mizuri ya kisheria, huyo muhalifu angekuwa jela.
Kachukue dawa zako milembe mbweha wewe!Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa hapo jana huko babati Mkoani Manyara ametoa hotuba ya mwaka,hotuba iliyoteka na kugusa hisia za watu,hotuba iliyowafanya watu washindwe kujizuia machozi na hivyo kujikuta wakibubujikwa na kutiririka machozi kutoka katika macho yao,hotuba iliyoacha historia na kuwatia moyo wana babati.
Ni baada ya kusema kuwa Ukimchukia Rais Samia unakuwa Unamkosea Mungu Mwenyewe,kwa kuwa Rais Samia alijipangia kuishi maisha ya kawaida kabisa na wala hakuwahi kupanga wala kuwaza kuwa makamu wa Rais wala Rais wa Tanzania.lakini Mungu na mipango yake alipanga iwe hivyo kwa kumuinua na kumpa umakamu wa Rais na baadaye Urais.
Mheshimiwa Makonda aliendelea kusema kuwa hata yeye hapo alipo kwa sasa ni mipango ya Mungu Mwenyewe aliye juu na wala siyo mipango yake,maana alikuwa tayari yupo nje ya msitari. Aliendelea kuzungumza huku wananchi wakitekwa na hotuba hiyo iliyojaa hisia kali sana na mguso wa aina yake kwa kusema kuwa hata wao wasikate tamaa na wajipe moyo na wala wasiumie wanapodharauliwa na mtu.
Kwa hakika Mheshimiwa Makonda ni mtu ambae ukisikiliza hotuba zake lazima uguswe sana ndani ya moyo wako, ni mtu anayezungumza toka ndani kabisa ya moyo wake, ni mtu anayeongea na kuzungumza kwa kugusa hisia za watu,anaongea uhalisia wa maisha, anazungumza kile kinachogusa yale yaliyopo kwa watu na wananchi.ndio maana watu wanafurika na kumiminika sana kwenye mikutano yake.
Ni mtu ambae ukimsikiliza unapata matumaini na nguvu kubwa sana ya kusonga mbele kimapambano, maana anatia moyo na faraja sana ya kutokukata tamaa wala kujikatia tamaa wala kukatishwa tamaa na mtu yeyote yule.
Ni mtu ambaye anakuonyesha na kukupa nguvu kuwa ujapodharaulika leo mbele za wanadamu lakini mbele za Mungu una thamani sana na unaweza inuliwa na Mungu wakati wowote ule kutoka chini na kukuketisha mahali pa juu na mahali pa heshima,bila kujali historia yako,kipato chako wala familia uliotokea.kikubwa ni kuwa na imani, mnyenyekevu,tabia njema,ucha Mungu na hofu ya Mungu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Sijawahi kuheshimu muhalifu yoyote. Ww ndio unatakiwa umuheshimu, tena sio kumuheshimu tu, bali msujudie kabisa maana ndio wanakupa mlo. Sio Kila mtu anasujudia watu waovu.Mheshimiwa wetu siyo mhalifu.uwe na adabu wewe.
Hakupanga na alikuwa kwenye maswala ya vyama😁 Ni sawa na useme hujawahi tarajia kushinda betting na wakati huwa una bet dailyNdugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa hapo jana huko babati Mkoani Manyara ametoa hotuba ya mwaka,hotuba iliyoteka na kugusa hisia za watu,hotuba iliyowafanya watu washindwe kujizuia machozi na hivyo kujikuta wakibubujikwa na kutiririka machozi kutoka katika macho yao,hotuba iliyoacha historia na kuwatia moyo wana babati.
Ni baada ya kusema kuwa Ukimchukia Rais Samia unakuwa Unamkosea Mungu Mwenyewe,kwa kuwa Rais Samia alijipangia kuishi maisha ya kawaida kabisa na wala hakuwahi kupanga wala kuwaza kuwa makamu wa Rais wala Rais wa Tanzania.lakini Mungu na mipango yake alipanga iwe hivyo kwa kumuinua na kumpa umakamu wa Rais na baadaye Urais.
Mheshimiwa Makonda aliendelea kusema kuwa hata yeye hapo alipo kwa sasa ni mipango ya Mungu Mwenyewe aliye juu na wala siyo mipango yake,maana alikuwa tayari yupo nje ya msitari. Aliendelea kuzungumza huku wananchi wakitekwa na hotuba hiyo iliyojaa hisia kali sana na mguso wa aina yake kwa kusema kuwa hata wao wasikate tamaa na wajipe moyo na wala wasiumie wanapodharauliwa na mtu.
Kwa hakika Mheshimiwa Makonda ni mtu ambae ukisikiliza hotuba zake lazima uguswe sana ndani ya moyo wako, ni mtu anayezungumza toka ndani kabisa ya moyo wake, ni mtu anayeongea na kuzungumza kwa kugusa hisia za watu,anaongea uhalisia wa maisha, anazungumza kile kinachogusa yale yaliyopo kwa watu na wananchi.ndio maana watu wanafurika na kumiminika sana kwenye mikutano yake.
Ni mtu ambae ukimsikiliza unapata matumaini na nguvu kubwa sana ya kusonga mbele kimapambano, maana anatia moyo na faraja sana ya kutokukata tamaa wala kujikatia tamaa wala kukatishwa tamaa na mtu yeyote yule.
Ni mtu ambaye anakuonyesha na kukupa nguvu kuwa ujapodharaulika leo mbele za wanadamu lakini mbele za Mungu una thamani sana na unaweza inuliwa na Mungu wakati wowote ule kutoka chini na kukuketisha mahali pa juu na mahali pa heshima,bila kujali historia yako,kipato chako wala familia uliotokea.kikubwa ni kuwa na imani, mnyenyekevu,tabia njema,ucha Mungu na hofu ya Mungu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Mapanki dizain Kama ameanza tumia bangi , au anakunywa diamondSitaki kuamini kuwa wa Babati ni mafala kiasi hicho! Yaani walie kwa sababu tu Makonda amesema "Ukimchukia SSH unapingana na Mungu mwenyewe? Hivyo tu yaani? Watu walimchukia Yesu, sembuse huyo mama?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hivi Makonda ana akili timamu kweli?Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa hapo jana huko babati Mkoani Manyara ametoa hotuba ya mwaka,hotuba iliyoteka na kugusa hisia za watu,hotuba iliyowafanya watu washindwe kujizuia machozi na hivyo kujikuta wakibubujikwa na kutiririka machozi kutoka katika macho yao,hotuba iliyoacha historia na kuwatia moyo wana babati.
Ni baada ya kusema kuwa Ukimchukia Rais Samia unakuwa Unamkosea Mungu Mwenyewe,kwa kuwa Rais Samia alijipangia kuishi maisha ya kawaida kabisa na wala hakuwahi kupanga wala kuwaza kuwa makamu wa Rais wala Rais wa Tanzania.lakini Mungu na mipango yake alipanga iwe hivyo kwa kumuinua na kumpa umakamu wa Rais na baadaye Urais.
Mheshimiwa Makonda aliendelea kusema kuwa hata yeye hapo alipo kwa sasa ni mipango ya Mungu Mwenyewe aliye juu na wala siyo mipango yake,maana alikuwa tayari yupo nje ya msitari. Aliendelea kuzungumza huku wananchi wakitekwa na hotuba hiyo iliyojaa hisia kali sana na mguso wa aina yake kwa kusema kuwa hata wao wasikate tamaa na wajipe moyo na wala wasiumie wanapodharauliwa na mtu.
Kwa hakika Mheshimiwa Makonda ni mtu ambae ukisikiliza hotuba zake lazima uguswe sana ndani ya moyo wako, ni mtu anayezungumza toka ndani kabisa ya moyo wake, ni mtu anayeongea na kuzungumza kwa kugusa hisia za watu,anaongea uhalisia wa maisha, anazungumza kile kinachogusa yale yaliyopo kwa watu na wananchi.ndio maana watu wanafurika na kumiminika sana kwenye mikutano yake.
Ni mtu ambae ukimsikiliza unapata matumaini na nguvu kubwa sana ya kusonga mbele kimapambano, maana anatia moyo na faraja sana ya kutokukata tamaa wala kujikatia tamaa wala kukatishwa tamaa na mtu yeyote yule.
Ni mtu ambaye anakuonyesha na kukupa nguvu kuwa ujapodharaulika leo mbele za wanadamu lakini mbele za Mungu una thamani sana na unaweza inuliwa na Mungu wakati wowote ule kutoka chini na kukuketisha mahali pa juu na mahali pa heshima,bila kujali historia yako,kipato chako wala familia uliotokea.kikubwa ni kuwa na imani, mnyenyekevu,tabia njema,ucha Mungu na hofu ya Mungu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
ni akili kubwa sana mwenye upeo na uwezo wa hali ya juu sana kiuongoziHivi Makonda ana akili timamu kweli?